All the best mkuu ni wazo zuri jipange vema,water desalination ni project kubwa na umeme huu wa tanesco good luck, binafsi nipo nawe maana haya ndio mawazo chanya ya to make a small difference ndani ya nchi yetu, pia tuna ground water tunaweza vuna pia, tatizo nchi yetu ina viongozi wengi walio MUMPSIMUS!