Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Kwa jinsi wanavyolala kwa distance kuambukizana nje nje!pale jpm hostel kila mtu na room yake ingawa kuna vitanda 4,changamoto ya watu waliokua wanalalamikia vyoo vya kushare na nasikia kwa % flan hiyo changamoto imerekebishwaKwa hali hii labda corona iamue kufungasha virago yenyewe.
Kwa jinsi wanavyolala kwa distance kuambukizana nje nje!pale jpm hostel kila mtu na room yake ingawa kuna vitanda 4,changamoto ya watu waliokua wanalalamikia vyoo vya kushare na nasikia kwa % flan hiyo changamoto imerekebishwa
Ni kweli kabisa mkuuHapo ni sawa na sehemu ya kutengeneza maambukizi mapya.
Na ndio nilimwambia mwenzako pale juu ya kwamba wale anaosema wanatoroka asidhani wote ni positive bali ni wale wameshikwa kwa kukiuka masharti ya serikali. Huku ukipatikana nnje masaa za curfew jua karantini ni lazima kwa gharama zako halafu unashtakiwa. Wanaotoroka ni kwa ajili ya adhabu inayowangojea na haina uhusiano wowote na kutotaka kupimwa ugonjwa.Kwa hali hii labda corona iamue kufungasha virago yenyewe.
Lakini vipi kama katika hao waliototoka kuna mmojawapo ambaye tayari alisha ambukizwa!Na ndio nilimwambia mwenzako pale juu ya kwamba wale anaosema wanatoroka asidhani wote ni positive bali ni wale wameshikwa kwa kukiuka masharti ya serikali. Huku ukipatikana nnje masaa za curfew jua karantini ni lazima kwa gharama zako halafu unashtakiwa. Wanaotoroka ni kwa ajili ya adhabu inayowangojea na haina uhusiano wowote na kutotaka kupimwa ugonjwa.
Na ndio nilimwambia mwenzako pale juu ya kwamba wale anaosema wanatoroka asidhani wote ni positive bali ni wale wameshikwa kwa kukiuka masharti ya serikali. Huku ukipatikana nnje masaa za curfew jua karantini ni lazima kwa gharama zako halafu unashtakiwa. Wanaotoroka ni kwa ajili ya adhabu inayowangojea na haina uhusiano wowote na kutotaka kupimwa ugonjwaKwa hali hii labda corona iamue kufungasha virago yenyewe.
Kila hatua na changamoto moto zake. Huku tuko na udhaifu wetu, lakini licha ya hayo tutang'ang'a kadiri ya uwezo. Hatuwezi achia. Tiyari wamepewa makataa wajisalamishe kwa hiari laa sivyo watafutwe na vyombo vya usalama.Lakini vipi kama katika hao waliototoka kuna mmojawapo ambaye tayari alisha ambukizwa!
Huoni inakuwa tayari kasha waambukiza wengine hususan hao aliowekwa nao quarantine?
Vizuri umekiri kuwa nchi yenu ni ya wapumbavujamaa wana upumbavu fulani hivi.
Una Akili za kitoto kulilia visivyowezekana.......!!!Nijipe moyo ndio iweje? ukweli mtupu huo!..
Vizuri umekiri kuwa nchi yenu ni ya wapumbavu
Hao watu 50 wanaenda kuimwaga corona kikombaa huko,kila mtu mmoja ana uwezo wa kuambumiza watu 800,ndani ya daki 5
Mikenya ni mijitu ya ajabu sana
Kwa kupenda udaku haujambo,
Imagine is kenyans have the lowest it means tanzanians have zero IQ thenIt is safe to assume that Kenyans have the lowest IQ in the whole world.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu aliweka picha university haina maji akashikwa, i wonder akieka about corona vile atafanywa, hata jana igp ameambiwa atafute watu wenye wanaspread news, nyinyi na north korea hmna tofautiKwa kupenda udaku haujambo,
Hiyo video ndio uthibitisho?
Recorded voice ambayo hata mimi naweza kurekodi uwongo na kuusambaza,
Post video ikionesha wakitoroka tuone na sio kupost sauti zilizorekodiwa,
Kwa hiyo vioo vilivyo vunjwa ndio hizo kwa hiyo pic kwenye hiyo video [emoji23]
Embu angalia hii picha kwenye hii link kisha uangalie hiyo iliyowekwa kwenye hiyo video.
https://m.facebook.com/Amanahospitalkuttiyadi/
Napenda namna mnavyo angaika kumfuatilia Jpm badala ya kushughulika na matatizo tenu,Mtu aliweka picha university haina maji akashikwa, i wonder akieka about corona vile atafanywa, hata jana igp ameambiwa atafute watu wenye wanaspread news, nyinyi na north korea hmna tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu aliweka picha university haina maji akashikwa, i wonder akieka about corona vile atafanywa, hata jana igp ameambiwa atafute watu wenye wanaspread news, nyinyi na north korea hmna tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitu gani hivyo visivyowezekana. Kama huna hoja jipoteze.Una Akili za kitoto kulilia visivyowezekana.......!!!