Serikali inaukaribisha Mlipuko au Vurugu kipindi hiki cha uchaguzi

Serikali inaukaribisha Mlipuko au Vurugu kipindi hiki cha uchaguzi

Bhaghosha

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
234
Reaction score
183
Chama cha upinzani Chadema kwa muda sasa wameshindwa kuunganisha nguvu ya umma dhidi ya serkali. Sasa ni serikali yenyewe imeleta kiwashio cha bomu. Chadema sasa inatakiwa ku detonate na nchi nzima ilipuke. Ni simple sana. Kwa kuwa kuenguliwa kwa wagombea wao ni mkakati, na hata baada ya mapingamizi clear yatakataliwa, ni Chadema sasa iwaagize wagombea na wafuasi wao kwenda kusubiria matokeo yarufaa zao. Matokeo watakayo yapata ndiyo itakuwa kiwashio kuanza kuilazimisha selikali kutenda haki (Kuilazimisha). Iwe coordinated lianze kwa mpigo nchi nzima.
\
 
Chama cha upinzani Chadema kwa muda sasa wameshindwa kuunganisha nguvu ya umma dhidi ya serkali. Sasa ni serikali yenyewe imeleta kiwashio cha bomu. Chadema sasa inatakiwa ku detonate na nchi nzima ilipuke. Ni simple sana. Kwa kuwa kuenguliwa kwa wagombea wao ni mkakati, na hata baada ya mapingamizi clear yatakataliwa, ni Chadema sasa iwaagize wagombea na wafuasi wao kwenda kusubiria matokeo yarufaa zao. Matokeo watakayo yapata ndiyo itakuwa kiwashio kuanza kuilazimisha selikali kutenda haki (Kuilazimisha). Iwe coordinated lianze kwa mpigo nchi nzima.
\
Serikali haiwezi kujali hilo. Sana sana wataongeza mabomu ya machozi, magari ya maji ya kuwasha. Kuongeza makuruta nk nk.
 
Serikali haiwezi kujali hilo. Sana sana wataongeza mabomu ya machozi, magari ya maji ya kuwasha. Kuongeza makuruta nk nk.
Halafu mambo yakiwa ovyo wanapanda jet wanakimbia nchi, raia wa kawaida na chawa wanakufa
 
Back
Top Bottom