Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Bei yamafuta inazidi kupanda. Maana yake nchi tutatumia pesa nyingi sana kununua mafuta. Pesa ambazo zingeweza kufanya mambo mengine ya kukuza uchumi. Nashauri serikali ifanye mambo yafuatayo ili tupunguze kwa kiasi kikubwa matumizi ya mafuta.
1.Tungeondoa kodi zote kwa wale wanaonunua magari ya umeme. Hili ni kufanya iwe nafuu kuyanunua. Magari mapya na yaliyotumika ya umeme yawe na zero tax.
2. Ikiwezekana serikali iwape incentives nyingi wale wanaotaka kuwekeza nchini kwenye masuala yanayohusiana na magari ya umeme. Watu wanaotaka kuunda betri, motor, magari yenyewe, pikipiki, wakufanya refurbishing nk.
1.Tungeondoa kodi zote kwa wale wanaonunua magari ya umeme. Hili ni kufanya iwe nafuu kuyanunua. Magari mapya na yaliyotumika ya umeme yawe na zero tax.
2. Ikiwezekana serikali iwape incentives nyingi wale wanaotaka kuwekeza nchini kwenye masuala yanayohusiana na magari ya umeme. Watu wanaotaka kuunda betri, motor, magari yenyewe, pikipiki, wakufanya refurbishing nk.