Serikali iongeze bei ya energy drinks ili kunusuru maisha ya Watanzania

Nisaidie basi kufikiri Mkuu
Tufanye nini ili watoto wetu wanunue maji, maziwa na juice badala ya eneji!???
Hiyo NI elimu ya ngazi ya familia, Mimi nimeacha muda mrefu Tu kutumia energy na kahawa pia.

Ni ngumu kuachia vyote lakini vingine NI rahisi Sana.

Mfano watu wanateseka Sana na vidonda vya tumbo, Kwa nini hawa Wahindi wasijenge viwanda vya madawa wauzie watu vidonge vya anti gas na anti heartburn Kwa bei nafuu tutokomeze ugonjwa wa vidonda vya tumbo?
 
Kweli ndugu yangu, hatusomi maelekezo yaliyowekwa kwenye hivyo vinywaji , energy zote wamesema zisinyweke zaidi ya mbili kwa siku, pia zisinyweke muda mfupi kabla ya kulala, sisi sasa ni kunywa tu tahamaki athari zimeshakuwa kubwa!
 
Sasa serikali kama inaruhusu Visungura itapiga vita Vipi energy?

Msipopambana wenyewe ngazi ya familia imekula kwako, sasa wewe mtu mzima anashindwa Vipi kuachia energy?

Mimi nilishapiga chini kitambo, hata itokee dharura kama nitahitaji kunywa energy basi nitanunuwa redbull ndio iko standard.
 
Serikali ipige stop hizo takataka kunusuru maisha ya vijana ambao ni taifa la kesho,hatakama inapata kodi kubwa
 
Ila bora nyie wanaume caffeine madhara yake sio makubwa kama sisi.
Ukitaka uache nunua nyingi zitakukinai tu
Sina hakika sana kama caffeine ina madhara zaidi kwa aina ya jinsia.
Nimeanza kunjwa energy tokea 2015 ingawa natumia kila asubuhi kabla ya kazi na mara chache mchana au usiku kama kazi imekua nyingi, imefika bila hio kazi inakua nzito .

Ngoja nijaribu kutumia mfululizo ili kukata hamu.
 
MO extra, azam energy, defender, Jembe,
Zote hizo zikizidi sana bei ni mia saba hatari sana kwa afya
 
Ukiweka limao caffeine inapungua ama uraibu unapungua?
Limao NI anti acid, inondowa uric acid na ina kazi nyingi Sana positive mwilini.

Wafuatilie wazungu wanapokunywa kahawa wanachanganya na maziwa, fuatilia kwenye Milo na vinywaji lemon ni lazima, hawa hii elimu wanayo tangu utotoni ndio maana hawadamkii kwenye supu asubuhi.
 
Bei itoke 600 hadi sh ngap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…