Serikali iongeze bei ya energy drinks ili kunusuru maisha ya Watanzania

Serikali iongeze bei ya energy drinks ili kunusuru maisha ya Watanzania

Huko mbeya hizi energy drinks zitaua vijana,wanazifakamia hatari
 
Wasalaam wana jamiiforum

Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.

Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.

Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.

Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa


View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ

Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice

Kitu kibaya huondolewa dukani na siyo kukifanya adimu..
 
Na madhara yote ya caffeine ila inasaidia sana kichwa kinachouma baada ya csection.
 
Wasalaam wana jamiiforum

Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.

Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.

Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.

Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa


View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ

Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice

Unachokiongelea kina make sense, ila njia uliyoshauri ndio sikubaliani nayo. Hivi ni nani aliyewaambia watz kwamba ukitaka kukomesha kitu pandisha gharama? Akili kama hizi ndio zilifanya Bei za bando zipandishwe, eti kisa watu wanashinda sana mitandaoni.

Kwanini usishauri labda itolewe elimu kuhusiana na madhara ya energy drinks? Maana kuna ambao wanazinywa kama maji au soda kiasi kwamba miili yao inazoea
 
Kuna kipindi nilikuwa napenda sana mo Xtra haipiti siku sijanywa.
Sijawah kuyapendaga haya mataka taka. Maisha yangu sijawah na sionji kinywaji chochote zaidi ya hiv spcifically.

  • 7up/sprite/pepsi
  • chai/maziwa/coffee
  • maji/ juice

Not more ..no less
 
Wasalaam wana jamiiforum

Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.

Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.

Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.

Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa


View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ

Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice

Blaa blaa blaa blaa blaa blaa
 
Wasalaam wana jamiiforum

Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.

Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.

Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.

Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa


View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ

Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice

Naungo mkono hoja
 
Sijawah kuyapendaga haya mataka taka. Maisha yangu sijawah na sionji kinywaji chochote zaidi ya hiv spcifically.

  • 7up/sprite/pepsi
  • chai/maziwa/coffee
  • maji/ juice

Not more ..no less
Hapo ni Sawa na huli mbwa mchuzi wake unakunywa.

Pepsi, 7up, sprite, Pepsi, coffee vyote Vimeo hivyo, afadhali kidogo juice ya kiwandani.
 
Hapo ni Sawa na huli mbwa mchuzi wake unakunywa.

Pepsi, 7up, sprite, Pepsi, coffee vyote Vimeo hivyo, afadhali kidogo juice ya kiwandani.
Kweye soda hapo sion shida na pia wala sio kinywaji cha kusisimua misuli. Pia hiz tunakunywa toka utoton.
Pia huwez kunywa soda 2 kwa siku. Na mwisho soda tunalunywa kama burudani tu wala sio kama watu wanavyo kunywa energy drinks with a sole purpose of energizinf themselves
 
Kitu kibaya huondolewa dukani na siyo kukifanya adimu..

Kuna tofauti kitu kibaya na matumizi mabaya

Kumbuka hata cocaine inatumika kama pain killer

Tofautisha!!
 
Watuache hivo hivo bwana sisi tushajikatia tamaa ya kuishi
 
Hatuilaumu serikali tunaikumbusha serikali kwamba kuna chanzo kipya cha mapato
Dah! Nadhani Tozo walizotuwekea hadi sasa zinatosha - mwisho wa siku hawa jamaa (Serikali) watatukausha damu.
 
mbona upumbavu imekuwaa ni kitu cha kujivuniaa hivii kwa vijana wanaojitambua????
 
Kabisa, hata bei yake ikipanda watumiaji watabana mahali ilimradi ipatikane hiyo hela ya Energy Drinks
Mtoa hoja anaitetea iwepo madukani lakini anahurumia watumiaji.😀
 
Back
Top Bottom