Kinachokwamisha serikali nyingi za kiafrika kutokusonga mbele ni UFISADI, na matumizi mabovu ya fedha, na ndio maana mwananchi anakuwa mgumu kulipa kodi, leo waziri wa fedha anaulizwa kwanini wasianze wao kupunguza matumizi kwenye misafara ya viongozi, eti ana jibu kwenye misafara ile hasa ya rais wengi wao wanatumia magari yao binafsi kweli?!!yale ya ma V8, ni ya kwao binafsi!!inshu wala sio kukusanya kama hujadhibiti upotevu wa hayo mapato ni bure, huyo mnyonge mtamuua tu, na kile mnachomuahidi kamwe hatakiona!!mfano awamu ya tano tuliaminishwa kuwa makusanyo yanakusanywa kweli kweli, na pesa haipotei!!lipi la maana sana lilifanyika, kama ni deni la taifa lilipaa sio kawaida!!
Hali ya madawa hospitalini haikuwa na unafuu wowote!!