goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 805
- 877
Tutazunguka Sana mkuu Siri izo shule hapo juu wamewekeza kwanzia miundo mbinu mpk kuwalipa walimu vizuriKuna la kujifunza kutoka kwenye shule za St Fransis,Marian Boys,Cannosa,Feza boys,Ahmes.. sijui hawa wenye shule za Kikatoliki na private wana siri gani kwenye kufaulisha physics na maths.
Nilijitahidi nao na kuwaahidi zawadi naona na mmoja tu hapa kaleta ripoti kawa wa 4,Ila mambo ya kina diamond harmonise juma lokole shyshy wanayajua [emoji23][emoji23][emoji23]
Uko pwani ipi lakini mamdenyi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
1. Ushirikiano kati ya walimu,wazazi/walezi, wanafunzi na utawala wa shule jambo ambalo linawezesha kila mtu kutimiza wajibu wake katika mazingira yenye utulivu.Tutazunguka Sana mkuu Siri izo shule hapo juu wamewekeza kwanzia miundo mbinu mpk kuwalipa walimu vizuri
Wale wa St Fransis,Marian,Feza,Ahmes na nyingi za Kikatoliki mbona wanafaulu kwenye hiyo format mpya.Hapa tuna la kujifunza kutoka kwao hasa kwenye uwekezaji katika miundo mbinu bora na motisha kwa walimu.Utungaji wa mitihan umebadilika,..haswa kwenye upande wa physics,.kuanzia mwaka 2019 format imebadilika na mfumo wa maswali unampima mwanafunzi ameelewa Nini na sio alikariri Nini,.
Conceptual questions,..na competence based questions..ndo zinazowatoa watoto kwenye reli..wao bado wanawaza kuhusu Define,.mention,List, na briefly explain..
Ushauri walimu wa masomo ya physics badilishen staili ya ufundishaji..kuanzia kidato Cha Kwanza,..kwny kila topic mjaribu kuwapa watoto conceptual questions,..ambazo zinahusiana na maisha halisi..
Kwa mfano mtoto anaulizwa,..je Ni process gan hutokea pale unapoweka TEa bag kweny maji ya Moto...kwa ambae haelewi conceptual questions hili swali hawezi akajibu chochote...(diffusion).. answer.
Siyo Physics tu hata Hisabati wamebadili mfumo wa utungaji maswali.Utungaji wa mitihan umebadilika,..haswa kwenye upande wa physics,.kuanzia mwaka 2019 format imebadilika na mfumo wa maswali unampima mwanafunzi ameelewa Nini na sio alikariri Nini,.
Conceptual questions,..na competence based questions..ndo zinazowatoa watoto kwenye reli..wao bado wanawaza kuhusu Define,.mention,List, na briefly explain..
Ushauri walimu wa masomo ya physics badilishen staili ya ufundishaji..kuanzia kidato Cha Kwanza,..kwny kila topic mjaribu kuwapa watoto conceptual questions,..ambazo zinahusiana na maisha halisi..
Kwa mfano mtoto anaulizwa,..je Ni process gan hutokea pale unapoweka TEa bag kweny maji ya Moto...kwa ambae haelewi conceptual questions hili swali hawezi akajibu chochote...(diffusion).. answer.
Wanachukua creamKwa nini shule za private zimeonyesha kufaulu kwenye fizikia na hesabu? Labda tuanzie hapo
Kuna Mwl. Alikua akitufundisha Hesabu anasema ni somo la WateuleMasomo ya Sayansi Kiukweli ni Magumu huwezi linganisha Hesabu, Fizikia , Chemistry na masomo ya Sanaa
Ukifeli wastani unafunga mabegi yako mapema tu hawana mchezo. Ila huku Chamwino secondary school hata upate wastani wa 8% utasoma hadi mtihani wa taifa ukukuteKwa nini shule za private zimeonyesha kufaulu kwenye fizikia na hesabu? Labda tuanzie hapo
Iliboru nao wamechukua cream 😂Wanachukua cream
Iliboru nao wanafungasha mabegi😂😂Ukifeli wastani unafunga mabegi yako mapema tu hawana mchezo. Ila huku Chamwino secondary school hata upate wastani wa 8% utasoma hadi mtihani wa taifa ukukute
Shida NI kwamba HAKUNA walimu wala physics Wala hisabati was kutoshaHabari za usiku wana jamvi tukiwa na furaha na ufaulu wa vijana wetu kidato cha nne kwa hakika wanastahili sifa wamefanya vizuri kama matokeo yatakuwa ni ya kweli. Lakini pamoja na kufanya vizuri nadhani changamoto imebaki katika masomo makuu mawili. Fizikia na hisabati kwa ujumla matokeo yake si mazuriql kivile .wanafunzi wengi wamefanya vibaya tena sana ushauri wangu serikali iwekeze nguvu kubwa katika masomo haya.
Kwa kuajili. Waalimu wengi wa physics na hisabati na ikiwwzekana katika ajira 5000 zilizobaki serikali ingeajiri angalau waaalimu 4500 wa hesabu na physics na angalau hizo 500 zilizobaki angalau wangexhukuliwa waalimu wa masomo mengine ni ushauri tuu iki kuleta uwiano katika ufaulu
Habari za usiku wana jamvi tukiwa na furaha na ufaulu wa vijana wetu kidato cha nne kwa hakika wanastahili sifa wamefanya vizuri kama matokeo yatakuwa ni ya kweli. Lakini pamoja na kufanya vizuri nadhani changamoto imebaki katika masomo makuu mawili. Fizikia na hisabati kwa ujumla matokeo yake si mazuriql kivile .wanafunzi wengi wamefanya vibaya tena sana ushauri wangu serikali iwekeze nguvu kubwa katika masomo haya.
Kwa kuajili. Waalimu wengi wa physics na hisabati na ikiwwzekana katika ajira 5000 zilizobaki serikali ingeajiri angalau waaalimu 4500 wa hesabu na physics na angalau hizo 500 zilizobaki angalau wangexhukuliwa waalimu wa masomo mengine ni ushauri tuu iki kuleta uwiano katika ufaulu