Serikali ingilieni kati kushusha bei ya vitu

Ongeza bei ya Bati, hivi hawa Alf wapo realistic kweli?
 
Aisee. Ni kweli mambo magumu sana. Yaani Mungu atusaidie kwa kuwapumzisha viongozi mizigo serikalini. Eeh Mungu tusaidie maana hatuna kimbilio tena. Watetezi wamepewa kesi bandia, wengine wamekimbia nchi.
Umetoa comments ya maana sana kuliko mwingine kwenye huu uzi
 
Unachekesha wewe,ukiona bei juu ujue uhitaji ni mkubwa na bidhaa zinatoka.

Kazi ya serikali sio kupanga bei za soko, Serikali inaweza kuingilia kwenye umeme,mafuta na xhakula tuu sio nondo mara mabati nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…