OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Kodi ya Ongezeko la Thamani(VAT) ni kodi ambayo inatozwa kwenye ongezeko la thamani ya bidhaa katika kila hatua ya uzalishaji hadi kuuzwa. Hata Mamalaka ya Mapato Tanzania(TRA) wameweka maana inayofanana na hii. Kabla sijaenda kuipinga kwanza nielezee namna VAT ipo theoretically
Mfano
Mkulima kanunua bidhaa kwa Tsh 100, akaenda kuuza kwa Tsh 120, Hapo ongezeko la thamani ni Tsh 20 ambayo ndio itakatwa 18% ikiwa bidhaa ipo chini ya bidhaa zinazokatwa VAT, Maana yake serikali itakusanya ni Tsh. 3.6
Hapo utaona ya kwamba ili VAT iweze kukusanywa kiusahihi kwanza lazima muuzaji awe na risiti za alikonunulia na risiti aliyouzia ili serikali ichukua VAT vinginevyo VAT haitaweza kuonekana au watabaki kukadiria kama hali ilivyo
NB: Kumbuka kuwa VAT haizidi 18% kwa bidhaa zote za ndani na za nje kwa mujibu wa TRA tembelea kiunga hiki HAPA
Hali ilivyo sasa hasa kwa huduma, VAT ni tatizo kubwa sana kwa kua huduma nyingi hazina sehemu ya awali ambako zinatokea, mathalani Consultancy, Ada za Shule, Malipo mbalimbali ya huduma za serikali nk
Angalia mfano wa Kifurushi,
Kodi hiyo ukiingalia sio tu ni kubwa, bali pia sio kodi ya ongezeko la thamani kwa kuwa
305.08 ni 18% ya Tsh. 1694.88 maana yake ni kuwa mtandao huo umenunua airtime kwa Tsh 305.11 na kuongeza 1694.888 ili kuuza kwa mtumiaji wa kawaida.
Kwa hesabu hizo utagundua kuwa si kweli kwa kuwa mnyumbulisho umeonesha kuwa 1694.92 ndio bei halisi na 305.08 ni ongezeko la thamani, which means kodi ilibidi iwe 54.92 ambayo ndio 18% ya 305
Aidha ukiangalia hii nyingine Gharama ni Tsh 1000, VAT ni 152.54. Lakini hiyo VAT tukiamini kuwa ni 18% basi imekatwa kutoka kwenye 858.5555 kitu ambacho hakiendi sawa
Hitimisho
VAT inaonesha kuwa inakatwa kwenye bei halisi na sio Ongezeko la Thamani kama wanavyosema
Nimeeleza awali kuwa VAT ni kodi ya ongezeko la thamani hivyo kunahitajika risiti ya ufahamu bei ambayo kitu kilinunuliwa na bei ya kitu kinapouzwa ili tofauti itozwe kodi. Hali hii ya kuhitaji risiti awali inafanya moja kwa moja huduma zisiweze kutozwa kodi kwa kuwa huduma nyingi zinaponunua vitu hunua kama ‘end user’ sio intermediate na huduma anazotoa hazina zinakotoka, I.e Daktari ananunua vifaa kama end user yeye haviuzi, huduma anayoitoa haiwezi kuwa na risiti ya awali. Hii ni tofauti na anayeuza dawa ambaye amenunua sehemu kwa jumla na anaenda kuuza kwenye duka lake
Kwa Point hiyo nasema, VAT inatozwa sehemu kubwa, pia Huduma zisitozwe kodi ya Ongezeko la Thamani
Mfano
Mkulima kanunua bidhaa kwa Tsh 100, akaenda kuuza kwa Tsh 120, Hapo ongezeko la thamani ni Tsh 20 ambayo ndio itakatwa 18% ikiwa bidhaa ipo chini ya bidhaa zinazokatwa VAT, Maana yake serikali itakusanya ni Tsh. 3.6
Hapo utaona ya kwamba ili VAT iweze kukusanywa kiusahihi kwanza lazima muuzaji awe na risiti za alikonunulia na risiti aliyouzia ili serikali ichukua VAT vinginevyo VAT haitaweza kuonekana au watabaki kukadiria kama hali ilivyo
NB: Kumbuka kuwa VAT haizidi 18% kwa bidhaa zote za ndani na za nje kwa mujibu wa TRA tembelea kiunga hiki HAPA
Hali ilivyo sasa hasa kwa huduma, VAT ni tatizo kubwa sana kwa kua huduma nyingi hazina sehemu ya awali ambako zinatokea, mathalani Consultancy, Ada za Shule, Malipo mbalimbali ya huduma za serikali nk
Angalia mfano wa Kifurushi,
Kodi hiyo ukiingalia sio tu ni kubwa, bali pia sio kodi ya ongezeko la thamani kwa kuwa
305.08 ni 18% ya Tsh. 1694.88 maana yake ni kuwa mtandao huo umenunua airtime kwa Tsh 305.11 na kuongeza 1694.888 ili kuuza kwa mtumiaji wa kawaida.
Kwa hesabu hizo utagundua kuwa si kweli kwa kuwa mnyumbulisho umeonesha kuwa 1694.92 ndio bei halisi na 305.08 ni ongezeko la thamani, which means kodi ilibidi iwe 54.92 ambayo ndio 18% ya 305
Aidha ukiangalia hii nyingine Gharama ni Tsh 1000, VAT ni 152.54. Lakini hiyo VAT tukiamini kuwa ni 18% basi imekatwa kutoka kwenye 858.5555 kitu ambacho hakiendi sawa
Hitimisho
VAT inaonesha kuwa inakatwa kwenye bei halisi na sio Ongezeko la Thamani kama wanavyosema
Nimeeleza awali kuwa VAT ni kodi ya ongezeko la thamani hivyo kunahitajika risiti ya ufahamu bei ambayo kitu kilinunuliwa na bei ya kitu kinapouzwa ili tofauti itozwe kodi. Hali hii ya kuhitaji risiti awali inafanya moja kwa moja huduma zisiweze kutozwa kodi kwa kuwa huduma nyingi zinaponunua vitu hunua kama ‘end user’ sio intermediate na huduma anazotoa hazina zinakotoka, I.e Daktari ananunua vifaa kama end user yeye haviuzi, huduma anayoitoa haiwezi kuwa na risiti ya awali. Hii ni tofauti na anayeuza dawa ambaye amenunua sehemu kwa jumla na anaenda kuuza kwenye duka lake
Kwa Point hiyo nasema, VAT inatozwa sehemu kubwa, pia Huduma zisitozwe kodi ya Ongezeko la Thamani