Serikali inashirikiana na matapeli kuwaibia wananchi?

Isingelikuwa chimbo la watu,hili jambo dogo sana. Kuanzia ngazi za wilaya,maeneo ya serikali yanatambulika. Ni kuyapima,yapewe namba,maeneo ya raia yapimwe,yapewe namba na hati. Mnunuzi akiridhia,aangalie mtandaoni data zote,alipie akijua ni halali. Sema tu watu wengine wanapenda mtelezo.

Hivi,wale wa spika barabarani,wanajiita Viwanja Kiluvya. Wao wanasomeka?
 
Kiranja wao huyu hapa ni hatari kawapiga bilioni za kutosha anakamatwa daily,anafungua kampuni za kuuza viwanja anapiga pesa anafungua ingine atakuwa na vigogo nyuma yake.
Keshawapiga watz zaidi ya 300.
Viwanja feki hivi vya kampuni binafsi lipa kidogokidogo anaitwa Yonna kittah,mwizi hatari
 

Attachments

  • Screenshot_20240126-150613.png
    229.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20240126-150606.png
    264.2 KB · Views: 5
Gusa? Unate sio kila mmoja anayo elimu ya kununua viwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…