Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Waziri wa TOZO!
Ukiona vitu vinapanda bei kwa haraka sana sababu kubwa ni inflation tuu, hapo serikali imechapisha pesa kuliko ilizonazo/inazokusanya, yule mchumi fake wa tozo aliyesema wahamie Burundi inaonekana ni mtupu kama maskafu yake anayovaag