Serikali inapoteza mapato kwa Feitoto

Serikali inapoteza mapato kwa Feitoto

vijana wa mwamedi bado wanafikiri kuwa wamepoteza kwa bahati mbaya mechi hii pamoja na ile ya mazembe, huyu bwalya hamna kitu ilitakiwa mnunue feitoto angewapa kile mnachokimiss kwa sasa
 
Anatakiwa afunge 10 + goals and 10 + assist kwa msimu ili udambwi udambwi wake uwe una maana
 
Utopolo wanapagawa na udambwi udambwi usio na faida mara pengine.

Attacking midfielder hatari ni kama Chama, anamaliza msimu anagoli zaidi ya 10(isipokuwa msimu ulioisha alipatwa msiba) na assist 15+, that is a real meaning of an attacking midfielder.

Ndiyo maana nasema Feisal anahitaji kujifunza zaidi ili awe bora, bado hajawa na ubora halisi.
 
Mugalu atacheza kiungo vizuri sana.

Nimesema Fei toto ni mzuri ila siyo kama mnavyomkuza sasa, anahitaji kujifunza zaidi. Ni mchezaji mzuri ajaye!
Shida kaka unaongea mpira mwenzako anaongea Mapenzi binafsi. Hapo mtageuka Waha.
 
Utopolo wanapagawa na udambwi udambwi usio na faida mara pengine.

Attacking midfielder hatari ni kama Chama, anamaliza msimu anagoli zaidi ya 10(isipokuwa msimu ulioisha alipatwa msiba) na assist 15+, that is a real meaning of an attacking midfielder.

Ndiyo maana nasema Feisal anahitaji kujifunza zaidi ili awe bora, bado hajawa na ubora halisi.
Wa Mugalu na Kanuti unafaida kwa jana
 
Shida kaka unaongea mpira mwenzako anaongea Mapenzi binafsi. Hapo mtageuka Waha.
Ni taabu sana hawa watu waliopitwa na mahaba.

Msimu uliyopita Feisal hakufikisha hata assist 7 na goli hakufikisha hata 5, kwa attacking midfielder ni mapungufu makubwa sana.

Huyu Mugalu na upuuzi wake alikuwa na goli 15 na assist kama 6 hivi.

Japo hawapo nafasi sawa, kwa takwimu hilo limgalu libovu limemzidi attacking midfielder tegemezi huyo wa timu kwa kuhusika katika magoli.
 
Mapungufu ya Mugalu na Kanoute hayawezi kumfanya Feisal kuwa Kevin De Bruyn

Wanamapungufu wote japo yanatofautiana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uachage dharau mpira mpira unadunda.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uachage dharau mpira mpira unadunda.
Dharau ipi mkuu?
Chama aliweza kupambana sana hata CAF CL ana rekodi nzuri za assist na magoli, ukiulizwa kwa misimu mitatu Feisal anaweza kufikisha magoli 20+ na assist 30+? (Mashindano yote)

Attacking midfielder akishindwa kufikisha takwimu kama hizo kwa misimu mitatu anahitaji kujirekebisha sana.

Kwa Yanga hamuwezi kuona pungufu lolote kwa sababu furaha imezidi mpaka kwenye nywele.
 
Ni taabu sana hawa watu waliopitwa na mahaba.

Msimu uliyopita Feisal hakufikisha hata assist 7 na goli hakufikisha hata 5, kwa attacking midfielder ni mapungufu makubwa sana.

Huyu Mugalu na upuuzi wake alikuwa na goli 15 na assist kama 6 hivi.

Japo hawapo nafasi sawa, kwa takwimu hilo limgalu libovu limemzidi attacking midfielder tegemezi huyo wa timu kwa kuhusika katika magoli.
Uahaona wapi mchezaji akapewa tuzo kwa mechi moja?
 
Back
Top Bottom