Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Kwa hali hii labda corona iamue kufungasha virago yenyewe.
Kwa jinsi wanavyolala kwa distance kuambukizana nje nje!pale jpm hostel kila mtu na room yake ingawa kuna vitanda 4,changamoto ya watu waliokua wanalalamikia vyoo vya kushare na nasikia kwa % flan hiyo changamoto imerekebishwa