Serikali ingeondoa kodi zote kwa magari ya umeme

Serikali ingeondoa kodi zote kwa magari ya umeme

Yeah kwa mazingira ya sasa gari nyingi zina batteries za kuanzia 35KWhhadi 1OOKWh. Kadri
KWh inavyozidi kuwa juu ndio uwezo wa kwenda umbali mrefu kwa gari kwa single charge unaongezeka.

Sasa battery imagine battery zuri la KWh 45KWh likifungwa mota yenye ufanisi mzuri linaweza kutembea umbali wa 21Okm it means kulijaza ni umeme wa elfu 15 tu. Ila umbali huo wa 21Okm ili utembee kwa kutumia petroli kwa gari inayotembea wastani wa kilometre 8 kwa litre maana yake ungetakiwa ujaze litre 27 ambazo kwa bei ya sasa ni sawa na 27*3148 = 84,996 ~ 85,OOO...Tuchukulie haya ni mafuta ya week 1.

Sasa angalia tofauti ilioko baina ya 85,OOO - 15,OOO = 7O,OOO... Hivi unaweza ku justify vipi hii tofauti haileti unafuu mkubwa kwa mlaji. Hii nimechukulia in case mtu anajazia gari nyumbani kwake kwa umeme wetu wa kawaida.

Ila ukifungiwa 3 phase kwa ajili ya fast charge huenda ikawa bei ya unit tofauti. Ila hata wakikuuzia unit moja tsh.4OO still gharama haiwez kuwa sawa na mafuta. Sababu kwenye kila litre 1 ya mafuta kutakuwa na Units. 8 kwa bei ya sasa ya 3,22O.
🤣 🤣 🤣 🤣 Itaboost kama charging inakula kilowatts nyingi. Charger ni charger tu haiwezi kufikia heater au pasi. Wakati kwenye mafuta karibia 50% ya bei ya mafuta ni kodi. Kwa ufuatiliaji wangu miaka kama 10 imepita hivi mafuta yaliyokuwa yanaongoza kwa matumizi nchini ilikuwa ni Diesel kwa siku Tanzania ilikuwa inatumia liter 7m za diesel sasa sijajua kwa sasa tunatumia lita ngapi za Diesel kwa siku.
 
Yeah kwa mazingira ya sasa gari nyingi zina batteries za kuanzia 35KWhhadi 1OOKWh. Kadri
KWh inavyozidi kuwa juu ndio uwezo wa kwenda umbali mrefu kwa gari kwa single charge unaongezeka.

Sasa battery imagine battery zuri la KWh 45KWh likifungwa mota yenye ufanisi mzuri linaweza kutembea umbali wa 21Okm it means kulijaza ni umeme wa elfu 15 tu. Ila umbali huo wa 21Okm ili utembee kwa kutumia petroli kwa gari inayotembea wastani wa kilometre 8 kwa litre maana yake ungetakiwa ujaze litre 27 ambazo kwa bei ya sasa ni sawa na 27*3148 = 84,996 ~ 85,OOO...Tuchukulie haya ni mafuta ya week 1.

Sasa angalia tofauti ilioko baina ya 85,OOO-15,OOO=7O,OOO... Hivi unaweza ku justify vipi hii tofauti haileti unafuu mkubwa kwa mlaji. Hii nimechukulia in case mtu anajazia gari nyumbani kwake kwa umeme wetu wa kawaida.

Ila ukifungiwa 3 phase kwa ajili ya fast charge huenda ikawa bei ya unit tofauti. Ila hata wakikuuzia unit moja tsh.4OO still gharama haiwez kuwa sawa na mafuta. Sababu kwenye kila litre 1 ya mafuta kutakuwa na Units. 7 kwa bei ya 3,148
Shida watawala, huo unafuu tutaufidia tu. Waliondoa kodi ya kichwa tuliyokuwa tunalipa kwa mwaka tukaona unafuu kweli ikawekwa VAT, 18% tunajikuta tunalipa zaidi ya ilivyokuwa kodi ya kichwa.

The same to motor vehicle, ilikuwa inalipwa mara moja kwa mwaka kwa gari, tukawekewa kwenye kila lita ya mafuta.
 
Shida watawala, huo unafuu tutaufidia tu. Waliondoa kodi ya kichwa tuliyokuwa tunalipa kwa mwaka tukaona unafuu kweli ikawekwa VAT, 18% tunajikuta tunalipa zaidi ya ilivyokuwa kodi ya kichwa.

The same to motor vehicle, ilikuwa inalipwa mara moja kwa mwaka kwa gari, tukawekewa kwenye kila lita ya mafuta.
Motor vehicle kuiweka kwenye wese ni sahihi kabisa sababu kwa wengine ambao gari tunapaki mda mwingi ingekuwa unyanyasaji maana gari haitembei ila unalimbikiziwa madeni.

Nafikiri na Bima nayo waiweke katika mtindo huo huo. Bima iungane na sheli za mafuta tu as long as unajaza wese uwe umelipia bima kwa siku husika. 118,OOO igawanywe kwa siku 365 ili kila siku ujue unatakiwa kulipa kiwango flani tu.

Kihesabu 118,OOO/365= 323.2 kwa siku.

Kila ukienda sheli wakate siku zao ulizopitisha. Iwe free mtu achague kukatwa sheli au kulipia cash tu.
 
Motor vehicle kuiweka kwenye wese ni sahihi kabisa sababu kwa wengine ambao gari tunapaki mda mwingi ingekuwa unyanyasaji maana gari haitembei ila unalimbikiziwa madeni.

Nafikiri na Bima nayo waiweke katika mtindo huo huo. Bima iungane na sheli za mafuta tu as long as unajaza wese uwe umelipia bima kwa siku husika. 118,OOO igawanywe kwa siku 365 ili kila siku ujue unatakiwa kulipa kiwango flani tu.

Kihesabu 118,OOO/365= 323.2 kwa siku.

Kila u
1658476357723.png
kienda sheli wakate siku zao ulizopitisha. Iwe free mtu achague kukatwa sheli au kulipia cash tu.
Ila hii teknolojia ya EV haikwepeki, FORD US. wanatarajia kupunguza wafanyakazi 8,000 wanawekeza nguvu kwenye EV teknoloji. Ford plans to cut up to 8,000 jobs - Bloomberg News

Makampuni mengi mbali na Ford wanaumiza vichwa kwenye EV, huko China ndio balaa kuna brands nyingi sana za makampuni yanatengeneza EV kali sana na wanafanya production za maelfu tu
1658476357629.png

1658476380422.png

1658476424203.png
 
Ukiona kero unanunua la hybrid tu lenye mixa ya mafuta na umeme.
Kuongezeana gharama bure

Gari za umeme unatakiwa kuchaji kila baada ya kilomita 100 na kitu hivi na kuchaji kunachukua minimum saa nzima hiyo minimum

Sasa chukulia unatoka Dar kwenda Moshi krismasi kilomita 500 ina maana utenge masaa manne maxima kwa ajili tu ya kuchaji kituo cha charger na hapo fikiria magari yanavyokuwa mengi Krismasi kwenda Moshi hiyo foleni ya kuchaji tu safari ya Moshi si itachukua siku Tatu kufika sababu kila kituo cha kilomita mia utakutana.na migari kibao yanasubiri foleni yachaji

Hayo yanafaa mijini kwenye short distance ambako mwenye nalo hana mpango wa long distance
 
Kuongezeana gharama bure

Gari za umeme unatakiwa kuchaji kila baada ya kilomita 100 na kitu hivi na kuchaji kunachukua minimum saa nzima hiyo minimum

Sasa chukulia unatoka Dar kwenda Moshi krismasi kilomita 500 ina maana utenge masaa manne maxima kwa ajili tu ya kuchaji kituo cha charger na hapo fikiria magari yanavyokuwa mengi Krismasi kwenda Moshi hiyo foleni ya kuchaji tu safari ya Moshi si itachukua siku Tatu kufika sababu kila kituo cha kilomita mia utakutana.na migari kibao yanasubiri foleni yachaji

Hayo yanafaa mijini kwenye short distance
Kwa safari ndefu mafuta ni more efficient. Ila kwa town trips umeme ni more efficient. Hii idea ya umeme kwa watu ambao wanatumia mda mrefu kwenye safari haiwafai.
 
Ila hii teknolojia ya EV haikwepeki, FORD US. wanatarajia kupunguza wafanyakazi 8,000 wanawekeza nguvu kwenye EV teknoloji. Ford plans to cut up to 8,000 jobs - Bloomberg News

Makampuni mengi mbali na Ford wanaumiza vichwa kwenye EV, huko China ndio balaa kuna brands nyingi sana za makampuni yanatengeneza EV kali sana na wanafanya production za maelfu tu
View attachment 2299628
View attachment 2299629
View attachment 2299630
Hii Li One was actually what Toyota Crown SUV was supposed to look like.

Bongo tutacheleweshwa na wanasiasa wajinga wajinga tu walioko madarakani sababu wao wana afford ugumu wa maisha walioutengeneza. Ila kimsingi EVs ni future na mimi ningekuwa kama Mo Dewji ningeshaanza kuingia ubia na baadhi ya sheli kusambaza charging stations.

Kisha ningeingiza gari kadhaa za umeme kama ku support harakati.
 
Hii Li One was actually what Toyota Crown SUV was supposed to look like.

Bongo tutacheleweshwa na wanasiasa wajinga wajinga tu walioko madarakani sababu wao wana afford ugumu wa maisha walioutengeneza. Ila kimsingi EVs ni future na mimi ningekuwa kama Mo Dewji ningeshaanza kuingia ubia na baadhi ya sheli kusambaza charging stations.

Kisha ningeingiza gari kadhaa za umeme kama ku support harakati.
Unaota unadhani wenye pesa hawajaona ?
Gari ya umeme bei yake kubwa kuliko gari za mafuta

Bei ya chini kwa gari ndogo ya umeme ya kawaida ni shilingi milioni 100 kwa Marekani kwa ulaya zinaenda kuanzia milioni 180 .Utamuuzia nani Tanzania ? Halafu gari yenyewe yafaa kwa safari fupi fupi tu za mijini sababu ya shida ya kuchaji mara kwa mara

Hakuna Tajiri aweza jitosa kuleta gari kama hizo Tanzania afanye biashara walikozoea kujinunulia gari used za bei che

Wazo lako kibiashara halina uhalisia
 
Unaota unadhani wenye pesa hawajaona ?
Gari ya umeme bei yake kubwa kuliko gari za mafuta

Bei ya chini kwa gari ndogo ya umeme ya kawaida ni shilingi milioni 100 kwa Marekani kwa ulaya zinaenda kuanzia milioni 180 .Utamuuzia nani Tanzania ? Halafu gari yenyewe yafaa kwa safari fupi fupi tu za mijini sababu ya shida ya kuchaji mara kwa mara

Hakuna Tajiri aweza jitosa kuleta gari kama hizo Tanzania afanye biashara walikozoea kujinunulia gari used za bei che

Wazo lako kibiashara halina uhalisia
Mkuu ila tugari tupo twa bei rahisi. Mchina amefanya soko huria mbona.
 
Mkuu,shida ya hii nchi inataka imkamue mwananchi mpaka tone la mwisho,kwahio haiwezi kufanya unachosema,Hata kwa hali tuliyonayo sasa ya upatikanaji wa mafuta duniani bado bei ni ya kawaida sana sababu mpaka mafuta yanafika bandari ya dar huwa ni 1,000+ sasa jiulize anayefanya inafika 3000+ ni nani kama sio serikali na kodi zake?

Serikali ikiamua kupunguza tu 50% ya kodi na tozo zake kwenye mafuta tunaweza kabisa kununua mafuta kwa tsh 2000+ na maisha yakawa nafuu.
JamiiForums46034419.jpg
 
Kwa safari ndefu mafuta ni more efficient. Ila kwa town trips mafuta ni more efficient. Hii idea ya umeme kwa watu ambao wanatumia mda mrefu kwenye safari haiwafai.
Wazungu wanaumiza vichwa huko tutafika km 5,000+ per single charge ni suala la muda tu, Mfano; hiyo ni 2017
1658484812064.png
1658485345535.png
 
Wazungu wanaumiza vichwa huko tutafika km 5,000+ per single charge ni suala la muda tu, Mfano; hiyo ni 2017
View attachment 2299744View attachment 2299752
Gari ya namna hii ikianza kutengenezwa kwa wingi maanake ni kuwa itamuwezesha hata mtu kusafiri nayo. Charging stations zikiwa available maeneo mengi ya nchini.

Mfano labda kuchaji Units 100 mpaka 120 unapewa bei labda ni elf 60 pamoja na service charge. Ila kwenye hizo units we unaweza tembea kilometre 1000 huoni kuwa ni bonge la deal.

Wabongo hivi vitu si mpaka flani aanzishe ndio tunaiganaga. Huwezi niambia Bhakressa anashindwa kununua Tesla na kuweka fast charge station nyumbani kwake.
 
Mkuu ila tugari tupo twa bei rahisi. Mchina amefanya soko huria mbona.
Gari ndogo ya mchina hata ya petrol tu kanunue uone ni kama doli tu Kesho inabomoka.Ndio maana baada ya kugundua udhaifu wake kahamia kwenye magari makubwa ambako huko yuko vizuri

Madogo hamna kitu
 
Mfano labda kuchaji Units 100 mpaka 120 unapewa bei labda ni elf 60 pamoja na service charge. Ila kwenye hizo units we unaweza tembea kilometre 1000 huoni kuwa ni bonge la deal.
Unatoa mifano ya uongo

Gari ya umeme full charge ina uwezo wa kutembea maximum kilomita 100 kabla kuchaji tena. Hapo betri ni mpya haijachoka.Hakuna gari ya umeme unayoweza chaji full ukatembea kilomita elfu moja haipo!!

Gari ya umeme inatumia tu betri la gari lililochangamka hakuna kipya pale.Na betri ni betri tu iwe ya simu au ya gari ni wale wale tu.Uwezo wake wa kudumu chaji sio mrefu sana
 
Gari ya namna hii ikianza kutengenezwa kwa wingi maanake ni kuwa itamuwezesha hata mtu kusafiri nayo. Charging stations zikiwa available maeneo mengi ya nchini.

Mfano labda kuchaji Units 100 mpaka 120 unapewa bei labda ni elf 60 pamoja na service charge. Ila kwenye hizo units we unaweza tembea kilometre 1000 huoni kuwa ni bonge la deal.

Wabongo hivi vitu si mpaka flani aanzishe ndio tunaiganaga. Huwezi niambia Bhakressa anashindwa kununua Tesla na kuweka fast charge station nyumbani kwake.
Hazina miaka mingi tutaanza kuziona, kama kwa wenzetu 254
1658489505441.png

1658489526396.png
 
EV za bei nafuu kutoka China, tayari zimenza kuingia, Umeme wa 1,200/- inachapa Km 120, charging time 3-4 hours.
 
Kenya ,hapo tu jirani,washaanza kuzoea gari za umeme,hizo tesla zimejaa tu Nairobi.

Kwa mujibu wa Electric Car Africa,mpaka December 2020,kenya ilikua na jumla ya electric cars 1,500,imagine ni miaka miliwi iliyopita.

Halaf kuna kuna betri zikichajiwa full zinatembea mpaka kilometa 900,na zipo ndani ya uwezo wa watz kibao kwenye bei.(jiongeze ingia hata mtandao wa BEFOWARD USED CARS), bei za kawaida.

European Union wamekubaliana kutozalisha kabisa gari za diesel ifikapo mwaka 2028,na petrol ifikapo 2035...

So tutake tusitake ndo tunaaproach hivyo gari za umeme.
 
Future is electric vehicle
Screenshot_20220807-225915.jpg
 
Back
Top Bottom