Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Hoja imekuja kwamba hakuna mtanzania mwenye udambwi udambwi kama huu, huyu kijana afanyiwe uchunguzi ijulikane kama ni raia wa senegal au ivory coast au brazil basi alipiwe zile ada wanazolipiwa wachezaji wa kigeni serikali iiskose mapato kizembe