Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
HATARIIIDaaah!!
..........Kakusanya kijiji cha wazee
Mikia mu hali gani huko mlipo?
MMHISAPNIOLA HUYUWazee wamekusanywa kama mafungu ya nyanya
Huyu kijana balaa, hata Makolokolo anapopata mpira, wote humzingira.Daaah!!
..........Kakusanya kijiji cha wazee
Mikia mu hali gani huko mlipo?
Sanaa kama messi na ronaldoWa kawaida sana.
Baba takwimu zinaongea hebu nambie kafunga ngapi ka assist ngapi na Mugalu kafunga ngapi ka assist ngapi. Tuanzie apo kwanza tujue nani wakawaida.. tuzungumzie msimu 2020-2021.Sanaa kama messi na ronaldo
Huyu akiwa wa kawaida sana mugalu atakuwa wa namna gani
Fei-Toto a.k.a Bujibuji ni raia wa π§π·π§π·π§π· kwa kina Ronaldinho GauchoHoja imekuja kwamba hakuna mtanzania mwenye udambwi udambwi kama huu, huyu kijana afanyiwe uchunguzi ijulikane kama ni raia wa senegal au ivory coast au brazil basi alipiwe zile ada wanazolipiwa wachezaji wa kigeni serikali iiskose mapato kizembe
View attachment 1953666
Mugalu wa kawaida wa kwenu wakawaida sana, takwimu zinaongea.Ni mchezaji wa mechi moja moja.Sanaa kama messi na ronaldo
Huyu akiwa wa kawaida sana mugalu atakuwa wa namna gani
Kabla takwimu hazijaanza kuongea tuambine wanacheza nafasi sawa?Baba takwimu zinaongea hebu nambie kafunga ngapi ka assist ngapi na Mugalu kafunga ngapi ka assist ngapi. Tuanzie apo kwanza tujue nani wakawaida.. tuzungumzie msimu 2020-2021.
kweli ila mugalu mkali..Wa kawaida sana.
mugalu ndio mzuri ila hastahili sifa zake.Fei ni mzuri ila siyo kama mnavyomkuza
Unaweka mizaha ndo tatizo, ukienda kwa takwimu Mugalu kanufaisha pakubwa timu yake kwa msimu wa 2020/2021alifunga magoli mengi na assist kuliko fei toto japo wanacheza nafasi tofauti.mugalu ndio mzuri ila hastahili sifa zake.
View attachment 1953701
tufanye kubadilisha fei akacheze 9 na mugalu akacheze kiungo tuone.. ππππΎUnaweka mizaha ndo tatizo, ukienda kwa takwimu Mugalu kanufaisha pakubwa timu yake kwa msimu wa 2020/2021alifunga magoli mengi na assist kuliko fei toto japo wanacheza nafasi tofauti.