Oky, asante sana mku🙏🙏Limao NI anti acid, inondowa uric acid na ina kazi nyingi Sana positive mwilini.
Wafuatilie wazungu wanapokunywa kahawa wanachanganya na maziwa, fuatilia kwenye Milo na vinywaji lemon ni lazima, hawa hii elimu wanayo tangu utotoni ndio maana hawadamkii kwenye supu asubuhi.
Serikali ipi? Hii hii ya CCM? hawa wanaotukamuwa kila mihamara tunayofanya Leo ndio waiteme Kodi ya energy? Thubutu.Serikali ipige stop hizo takataka kunusuri vijana ambao ni taifa la kesho,hatakama inapata kodi kubwa
Kwani Dr Msukuma na wenzake pale mjengoni wanalijua hili.Ni tatizo linatengenezwa na serikali inakaa kimya kwa maana imeruhusu watu wake wawe weaknesses hapo mbeleni, yote ni serikalini kuto kuithamini kesho.
Hata wenye viwanda pamoja na kuangalia wingi wa faida leo lakini sijui kama wanapiga hesabu ya hasara kwa kesho .
Naunga mkono bidhaa hizo zipande bei au zipunguzwe uzalishaji na usambazaji ziweze kuadimika automatically bei itapanda na taratibu watu tutaacha kununua hizo energy drink mimi binafsi ni miongoni mwao wanaotumia hivyo vinywaji.
Niliwahi kuambiwa na mtaalamu wa afya mmoja kwamba wanawake tujiweke mbali na caffeine zinasababisha fertility problem. Nikajua nyie mpo safe kiasi.Sina hakika sana kama caffeine ina madhara zaidi kwa aina ya jinsia.
Nimeanza kunjwa energy tokea 2015 ingawa natumia kila asubuhi kabla ya kazi na mara chache mchana au usiku kama kazi imekua nyingi, imefika bila hio kazi inakua nzito .
Ngoja nijaribu kutumia mfululizo ili kukata hamu.
Ukiona kinyangi kinaongezwa vitu kibao. Ujue kuna matatizo.Wasalaam wana jamiiforum
Kumekua na matumizi mabaya sana ya energy drinks Tanzania. Mbaya kuliko ni kwamba hadi watoto wadogo wa shule za msingi ni wanywaji wakubwa wa hivi vinywaji.
Na wanavichukulia powa kwamba vinawachangamsha na kuwaondolea uchovu lakini taratibu vinawamaliza.
Nimewaza bei yake madukani na vile zinazalishwa kwa wingi na makampuni tofautitofauti nikagundua soko lake ni kubwa sana nikaona ni heri serikali sasa ipandishe bei ipate mapato ya kusaidia waathirika na kupunguza matumizi yake kwa watanzania.
Bei ya chini ikiwa 5,000 kwa chupa sio mbaya kabisa
View: https://youtu.be/fHEDEy-P_xc?si=bJdgfMoKoEku53HJ
Watakaoshindwa kutumia ni vizuri warudi kwenye kutumia chai, kahawa na juice
Ni kweli hujui tatizo la caffeine?Kwani hizo energy zina shida gani?
fertility
Asante sana nitajitahidi niombee!Niliwahi kuambiwa na mtaalamu wa afya mmoja kwamba wanawake tujiweke mbali na caffeine zinasababisha fertility problem. Nikajua nyie mpo safe kiasi.
Pole sana jitahidi kwa bidii zote
Energy drinks hutangazwa kama vinywaji vinavyoweza kuongeza nguvu na kuamsha ubongo.Niliwahi kuambiwa na mtaalamu wa afya mmoja kwamba wanawake tujiweke mbali na caffeine zinasababisha fertility problem. Nikajua nyie mpo safe kiasi.
Pole sana jitahidi kwa bidii zote
Nakuombea mpendwa.Asante sana nitajitahidi niombee!
Katika kusoma soma kwangu caffeine haina madhara makubwa sana isipo kuwa ikizidishwa au ikitumiwa kwa wingi hutengeneza uraibu, hio ndio shida kuu.
Kama inashida na mfumo wa uzazi ni bora kukaa mbali nayo, lakini pia caffeine hupatikana kwenye chai, tunaweza kuikwepa chai ndugu yangu!
Asante mkuu kwa haya maelezoEnergy drinks hutangazwa kama vinywaji vinavyoweza kuongeza nguvu na kuamsha ubongo.
Matumizi ya bidhaa hii yameongezeka sana siku za hivi karibuni jambo linaloongeza hamu ya kujifunza na kufahamu madhara yake kwa sasa na baadae.
Wingi wa kemikali za caffeine huathiri utendaji kazi wa moyo na mishipa ya damu. Hii huongeza nafasi ya kuugua magonjwa ya moyo na shinikizo la damu.
Vinywaji hivi huharibu pia mpangilio wa saa ya ndani ya mwili wa binadamu inayoongoza mzunguko wa usingizi, huufanya mwili upoteze kiasi kikubwa cha maji, hupunguza uoni wa macho pamoja na kufanya baadhi ya watu wapatwe na hali ya kuweweseka.
Aidha, kopo moja dogo lenye ujazo wa 16 oz ( 470 mls) huwa na nyongeza ya sukari inayofikia hadi gramu 54-62. Kiwango hiki kinazidi mahitaji ya kawaida ya kila siku ya mwili hivyo huongeza nafasi ya kuugua ugonjwa wa kisukari, kuongezeka kwa uzito pamoja na kuoza kwa meno.
Watu wenye magonjwa sugu, wanawake wajawazito pamoja na watoto ni makundi matatu yasiyoshauriwa kutumia kinywaji hiki.
Kama ilivyo kwa vitu vingine, madhara yake huonekana pale kinapotumika kwa kiasi kikubwa.
Na inaonekana Mauzo ya energy drinks ndiyo yanayowapa matajiri mauzo mengi zaidia kwa miaka hii ya karibuni.Vitumbua +Energy .Naunga mkono hojaa
Hiyo NI elimu ya ngazi ya familia, Mimi nimeacha muda mrefu Tu kutumia energy na kahawa pia.
Ni ngumu kuachia vyote lakini vingine NI rahisi Sana.
Mfano watu wanateseka Sana na vidonda vya tumbo, Kwa nini hawa Wahindi wasijenge viwanda vya madawa wauzie watu vidonge vya anti gas na anti heartburn Kwa bei nafuu tutokomeze ugonjwa wa vidonda vya tumbo?