Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akome! Masuala ya imani za watu kama hayajui bora anyamaze. Kilangila.Naona amelog off
Hata siku hizi misibani kuna miziki watu wanaburudika kujiliwaza, target ya wauzuliaji misibani ni kuhakikisha wanaenda kuwapa tumaini wafiwa kwa kuwafariji sambamba na kuwaondolea majonzi kujisahaulisha na yaliyotokeaYaani serikali inahangaishana na watu kwenye mambo ya imani.
Ndo maana msibani watu hula sasa sijui iliwakamata kwa nini
Mambo mengine serikali ituacheHata siku hizi misibani kuna miziki watu wanaburudika kujiliwaza, target ya wauzuliaji misibani ni kuhakikisha wanaenda kuwapa tumaini wafiwa kwa kuwafariji sambamba na kuwaondolea majonzi kujisahaulisha na yaliyotokea
Na ndio maana waislam msiba wao haudumu, kwasababu hakuna point ya kuendelea kutumia muda mwingi kumfikiria mfu
Wakuu hebu tujadili hili.
Serikali imetoa wito kutoskia shamrashamra za sikuku ya pasaka mwaka huu tofauti na miaka mingine kisa bado tupo kwenye maombolezo.
Je, Swali kwa serikali inamaana hawakuona zile kelele na shamrashamra Bungeni baada ya jina la Philipo Isdor Mpango kupendekezwa na mama Samia?.
Yaani wao walisherekea Jina tu, je sisi swala la kidini kwa nini waingilie kati.
Tuchangie mawazo wanandugu
Viongozi wa serikali wanatambua kuwa baadhi ya watanzania walikuwa hawampendi mtu huyu. Walitakiwa wajiulize kwa nini, kisha wao wajirekebishe kwa kuepuka matendo yaliyosababisha wasimpende. Kutoa maagizo kama haya, ni kulazimisha watu wote wampende, na zaidi sana kuingilia imani za watu. Hilo haliwezekani. Th 17/03/2021 msiba ulipotangazwa, kuna watu walikesha wakinywa pombe. Sijui walikuwa wakinywa kwa furaha au kwa majonzi. Kilangila.Serikali ituache kidogo kwa hili
Yana jifanya mazalendo kumbe pasua kichwaEti hawataki shamrashamra
Mie nitachinja kusherekea kufufuka kwa Bwana. Halaf nione Bata aina ya polisi inanikamata. Tambala mashimu patachimbikaUnaweza kuchinja ka mbuzi kako ukaja kukamatwa kuwa unasherekea msiba.
Tunasherehekea kufufukaFirst things first, kwa nini ni lazima tusherehekee pasaka?
Tunasherehekea bwana kusulubiwa ?
Utakuwa kama walee wa mbeyaaa 😃😃😃😁Unaweza kuchinja ka mbuzi kako ukaja kukamatwa kuwa unasherekea msiba.
Sio kusurubiwa , tunasherekea ufufuo wa bwana YESU wa kushinda mautiFirst things first, kwa nini ni lazima tusherehekee pasaka?
Tunasherehekea bwana kusulubiwa ?
Tunakukamata, na ka mbuzi tunabeba kama tunaenda kutupa. Tukifika sehemu tunaangalia kama hakuna watu wanaotutazama tunagawana tunapeleka majumbani kwetu. Na ndiyo utajua kumbe maendeleo yana vyama.Unaweza kuchinja ka mbuzi kako ukaja kukamatwa kuwa unasherekea msiba.