Serikali ipambane na suala la afya ya akili kwa Watanzania kabla ya kufanya mambo mengine makubwa.

Serikali ipambane na suala la afya ya akili kwa Watanzania kabla ya kufanya mambo mengine makubwa.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hamjambo humu ndani?
Tatizo la upungufu wa akili miongoni mwa wanajamii ya Kitanzania limekuwa kubwa sana.

Vijana kwa wazee. Serikali iboreshe lishe kwa jamii hali ngumu. Nguvu kazi hasa vijana wana ukosefu wa akili na wengine wana upungufu wa akili kichwani.
  • Vijana wa nchi hii wasomi kwa wajinga hata nchi yao hawaijui. Msomi kabisa anajua kuwa Moshi, Songea na Bukoba ni mikoa.
  • Vijana hawajui hata sera za msingi za kiuchumi na kidiplomasia za nchi yao Tanzania. Kijana hajui jinsi Tanzania inavyohusiana na mataifa makubwa kama China na Marekani.
-Mtanzania mmoja jana nilimsikia anasema tozo za benki ndo nzuri maana wanatozwa matajiri ambao ni wezi. Yaani kuwa Tajiri mpaka uwe mwizi?

-Waumini wa kanisa moja maarifa hapa Dar es salaam walikuwa ni wafuasi wa chama fulani na mara baba yao wa kiroho alupohamia chama kingine nao automatically walihamia chama hicho.

Yaani mambo ya msingi mtu anaamriwa na mtazamo wa mchungaji wake😭😭😭.
Vijana wengi kwa kukosa akili na kwa makusudi kabisa wamekuwa ombaomba ili wampige Mhindi kwenye kamari. Vichekesho sana.

Mashuleni na vyuoni hali ngumu, vijana mpaka wa masomo ya udaktari wanachanga pesa kumwonga malimbukeni wao awapasishe.
 
Una hoja mkuu, tena kubwa!
Moja la suluhisho la hili nafikiri ni kutekeleza hoja aliyoitoa mdau fulani humu hivi karibuni ya kujenga mabwawa makubwa kila mkoa kwa ajili ya kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji. Linawezekana kabisa hili kama yalivyowezekana mengine.......trust me, tutanunua mafungu ya viazi lishe kwa tshs 300 tu baada ya miaka 3 tu
 
Back
Top Bottom