Serikali ipige marufuku watoto wadogo kushirikishwa kwenye majukwaa ya wasanii

Serikali ipige marufuku watoto wadogo kushirikishwa kwenye majukwaa ya wasanii

Serikali yangu najua imeshindwa Mengi ila kushindwa kuwalinda Hawa watoto ni kosa ambalo halivumiliki.Hapo kwanza mzazi anatakiwa awe ndani,na hao waandaaji wakati mtoto akipatiwa matibabu ya kisaikolojia.The future is dark as hell tukiendelea kucheka Cheka na Hawa tuliowapa dhamana.
Mzazi ndiye aliyempandisha mwanae jukwaani ili ajifunze bongofleva.
 
Wazazi wao ndo hawa wanashindana kurusha misambwanda tu mitandaoni.
Hapo wanaandaa tu mdangaji mwingine on the future.
Mtoto alitakiwa awepo nyumbani anachezea mambo yake akichoka ale alale.
Kesho shule
 
Ulimbukeni, upumbavu huu wakupandisha watoto wadogo jukwaani upo Tanzania tu na bahati mbaya watetezi wa haki za watoto wanaona ni fasheni si tatizo.
Na sasa wamelazimisha watoto wapande kwenye majukwaa ya siasa ili waanze kuwarisisha madaraka watoto wao.
 
Back
Top Bottom