Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari unaijua wewe tu.. bongo banaMamelodi na Zamalek hadi magoti walipiga, injinia akawambia Fei Is Not For Sale.
mugalu ndio mzuri ila hastahili sifa zake.
View attachment 1953701
tufanye kubadilisha fei akacheze 9 na mugalu akacheze kiungo tuone.. [emoji3][emoji3][emoji1487]
Hapo ndipo na mafuta vitakapojichuja
Vipi fundi mitambo?Its panchooooo
Chama hayo 20+ alikuwa nayo.Dharau ipi mkuu?
Chama aliweza kupambana sana hata CAF CL ana rekodi nzuri za assist na magoli, ukiulizwa kwa misimu mitatu Feisal anaweza kufikisha magoli 20+ na assist 30+? (Mashindano yote)
Attacking midfielder akishindwa kufikisha takwimu kama hizo kwa misimu mitatu anahitaji kujirekebisha sana.
Kwa Yanga hamuwezi kuona pungufu lolote kwa sababu furaha imezidi mpaka kwenye nywele.
Na mkome maneno yenu ndo yaliwaponza munazani ground ni parahisi.Dharau ipi mkuu?
Chama aliweza kupambana sana hata CAF CL ana rekodi nzuri za assist na magoli, ukiulizwa kwa misimu mitatu Feisal anaweza kufikisha magoli 20+ na assist 30+? (Mashindano yote)
Attacking midfielder akishindwa kufikisha takwimu kama hizo kwa misimu mitatu anahitaji kujirekebisha sana.
Kwa Yanga hamuwezi kuona pungufu lolote kwa sababu furaha imezidi mpaka kwenye nywele.
Acha maneno ya kike, fanya uchambuzi.Na mkome maneno yenu ndo yaliwaponza munazani ground ni parahisi.
Nawakeraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, na bado.Acha maneno ya kike, fanya uchambuzi.
Wanaume hatutumii hayo maneno[emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda mtibwa sugar, KMC, Dodoma jiji n.k, kuna madogo wana takwimu bora zaidi ya huyo Iniesta wa utopolo[emoji23][emoji23][emoji23]Chama hayo 20+ alikuwa nayo.
Haya leta mzawa wa kwenu mwenye record kama za Fei kwa nafasi ileile.
Fanya chapu.
Tuanazungumzia Mikia na Uto,yupo wa kumzidi?Nenda mtibwa sugar, KMC, Dodoma jiji n.k, kuna madogo wana takwimu bora zaidi ya huyo Iniesta wa utopolo[emoji23][emoji23][emoji23]
Si mchezo.Hoja imekuja kwamba hakuna mtanzania mwenye udambwi udambwi kama huu, huyu kijana afanyiwe uchunguzi ijulikane kama ni raia wa senegal au ivory coast au brazil basi alipiwe zile ada wanazolipiwa wachezaji wa kigeni serikali iiskose mapato kizembe
View attachment 1953666