Serikali inapokosolewa kwa Constructive Criticism, je, Ifuate Ushauri? Hongera Bunge letu tukufu kufuata ushauri na kutuondolea ubatili huu

Mkuu Nguruvi3, asante tena, hapa ni kama umemaliza kila kitu, hii ndio a concluding remarks kwenye bandiko hili, whataver is done kwenye kujiuzulu Spika, the end justifies the means, Spika JYN amejiuzulu legally kwa mujibu wa katiba, Sheria, taratibu na kanuni.
Asanteni sana wote mliochangia bandiko hili, la Hypothetical situation. Ile makala yangu na bandiko hili ni msaada mkubwa kwa serikali yetu, vitu vidogo vidogo kama hivi, vinaepukika.
Asanteni sana
Paskali
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Iliandikwa barua kimyakimya.
 
Vinaepukika kwa kukiuka katiba ya JMT?
 
wanajua ww inapokuja swala hela ama madaraka akili yako henda likizo na humsifia hata shetani ni bora kuliko malaika
Hoja yako hii ni kweli, hakuna ubishi kuhusu shetani na malaika, shetani is more powerful kuliko malaika kwasababu shetani hufanya mwenyewe na malaika ni kiumbe wa kutumwa tuu!.
Pia shetani has a role, malaika hana role, kwasababu tangu uumbaji wa dunia hii, ni shetani ndie aliuchomeka ule 'mti' na lile 'tunda', bila 'mti' kutumika, 'kumega' lile 'tunda', tusingezaliwa!.

Kwanza sii wengi wanaofahamu kuwa shetani hapo mwanzo alikuwa malaika mkuu, the 2i/c to God!, who can do everything God can do ecept creation, yaani God ndiye The Only Creator, hivyo Lucifer alipoasi na kutupwa duniani, alitupwa na nguvu zake, hivyo ana powers kuliko malaika wote!.
Hili la shetani na malaika niliwahi kuliendeshea darasa humu


Moja ya sifa kuu ya shetani ambayo haifundishwi sana kwenye dini zetu ni uwezo wa shetani kujigeuza, disguises as anything, anyone!.

Kule kwenye bustani ya Eden, baada ya kujigeuza nyoka akapenya bustanini, kule ndani akajigeuza mtu, a handsome boy ndio akamtokea Eva, akamuonyesha 'mti', akamuuliza eva hilo 'tunda' ni la nini?, Eva akasema "Mungu ametukataza kula tunda hili". Shetani akamtempt kwa kumwambia Mungu ni mchoyo, hataki mfaidi utamu, kati ya matunda yote Duniani, 'tunda' lile ndio tunda tamu zaidi kuliko matunda yote, na 'likimegwa' 'tunda' hilo linawapa uwezo wa KiMungu wa kuumba viumbe wengine, yaani to create, creation!.
Shetani akamuonyesha Eva jinsi 'tunda' linavyo megwa kwa practical ya kumega 'tunda' and in fact shetani ndie wa kwanza 'kumega' 'tunda' na Eva, na kweli Eva akauona utamu wa 'tunda' akamfuata Adam na kumlazimisha na yeye 'amege' 'tunda' na kutokana na utamu wa tunda, baada ya Adam na Eva 'kula' 'tunda' kwa kumegeana, wakaishia usingizini, na hiyo zambi ya 'kumega' tunda, au 'kula' 'tunda' ndio dhambi ya asili, the original sin!. Ili binaadamu yoyote azaliwe, lazima hiyo dhambi itendeke!. Sisi Wakristu baada ya kuzaliwa na dhambi ya asili, dhambi hiyo huondolewa kwa kubatizwa.

Bwana wetu Yesu Kristo ndiye pekee aliyezaliwa bila dhambi ya asili, kwa Mama yake, Bikira Maria, kukingiwa dhambi ya asili, kwa kupata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, huku akiwa bikira, bila 'tunda' lake 'kumegwa'.

Na ndio maana viongozi wetu wa dini sisi Wakatoliki wanakula kiapo cha calibacy , Mapadri hakuna 'kumega', Masista hakuna kutoa 'tunda' 'kumegwa'.
Hivyo shetani yupo very tricky na most of the time he disguises as God!. Kuna watu wanamwabudu shetani wakiaamini ni Mungu!.
Hivyo be very careful!.
Paskali.
 
Mkuu Mwami Ntale, kwa vile Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana, tulitaka Spika Bora wa kulibadili Bunge kuisimamia serikali na sio Bunge la kujipendekeza kwa serikali. Hivyo Dr. Tulia, akitulia anaweza!.
P
Paschal,ni ndoto ya kila mpenda haki kuona tuna bunge lenye uwezo wa kuisimamia serikali.Lakini amini kuwa as long as ccm iko madarakani hatuwezi kuwa na bunge la namna hiyo.Ni utaratibu wa ccm kuwa kila Rais na chama lazima viwe juu ya kila taasisi,hata kama katiba inasema vinginevyo.Kama rais angekuwa anaheshimu na kijali Uhuru wa mihimili mingine wala tusingekuwa na uchaguzi wa spika.
 
Unajilipaje nguvu yote hiyo unayotumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafanya kwa mapenzi tuu, ni kazi bure, ila situmii nguvu yoyote, kwasababu nafanya uandishi during my spare time. Nina shughuli nyingine inayoniingizia kipato cha kuendesha maisha yangu na familia yangu, hivyo uandishi wa habari naufanya bure kwa kujitolea tuu na sio kuingiza kipato.
P
 
Ok uzidi kubarikiwa Mungu huyu wa mbinguni tunaemwamini atakuzidishia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…