MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Salama wandugu
Sijui tenda nitapata vipi Mimi mzalendo. Mimi nitazalisha nawauzia DAWASA. Kama tatizo kama hili linawashinda wasomi wetu hawa, kuna haja gani kuendelea kuwasema tu hapa JF bila kuwasaidia na kuisaidia nchi kama mzalendo namba 1.
Ni ndani ya wiki mbili huduma inaanza kutumika(2,000 m3/day (2,040-83,270 liters/hour).Wanadarisalama watapata kutumia. Hali mbaya sana vikwapa vinanuka watanzania wamekosa nini ????
Sijui tenda nitapata vipi Mimi mzalendo. Mimi nitazalisha nawauzia DAWASA. Kama tatizo kama hili linawashinda wasomi wetu hawa, kuna haja gani kuendelea kuwasema tu hapa JF bila kuwasaidia na kuisaidia nchi kama mzalendo namba 1.
Ni ndani ya wiki mbili huduma inaanza kutumika(2,000 m3/day (2,040-83,270 liters/hour).Wanadarisalama watapata kutumia. Hali mbaya sana vikwapa vinanuka watanzania wamekosa nini ????