Serikali inatoza VAT kubwa kuliko wanavyosema, nashauri kusiwe na VAT kwenye huduma

Kwa mfano bei halisi ya vocha ya 1000 ni shilingi ngapi? Na iliyo ongezeka ya thamani ni kiasi gani?
Kwenye vocha ya 1000
Bei halisi ni 847.46
Vat ni 152.54.
Jumla 1000
Kwa hesabu za percentage ni 118%
 
Kwa mfano bei halisi ya vocha ya 1000 ni shilingi ngapi? Na iliyo ongezeka ya thamani ni kiasi gani?
Bei ya kifurushi mathalani ni 847.46 Tzs, thamani iliyoongezeka ni 152.54. Hence kodi inabidi iwe 18% ya 152.54 ambayo ni thamani iliyoongezeka, lakini hesabu za bongo wanakata 18% ya 1000, ambayo sio ni real price included, na ukiangalia hiyo 152 ndio wameichukua yote kama VAT ambayo ni approximately to 18% ya 1000
 
Kwa maana hiyo 18% inatakiwa ikokotolewe toka kwenye 152.54 siyo?
 
Wewe uoni ikiwa hivyo unavyotaka udanganyifu utakuwa mkubwa, hesabu yako ni ya kichina hauwez kutumika nchi nyingine
Kwahiyo unataka kusema tuhalalishe uonevu kwasababu ya kukwepa ubadhirifu?!

Aina ya watu kama wewe ndio wapo kwenye maofisi ya serikali wanakuja na maamuzi yaliyogubikwa uzembe wa kufikiri na uzito wa kusimamia kanuni ili mambo yaende.

Taifa haliwezi kupiga hatua na aina hii ya mifumo ya uhujumu raia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amesoma ila hajakuelewa hata kidogo. Ndio shida ya vijana wa siku hizi na unakuta hapo ana degree kwenye vyeti vyake ila uwezo wa kuelewa ni mdogo sana anabakia kuwa mtu wa kupinga na kuchallenge jambo ambalo amelitafasiri kwa namna yake ila sio kwa uhalisia wake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi fiscal policy yetu inahitaji reform kubwa sana kama tulizofanya way back in 2005.

Tumeanza kurudi kule kwenye kuwakamua wananchi to the maximum wakati fursa za kuzalisha kipato zinaendelea kupungua sana.
 
Kimsingi fiscal policy yetu inahitaji reform kubwa sana kama tulizofanya way back in 2005.

Tumeanza kurudi kule kwenye kuwakamua wananchi to the maximum wakati fursa za kuzalisha kipato zinaendelea kupungua sana.
Umeongea ukweli ulio nona kama mwanakondoo wa bwana. Ipo hivi, sheria wakati zikitungwa mahitaji yakauwapo makubwa sana kama sasa.

Kwasasa mahitaji ni makubwa na mapato ni madogo so serikali na mamlaka zake za udangaji wanajikuta wanafurukuta na masheria yao haya waliyocopy kuedit na kupaste bila kufanya tafiti za kiutaalamu za madhara yake kwa raia na uchumi kwa ujumla.

Hapa ili kutoka tunahitaji majukwaa ya wasomi kuwawajibisha serikali kwa kuwa na mijadala ya wazi ya huu ubadhirifu unaofanywa na serikali wazi wazi kupitia mamlaka zake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa kwenye hii nchi, VAT analipa mfanyabiashara badala ya mnunuzi. ndio mana husikii wananchi kulalamikia VAT unless iwe kwenye suala la umeme tu, Lakini kwa kweli VAT ni janga, na wafanyabiashara wanapolia na kodi ni kweli kabisa wana hali mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…