Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Ukiacha je my friend?Kuna kipindi nilikuwa napenda sana mo Xtra haipiti siku sijanywa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha je my friend?Kuna kipindi nilikuwa napenda sana mo Xtra haipiti siku sijanywa.
Basi walao wapunguze kiwango cha caffeine, hapa napambana jinsi ya kuziacha!Unafikiri hawajui!!?
TBS wanajua ni hatari kiasi gani!
Serikali Ina tumia viwanda ku control population!!
Hiyo ninsera duniani kote!!
Hiyo NI elimu ya ngazi ya familia, Mimi nimeacha muda mrefu Tu kutumia energy na kahawa pia.Nisaidie basi kufikiri Mkuu
Tufanye nini ili watoto wetu wanunue maji, maziwa na juice badala ya eneji!???
Katia limao kwenye glasi.Basi walao wapunguze kiwango cha caffeine, hapa napambana jinsi ya kuziacha!
Nimeshaacha sinywi tena nina zaidi ya miezi 6. Nilinunua katon mbili nikaweka ndani zilivyoisha na hsmu ikaishaUkiacha je my friend?
Hapana hata kuziona live sijawahiUmeshakunywa KOMANDO?
Kweli ndugu yangu, hatusomi maelekezo yaliyowekwa kwenye hivyo vinywaji , energy zote wamesema zisinyweke zaidi ya mbili kwa siku, pia zisinyweke muda mfupi kabla ya kulala, sisi sasa ni kunywa tu tahamaki athari zimeshakuwa kubwa!Mkuu; tusiilaumu sana Serikali(Japokuwa nayo inachangia/inahusika) ila sisi walaji tunayo tabia sugu ya kutokutaka au kujisumbua kujua mambo kwa undani au kusoma maelekezo ya mtengenezaji, ni nini hasa kilichomo (ingredients)kwenye hicho kinywaji ila tunadanganyika kirahisi mno na ladha ya sukari au kupuuzia yale yanayohusu Afya zetu ni hadi litukute jambo ndo tunashtuka. Hatukubali kwamba Mwili wetu ni kile tunachokula.
Aidha wazazi esp.akina mama utamkuta mama kambeba mwanaye na chupa ya juice eti anampenda mwanaye kwa kumnunulia hiyo juice.Hajiulizi hata kidogo kwamba ni shamba gani kubwa hivyo hapa Tz linauwezo wa kuzalisha embe, machungwa n.k. kwa mwaka mzima na kutosheleza waTz zaidi ya mil. 60???
I wish ningekuwa weweNimeshaacha sinywi tena nina zaidi ya miezi 6. Nilinunua katon mbili nikaweka ndani zilivyoisha na hsmu ikaisha
Sasa serikali kama inaruhusu Visungura itapiga vita Vipi energy?Ni tatizo linatengenezwa na serikali inakaa kimya kwa maana imeruhusu watu wake wawe weaknesses hapo mbeleni, yote ni serikalini kuto kuithamini kesho.
Hata wenye viwanda pamoja na kuangalia wingi wa faida leo lakini sijui kama wanapiga hesabu ya hasara kwa kesho .
Naunga mkono bidhaa hizo zipande bei au zipunguzwe uzalishaji na usambazaji ziweze kuadimika automatically bei itapanda na taratibu watu tutaacha kununua hizo energy drink mimi binafsi ni miongoni mwao wanaotumia hivyo vinywaji.
Hamu hua ni tamu kuliko tamu yenyewe.Hamu tu ya kunywa ila sikuona kama inafanya mwili uwe tofauti
Ukiweka limao caffeine inapungua ama uraibu unapungua?Katia limao kwenye glasi.
Ila bora nyie wanaume caffeine madhara yake sio makubwa kama sisi.I wish ningekuwa wewe
Inawezekana hujui madhara ya caffeine.Ila bora nyie wanaume caffeine madhara yake sio makubwa kama sisi.
Ukitaka uache nunua nyingi zitakukinai tu
Wasalaam wana jamiiforum
Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.
Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.
Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.
Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa
View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ
Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice
Sina hakika sana kama caffeine ina madhara zaidi kwa aina ya jinsia.Ila bora nyie wanaume caffeine madhara yake sio makubwa kama sisi.
Ukitaka uache nunua nyingi zitakukinai tu
Limao NI anti acid, inondowa uric acid na ina kazi nyingi Sana positive mwilini.Ukiweka limao caffeine inapungua ama uraibu unapungua?
Wasalaam wana jamiiforum
Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.
Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.
Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.
Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa
View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ
Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice