Serikali inunue Magari ya idara zote za Halmashauri ili kuleta tija na Ufanisi Nchini

Serikali inunue Magari ya idara zote za Halmashauri ili kuleta tija na Ufanisi Nchini

Muundo wa Halmashauri zetu zina idara 12 na vitengo 6. Hivyo kufanya jumla ya wakuu wa idara na vitengo kuwa 18 . Kabla ya kuondoka watalaam wa Maji kwenda RUWASA Halmashauri ilikuwa na wakuu wa idara na vitengo 19.

Idara zilizopo katika Halmashauri ni idara ya Elimu Msingi, Idara ya elimu Sekondari, Idara ya utumishi na utawala, Idara ya Mipango na ufuatiliaji, Idara ya Ujenzi, Idara ya Kilimo na umwagiliaji, Idara ya mifugo na Uvuvi, Idara ya Ardhi na Maliasili(ijapokuwa wameshahamia wizarani),Idara ya Afya , Idara ya usafi na mazingira, Idara ya Fedha. Vitengo ni Kitengo cha uchaguzi, kitengo cha manunuzi, kitengo cha ukaguzi wa ndani, kitengo sheria, kitengo cha Tehama, na Kitengo cha Nyuki.

Kimsingi wakuu wa idara na vitengo katika Halmashauri ndio wanao unda timu ya usimamizi wa Halmashauri ( CMT- Council management team). Wakuu wa idara na vitengo wanafanya kazi chini ya Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Halmashauri ndio mwenyekiti wa CMTs .Timu hii ndio inayosimamia shughuri za kila siku za Halmashauri , kila mkuu wa idara na vitengo anajukumu la kusimamia watumishi wa chini yake kwa kuhakikisha anawafikia wadau wake waliopo chini kabisa, ikiwa ni pamoja na wananchi .

Wakuu wa idara na vitengo wote wana hadhi sawa, kwa maana ya stahiki zao na katika usimamizi .Tofauti ipo katika utekelezaji wa Majukumu na uzito wa majukumu.

Tumeona serikali kupitia waziri mkuu akikabidhi magari kwa wakuu wa idara ya elimu Msingi, Magari hayo yatasaidia katika ufuatiliaji wa shughuri za elimu katika Halmashauri. Nitoe pongezi za dhati kwa serikali kwa kuliona hilo.

Lakini ushauri wangu kwa serikali ni wakuu idara walio wengi hawana magari ,hivyo inawawia vigumu sana katika kutekeleza majukumu yao ya kila Siku . Kuwaachia Halmashauri wanunue magari kwa ajili ya matumizi ya idara na vitengo imekuwa changamoto kubwa. Ziko idara ambazo ukifanya sensa Leo kati ya Halmashauri 185 utakuta karibu 95% ya idara hizo hazina magari pamoja na umuhimu wake .Mfano tu idara ya ujenzi ambayo ndio wasimamizi miradi ya maendeleo hawana magari kabisa fanyeni sensa muone . wahandisi wa halmashauri matokeo yake wanafanya kazi ya usimamizi wa miradi kwa Simu,Siku hizi serikali inapeleka fedha moja kwa moja kwenye mashule,waandisi wakisha waandalia BOQ walimu na kuwakabidhi basi hawana uwezo wa kwenda site kwenda kufanya ufuatiliaji ,ndio maana miradi mingi baada ya miaka 2 utakuta sakafu imetifuka ,madarasa yamebaki vumbi tu, kwa sababu ya usimamizi hafifu. Utakuta Halmashauri ina magari 4 , mweka hazina atumie hilo hilo kwenye mapato, afisa elimu atumie hilo hilo kwenye elimu , afisa kilimo atumie hilohilo, Afisa mipango atumie hilo hilo katika kukusanyia takwimu mbalimbali za miradi. Afisa maendekeo ya Jamii atumie hill hill kwenda kugawa fedha za Tasaf .Gari ambalo linakuwa nzima muda wote ni la Mkurugenzi tu, mengine yote hayatengenezwi.

Waziri mkuu aziagize kila wizara ihakikishe inanunua magari kwa ajili ya wakuu wa idara wao waliopo kwenye Halmashauri, wananchi wanakosa baadhi ya huduma kwa sababu tu maafisa wanashindwa kuwafikia na kutatua changamoto zao. Serikali inaagiza tu maafisa wasikae ofisini, huku vijijini hao maafisa wanaendaje , wakodi yebo au boda boda.

Mama Ummy Mwalimu saidia hili, mwenzako Jaffor alishindwa kabisa hapo tamisemi kuwa mbunifu wa kuzitafutia ufumbuzi changamoto za Halmashauri kazi yake maneno mengi utekelezaji sifuri, Alikuwa amekosa ubunifu . Mshauri Rais kule wizara ya ujenzi kuna magari mengi ya miradi ya wahisani ambayo imephase out, chukueni hayo pelekeni Halmashauri, Bandarini kuna magari mengi ambayo wamiliki wake wameshindwa kuyagomboa chukueni hayo pelekeni Halmashauri. Mtakuwa mmezisaidia Halmashauri kuwafikia wananchi kwa wakati.Wizara ya tamisemi ndio wizara ambayo IPO jirani na wananchi, hivyo wapewe magari, au vile vyanzo ambavyo vilichukuliwa virudishwe Halmashauri
Sawa mkuu wa idara
 
Hapo ulipoandika mhandisi anamkabidhi mwalimu BoQ wanakabidhiana wakiwa wapi?? Kama ni ofisini kwa mhandisi he mwalimu anafikaje ofisini kwa mhandisi??Kama ni shuleni mhansi kafikaje shuleni, wote hao ni maafisa kwa nafasi take hivyo suala la usafiri libalance kotekote
Correct
 
Mwalimu ndio anayekuja ofisin iwe kwa pikipiki au baiskeli.Mwalimu anaweza kuwa afisa lakini asiwe kiongozi kwa miundo ya utumishi was umma. Mkuu wa Idara ni kiongozi lakini mwalimu sio kiongozi kwa mujibu wa muundo uliopo wa utumishi wa umma . mtumishi wa umma anaweza kuwa afisa lakini asiwe kiongozi. Kiongozi yeyote anakuwa kwenye daraja la mshahara LSSE kwa maana ya Leaders Scale of Salary , lakini wengine wote pamoja na hao walimu uliowataja mishahara yao in tgs au tgts. Uikisikia mtumishi analipwa LSSE ni above 3M
Sawa mkuu lakini Kama issue Ni kutatua changamoto za wananchi Hawa wote wapo kwenye utekeleaji kwaio hatuitaki double standard Kama watapewa izo gari wakuu was idara basi na hao wakuu was shule wapewe
 
Mbona viongozi wengine waandamizi wa serikali (mawaziri, wakuu wa wakala na idara kubwa n.k.) utumia magari ya serikali kwa shughuli zao binafsi? Waziri anavyoenda kanisani au msikitini kwa gari la serikali, hiyo siyo shughuli binafsi?

Kama alivyosema mdau hapo juu, nami nakubali kabisa haya magari ni mzigo mkubwa sana kwa serikali. Nilishawahi kusema humu kwamba tunapaswa kuwa na ‘government car pools’ kubwa katika kila wilaya, idara na taasisi yenye magari ya aina (size, space, power etc.) tofauti tofauti kukidhi mahitaji husika ya matumizi. Pesa itakayookolewa ikaongezee bajeti za kuboresha usafirishaji na usafiri wa umma. Wakuu wa idara na taasisi watakuwa na options za kutumia magari yao binafsi (kwa kupata misamaha ya kodi na incentives zingine) ama usafiri wa umma kwa shughuli za kutimiza wajibu wao.
Mbona TRaffic wakipangiwa zamu kwenda kujificha kwenye vichaka wamulike magari na zile torch zao wanaenda na gari zao binafsi
 
Kutumia magari binafsi kwenye shughuri za serikali ,serikali ilishatoa maelekezo ,lakini inascourage kwa sababu kuna utararibu umewekwa wa kuchukua mafuta ya serikali na kutia kwenye magari binafsi. Unaweza sababisha hoja za ukaguzi, kama utaendekezwa sana, kwa sababu sasa wanaaweza kutumia mwanya huo kutumia mafuta ya serikali kwa shughuri zao binafsi
Issue sio mafuta tu mkuu gari zina mambo mengi sana kuna service na pia unachosha gari kwa issue za serikali ukiendekeza kupewa mafuta amini nakwambia baada ya mwaka gari yako itakuwa imechoka vbaya sana au ukubali kuingia garama binafsi kwa issue za officen serikali.... Ni vyema kila idara iwe na usafiri na sio gari binafsi kutumika labda kama Tyre zikiisha wanakupa mpya na matengenezo ya gari inapotokea tatizo
 
Sioni umuhimu wa Afisa Elimu kupewa gari kwa ajili ya kufuatilia masuala ya Elimu wakati mwalimu anayefundisha anatembea kilometa kadhaa kufika kituoni....ningetamani sana serikali ichukue hayo mabilioni iwanunulie walimu pikipiki ili iwe rahisi kwao kufika vituoni maana kuna shule zinaweza maliza mwaka mzima hazijawahi kumuona Afisa Elimu amekanyaga hapo unless kuna tatizo ndipo aende hapo ......
 
Magari ni mzigo kwa walipa kodi.Watumishi wapewe misamaha ya kodi waingize magari binafsi Ili kupunguza ulazima wa manunuzi ya magari
Malizia tu hoja yako, naona kama umeiacha hoja ikielea hewani. Vipi kuhusu services pale ambapo magari binafsi yatatumika kufanya kazi za serikali. Nani atagharamia mafuta? Kwa roho ngumu namna hii, ipo siku utasema watumishi wpande punda katika kutekeleza majukumu yao ya kiofisi.
 
Sioni umuhimu wa Afisa Elimu kupewa gari kwa ajili ya kufuatilia masuala ya Elimu wakati mwalimu anayefundisha anatembea kilometa kadhaa kufika kituoni....ningetamani sana serikali ichukue hayo mabilioni iwanunulie walimu pikipiki ili iwe rahisi kwao kufika vituoni maana kuna shule zinaweza maliza mwaka mzima hazijawahi kumuona Afisa Elimu amekanyaga hapo unless kuna tatizo ndipo aende hapo ......
Umeongea point sana uko vijijin shule ipo mbali wanaoumia ni walim lakn serikali na wazili mkuu wameona apewe gari afisa elimu anaekaa ofisini
 
Muundo wa Halmashauri zetu zina idara 12 na vitengo 6. Hivyo kufanya jumla ya wakuu wa idara na vitengo kuwa 18 . Kabla ya kuondoka watalaam wa Maji kwenda RUWASA Halmashauri ilikuwa na wakuu wa idara na vitengo 19.

Idara zilizopo katika Halmashauri ni idara ya Elimu Msingi, Idara ya elimu Sekondari, Idara ya utumishi na utawala, Idara ya Mipango na ufuatiliaji, Idara ya Ujenzi, Idara ya Kilimo na umwagiliaji, Idara ya mifugo na Uvuvi, Idara ya Ardhi na Maliasili(ijapokuwa wameshahamia wizarani),Idara ya Afya , Idara ya usafi na mazingira, Idara ya Fedha. Vitengo ni Kitengo cha uchaguzi, kitengo cha manunuzi, kitengo cha ukaguzi wa ndani, kitengo sheria, kitengo cha Tehama, na Kitengo cha Nyuki.

Kimsingi wakuu wa idara na vitengo katika Halmashauri ndio wanao unda timu ya usimamizi wa Halmashauri ( CMT- Council management team). Wakuu wa idara na vitengo wanafanya kazi chini ya Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Halmashauri ndio mwenyekiti wa CMTs .Timu hii ndio inayosimamia shughuri za kila siku za Halmashauri , kila mkuu wa idara na vitengo anajukumu la kusimamia watumishi wa chini yake kwa kuhakikisha anawafikia wadau wake waliopo chini kabisa, ikiwa ni pamoja na wananchi .

Wakuu wa idara na vitengo wote wana hadhi sawa, kwa maana ya stahiki zao na katika usimamizi .Tofauti ipo katika utekelezaji wa Majukumu na uzito wa majukumu.

Tumeona serikali kupitia waziri mkuu akikabidhi magari kwa wakuu wa idara ya elimu Msingi, Magari hayo yatasaidia katika ufuatiliaji wa shughuri za elimu katika Halmashauri. Nitoe pongezi za dhati kwa serikali kwa kuliona hilo.

Lakini ushauri wangu kwa serikali ni wakuu idara walio wengi hawana magari ,hivyo inawawia vigumu sana katika kutekeleza majukumu yao ya kila Siku . Kuwaachia Halmashauri wanunue magari kwa ajili ya matumizi ya idara na vitengo imekuwa changamoto kubwa. Ziko idara ambazo ukifanya sensa Leo kati ya Halmashauri 185 utakuta karibu 95% ya idara hizo hazina magari pamoja na umuhimu wake .Mfano tu idara ya ujenzi ambayo ndio wasimamizi miradi ya maendeleo hawana magari kabisa fanyeni sensa muone . wahandisi wa halmashauri matokeo yake wanafanya kazi ya usimamizi wa miradi kwa Simu,Siku hizi serikali inapeleka fedha moja kwa moja kwenye mashule,waandisi wakisha waandalia BOQ walimu na kuwakabidhi basi hawana uwezo wa kwenda site kwenda kufanya ufuatiliaji ,ndio maana miradi mingi baada ya miaka 2 utakuta sakafu imetifuka ,madarasa yamebaki vumbi tu, kwa sababu ya usimamizi hafifu. Utakuta Halmashauri ina magari 4 , mweka hazina atumie hilo hilo kwenye mapato, afisa elimu atumie hilo hilo kwenye elimu , afisa kilimo atumie hilohilo, Afisa mipango atumie hilo hilo katika kukusanyia takwimu mbalimbali za miradi. Afisa maendekeo ya Jamii atumie hill hill kwenda kugawa fedha za Tasaf .Gari ambalo linakuwa nzima muda wote ni la Mkurugenzi tu, mengine yote hayatengenezwi.

Waziri mkuu aziagize kila wizara ihakikishe inanunua magari kwa ajili ya wakuu wa idara wao waliopo kwenye Halmashauri, wananchi wanakosa baadhi ya huduma kwa sababu tu maafisa wanashindwa kuwafikia na kutatua changamoto zao. Serikali inaagiza tu maafisa wasikae ofisini, huku vijijini hao maafisa wanaendaje , wakodi yebo au boda boda.

Mama Ummy Mwalimu saidia hili, mwenzako Jaffor alishindwa kabisa hapo tamisemi kuwa mbunifu wa kuzitafutia ufumbuzi changamoto za Halmashauri kazi yake maneno mengi utekelezaji sifuri, Alikuwa amekosa ubunifu . Mshauri Rais kule wizara ya ujenzi kuna magari mengi ya miradi ya wahisani ambayo imephase out, chukueni hayo pelekeni Halmashauri, Bandarini kuna magari mengi ambayo wamiliki wake wameshindwa kuyagomboa chukueni hayo pelekeni Halmashauri. Mtakuwa mmezisaidia Halmashauri kuwafikia wananchi kwa wakati.Wizara ya tamisemi ndio wizara ambayo IPO jirani na wananchi, hivyo wapewe magari, au vile vyanzo ambavyo vilichukuliwa virudishwe Halmashauri
Kwa nini kitengo cha nyuki kinajitegemea? Kwani kuna wizara ya nyuki? Au ulaji tu?
 
Ni wazo zuri,, lakini binafsi naamini wanaofanya kazi kubwa Ni watumishi was ngazi ya chini,, Hawa halmashauri kazi yao kubwa ni kukusanya taarifa kwa wasap na kuziunganisha na kuzituma tu,,, wazo langu usafiri wapewe wale was ngazi ya chini,, mf Kuna maafisa mifugo Ana kata ina vijiji 7,, Ana fanyaje kazi,,
 
Maafisa wote ambao Ni wakuu wa idara ngazi ya halmashauri kazinyao kubwa ni ki compile taarifa tu amabazo wanatumiwa kwa watsap na watumishi wa chini yao. Na wakati mwingine kuwataka watumishi hao wapeleke taarifa halmashauri

Suala la USAFIRI liangaliwe vizuri Nani anastahili kupewa usafiri Kati ya makundi hayo. Mfano idara ya elimu wamepewa usafiri wa pikipiki waratibu elimu kata ambao Kazi zao zinafanana na watendaji wa kata katika ufuatiliaji ndani ya kata, Weos, maafisa kilimo wa kata waangaliwe pia
 
Muundo wa Halmashauri zetu zina idara 12 na vitengo 6. Hivyo kufanya jumla ya wakuu wa idara na vitengo kuwa 18 . Kabla ya kuondoka watalaam wa Maji kwenda RUWASA Halmashauri ilikuwa na wakuu wa idara na vitengo 19.

Idara zilizopo katika Halmashauri ni idara ya Elimu Msingi, Idara ya elimu Sekondari, Idara ya utumishi na utawala, Idara ya Mipango na ufuatiliaji, Idara ya Ujenzi, Idara ya Kilimo na umwagiliaji, Idara ya mifugo na Uvuvi, Idara ya Ardhi na Maliasili(ijapokuwa wameshahamia wizarani),Idara ya Afya , Idara ya usafi na mazingira, Idara ya Fedha. Vitengo ni Kitengo cha uchaguzi, kitengo cha manunuzi, kitengo cha ukaguzi wa ndani, kitengo sheria, kitengo cha Tehama, na Kitengo cha Nyuki.

Kimsingi wakuu wa idara na vitengo katika Halmashauri ndio wanao unda timu ya usimamizi wa Halmashauri ( CMT- Council management team). Wakuu wa idara na vitengo wanafanya kazi chini ya Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Halmashauri ndio mwenyekiti wa CMTs .Timu hii ndio inayosimamia shughuri za kila siku za Halmashauri , kila mkuu wa idara na vitengo anajukumu la kusimamia watumishi wa chini yake kwa kuhakikisha anawafikia wadau wake waliopo chini kabisa, ikiwa ni pamoja na wananchi .

Wakuu wa idara na vitengo wote wana hadhi sawa, kwa maana ya stahiki zao na katika usimamizi .Tofauti ipo katika utekelezaji wa Majukumu na uzito wa majukumu.

Tumeona serikali kupitia waziri mkuu akikabidhi magari kwa wakuu wa idara ya elimu Msingi, Magari hayo yatasaidia katika ufuatiliaji wa shughuri za elimu katika Halmashauri. Nitoe pongezi za dhati kwa serikali kwa kuliona hilo.

Lakini ushauri wangu kwa serikali ni wakuu idara walio wengi hawana magari ,hivyo inawawia vigumu sana katika kutekeleza majukumu yao ya kila Siku . Kuwaachia Halmashauri wanunue magari kwa ajili ya matumizi ya idara na vitengo imekuwa changamoto kubwa. Ziko idara ambazo ukifanya sensa Leo kati ya Halmashauri 185 utakuta karibu 95% ya idara hizo hazina magari pamoja na umuhimu wake .Mfano tu idara ya ujenzi ambayo ndio wasimamizi miradi ya maendeleo hawana magari kabisa fanyeni sensa muone . wahandisi wa halmashauri matokeo yake wanafanya kazi ya usimamizi wa miradi kwa Simu,Siku hizi serikali inapeleka fedha moja kwa moja kwenye mashule,waandisi wakisha waandalia BOQ walimu na kuwakabidhi basi hawana uwezo wa kwenda site kwenda kufanya ufuatiliaji ,ndio maana miradi mingi baada ya miaka 2 utakuta sakafu imetifuka ,madarasa yamebaki vumbi tu, kwa sababu ya usimamizi hafifu. Utakuta Halmashauri ina magari 4 , mweka hazina atumie hilo hilo kwenye mapato, afisa elimu atumie hilo hilo kwenye elimu , afisa kilimo atumie hilohilo, Afisa mipango atumie hilo hilo katika kukusanyia takwimu mbalimbali za miradi. Afisa maendekeo ya Jamii atumie hill hill kwenda kugawa fedha za Tasaf .Gari ambalo linakuwa nzima muda wote ni la Mkurugenzi tu, mengine yote hayatengenezwi.

Waziri mkuu aziagize kila wizara ihakikishe inanunua magari kwa ajili ya wakuu wa idara wao waliopo kwenye Halmashauri, wananchi wanakosa baadhi ya huduma kwa sababu tu maafisa wanashindwa kuwafikia na kutatua changamoto zao. Serikali inaagiza tu maafisa wasikae ofisini, huku vijijini hao maafisa wanaendaje , wakodi yebo au boda boda.

Mama Ummy Mwalimu saidia hili, mwenzako Jaffor alishindwa kabisa hapo tamisemi kuwa mbunifu wa kuzitafutia ufumbuzi changamoto za Halmashauri kazi yake maneno mengi utekelezaji sifuri, Alikuwa amekosa ubunifu . Mshauri Rais kule wizara ya ujenzi kuna magari mengi ya miradi ya wahisani ambayo imephase out, chukueni hayo pelekeni Halmashauri, Bandarini kuna magari mengi ambayo wamiliki wake wameshindwa kuyagomboa chukueni hayo pelekeni Halmashauri. Mtakuwa mmezisaidia Halmashauri kuwafikia wananchi kwa wakati.Wizara ya tamisemi ndio wizara ambayo IPO jirani na wananchi, hivyo wapewe magari, au vile vyanzo ambavyo vilichukuliwa virudishwe Halmashauri
Sielewi huwa hizo idara ambazo hazina magari huwa wanafuatilia vipi miradi yao,!?

lakini kampuni au shirika la Wazungu ninakofanyia kazi, vilevile sana vitengo zaidi ya 20 na kila kitengo Kina staff zaidi ya 15,

sasa wenyewe walichofanya ni kuwa pool ya magari kama 20, ambapo afisa yeyote anayehitaji usafiri kwa siku hiyo anakuwa anaomba pale kwa kuweka request ya masaa 24 kabla ya safari yake,

na kwa kuwa kila kitengo au idara ina fungu lake la pesa, basi huwa inapigwa hesabu umetumia hilo gari km ngapi,

kwa mfumo huohuo mwisho wa mwaka idara inapigiwa hesabu matumizi yao ya usafiri ilikuwa ni kiasi gani, wanachangia hizo gharama wote,

sijui kama nimeeleweka,
 
Hata kama kila idara itapewa gari msisahau changamoto ya matengenezo hapo napo panakizungumkuti kikubwa. Gari inaweza kupata ka ugonjwa ka shilingi million moja lakini mpaka litengenezwe ni shida. Matengenezo madogomadogo madereva ndio huwa wanajiongeza wenyewe la sivyo ataishia kuona wenzake wanapokea posho za kuzunguka vijijini kwa activities tofauti tifauti.
 
Sielewi huwa hizo idara ambazo hazina magari huwa wanafuatilia vipi miradi yao,!?

lakini kampuni au shirika la Wazungu ninakofanyia kazi, vilevile sana vitengo zaidi ya 20 na kila kitengo Kina staff zaidi ya 15,

sasa wenyewe walichofanya ni kuwa pool ya magari kama 20, ambapo afisa yeyote anayehitaji usafiri kwa siku hiyo anakuwa anaomba pale kwa kuweka request ya masaa 24 kabla ya safari yake,

na kwa kuwa kila kitengo au idara ina fungu lake la pesa, basi huwa inapigwa hesabu umetumia hilo gari km ngapi,

kwa mfumo huohuo mwisho wa mwaka idara inapigiwa hesabu matumizi yao ya usafiri ilikuwa ni kiasi gani, wanachangia hizo gharama wote,

sijui kama nimeeleweka,
Hao wameweka utaratibu mzuri,huku halmashauri hasa hzi mpya za 2015 utakuta ina 3 au 4 idara 18 .sanasana halmashauri kongwe utakutata ina magari 6 au nane
 
Kwa nini kitengo cha nyuki kinajitegemea? Kwani kuna wizara ya nyuki? Au ulaji tu?
Hicho ni kitengo kinajitegemea na kina mkuu wa idara analipwa mshahara 3.4M, analipwa fedha za fenicha 16M, kila baafa ya miaka 5, analipwa simu 180k kila mwezi,analipwa umeme 240k kila mwezi
 
Sawa mkuu lakini Kama issue Ni kutatua changamoto za wananchi Hawa wote wapo kwenye utekeleaji kwaio hatuitaki double standard Kama watapewa izo gari wakuu was idara basi na hao wakuu was shule wapewe
Mkuu wa while?
 
Magari ni mzigo kwa walipa kodi.Watumishi wapewe misamaha ya kodi waingize magari binafsi Ili kupunguza ulazima wa manunuzi ya magari
Kwamba Kazi ya ofisi ifanywe na gari binafsi la mtu?

#YNWA
 
Muundo wa Halmashauri zetu zina idara 12 na vitengo 6. Hivyo kufanya jumla ya wakuu wa idara na vitengo kuwa 18 . Kabla ya kuondoka watalaam wa Maji kwenda RUWASA Halmashauri ilikuwa na wakuu wa idara na vitengo 19.

Idara zilizopo katika Halmashauri ni idara ya Elimu Msingi, Idara ya elimu Sekondari, Idara ya utumishi na utawala, Idara ya Mipango na ufuatiliaji, Idara ya Ujenzi, Idara ya Kilimo na umwagiliaji, Idara ya mifugo na Uvuvi, Idara ya Ardhi na Maliasili(ijapokuwa wameshahamia wizarani),Idara ya Afya , Idara ya usafi na mazingira, Idara ya Fedha. Vitengo ni Kitengo cha uchaguzi, kitengo cha manunuzi, kitengo cha ukaguzi wa ndani, kitengo sheria, kitengo cha Tehama, na Kitengo cha Nyuki.

Kimsingi wakuu wa idara na vitengo katika Halmashauri ndio wanao unda timu ya usimamizi wa Halmashauri ( CMT- Council management team). Wakuu wa idara na vitengo wanafanya kazi chini ya Mkurugenzi, Mkurugenzi wa Halmashauri ndio mwenyekiti wa CMTs .Timu hii ndio inayosimamia shughuri za kila siku za Halmashauri , kila mkuu wa idara na vitengo anajukumu la kusimamia watumishi wa chini yake kwa kuhakikisha anawafikia wadau wake waliopo chini kabisa, ikiwa ni pamoja na wananchi .

Wakuu wa idara na vitengo wote wana hadhi sawa, kwa maana ya stahiki zao na katika usimamizi .Tofauti ipo katika utekelezaji wa Majukumu na uzito wa majukumu.

Tumeona serikali kupitia waziri mkuu akikabidhi magari kwa wakuu wa idara ya elimu Msingi, Magari hayo yatasaidia katika ufuatiliaji wa shughuri za elimu katika Halmashauri. Nitoe pongezi za dhati kwa serikali kwa kuliona hilo.

Lakini ushauri wangu kwa serikali ni wakuu idara walio wengi hawana magari ,hivyo inawawia vigumu sana katika kutekeleza majukumu yao ya kila Siku . Kuwaachia Halmashauri wanunue magari kwa ajili ya matumizi ya idara na vitengo imekuwa changamoto kubwa. Ziko idara ambazo ukifanya sensa Leo kati ya Halmashauri 185 utakuta karibu 95% ya idara hizo hazina magari pamoja na umuhimu wake .Mfano tu idara ya ujenzi ambayo ndio wasimamizi miradi ya maendeleo hawana magari kabisa fanyeni sensa muone . wahandisi wa halmashauri matokeo yake wanafanya kazi ya usimamizi wa miradi kwa Simu,Siku hizi serikali inapeleka fedha moja kwa moja kwenye mashule,waandisi wakisha waandalia BOQ walimu na kuwakabidhi basi hawana uwezo wa kwenda site kwenda kufanya ufuatiliaji ,ndio maana miradi mingi baada ya miaka 2 utakuta sakafu imetifuka ,madarasa yamebaki vumbi tu, kwa sababu ya usimamizi hafifu. Utakuta Halmashauri ina magari 4 , mweka hazina atumie hilo hilo kwenye mapato, afisa elimu atumie hilo hilo kwenye elimu , afisa kilimo atumie hilohilo, Afisa mipango atumie hilo hilo katika kukusanyia takwimu mbalimbali za miradi. Afisa maendekeo ya Jamii atumie hill hill kwenda kugawa fedha za Tasaf .Gari ambalo linakuwa nzima muda wote ni la Mkurugenzi tu, mengine yote hayatengenezwi.

Waziri mkuu aziagize kila wizara ihakikishe inanunua magari kwa ajili ya wakuu wa idara wao waliopo kwenye Halmashauri, wananchi wanakosa baadhi ya huduma kwa sababu tu maafisa wanashindwa kuwafikia na kutatua changamoto zao. Serikali inaagiza tu maafisa wasikae ofisini, huku vijijini hao maafisa wanaendaje , wakodi yebo au boda boda.

Mama Ummy Mwalimu saidia hili, mwenzako Jaffor alishindwa kabisa hapo tamisemi kuwa mbunifu wa kuzitafutia ufumbuzi changamoto za Halmashauri kazi yake maneno mengi utekelezaji sifuri, Alikuwa amekosa ubunifu . Mshauri Rais kule wizara ya ujenzi kuna magari mengi ya miradi ya wahisani ambayo imephase out, chukueni hayo pelekeni Halmashauri, Bandarini kuna magari mengi ambayo wamiliki wake wameshindwa kuyagomboa chukueni hayo pelekeni Halmashauri. Mtakuwa mmezisaidia Halmashauri kuwafikia wananchi kwa wakati.Wizara ya tamisemi ndio wizara ambayo IPO jirani na wananchi, hivyo wapewe magari, au vile vyanzo ambavyo vilichukuliwa virudishwe Halmashauri
Amen kubwa sanaa.

#YNWA
 
Back
Top Bottom