Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Dah inasikitisha sana na watu wetu inaonekana wana uwezo mdogo sana.
Aliko Dangote analia hujuma anazofanyiwa na wahuni kwenye tasnia ya mafuta kukihujumu kiwanda chake za oil refinery pale Nigeria.
Kupata muwekezaji wa kiwanda cha General Tyre inaweza ikawa ngumu sana, maana importer wa matairi kama Michelin, bridgestone, all Chinese tyres and Indians Tyre s lazima waingie kazini kuhujumu maana kwa sasa hapa kwao ni heaven in super profit.
Aliko Dangote analia hujuma anazofanyiwa na wahuni kwenye tasnia ya mafuta kukihujumu kiwanda chake za oil refinery pale Nigeria.
Kupata muwekezaji wa kiwanda cha General Tyre inaweza ikawa ngumu sana, maana importer wa matairi kama Michelin, bridgestone, all Chinese tyres and Indians Tyre s lazima waingie kazini kuhujumu maana kwa sasa hapa kwao ni heaven in super profit.