Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Serikali ipunguze bei ya viwanja vya kujengea viwanda, viwanja vya kuweka biashara. Kuuza kiwanja cha kiwanda kwa @20,000 kwa mita moja ya mraba au 30,000 kwa sqm au 50,000 kwa sqm ni bei juu mno na inaua uzalishaji wa bidhaa hasa kwa vijana na wazawa, hakuna kijana mwenye milioni 500 au 1B kwa ajili ya kununua kiwanja cha kiwanda. Hapo kwa bei hiyo labda anunue mtu tajiri sana au mwekezaji toka china, india, asia, marekani au ulaya.
Kuuza kiwanja cha kiwanda kwa 30,000 au 50,000 kwa square meter ni UJINGA sana
Pakiwa na viwanda vidogo vingi vitaongeza ajira kwa vijana, na kuongeza thamani ya mazao ya kilimo.
Serikali ipunguze kodi kwenye mashine na mitambo mbalimbali ya kuzalisha na kuchakata bidhaa za kilimo, ufugaji, Madini,uvuvi.
Bei ya kiwanja cha kiwanda kwa ajili ya vijana inatakiwa iwe 1000 kwa sqm au ikiwezana iwe hata shilingi miatano kwa square meter. Ili vijana wawe na maeneo yao ya kuwa na viwanda vidogo hata kwa laki tano. Vijana watashirikiana kuzalisha bidhaa na kuuza. Hivyo kuongeza ajira kwa vijana
Mfano halisi
Hicho ni kiwanja cha kujenga kiwanda kinauzwa na serikali kwenye mfumo wa tausi kipo Kibaha Mkoa wa Pwani angalia bei ya kiwanja cha kiwanda kinauzwa 600m. Je kuna kijana au mtanzania wa kawaida anayeweza kununua tu eneo kwa 600m?
Hii sio sawa, bei ni 30,000 kwa sqm 1
Kama serikali ina nia ya dhati ya kuzalisha ajira wapunguze bei ya viwanja vya kujengea kiwanda kuwa 1000 kwa sqm au 500 kwa sqm. Vijana wanunue kwa bei ndogo wawe bize kuzalisha bidhaa na kuchakata bidhaa za kilimo, uvuvi, ufugaji, Madini n.k
Kuuza kiwanja cha kiwanda kwa 30,000 au 50,000 kwa square meter ni UJINGA sana
Pakiwa na viwanda vidogo vingi vitaongeza ajira kwa vijana, na kuongeza thamani ya mazao ya kilimo.
Serikali ipunguze kodi kwenye mashine na mitambo mbalimbali ya kuzalisha na kuchakata bidhaa za kilimo, ufugaji, Madini,uvuvi.
Bei ya kiwanja cha kiwanda kwa ajili ya vijana inatakiwa iwe 1000 kwa sqm au ikiwezana iwe hata shilingi miatano kwa square meter. Ili vijana wawe na maeneo yao ya kuwa na viwanda vidogo hata kwa laki tano. Vijana watashirikiana kuzalisha bidhaa na kuuza. Hivyo kuongeza ajira kwa vijana
Mfano halisi
Hicho ni kiwanja cha kujenga kiwanda kinauzwa na serikali kwenye mfumo wa tausi kipo Kibaha Mkoa wa Pwani angalia bei ya kiwanja cha kiwanda kinauzwa 600m. Je kuna kijana au mtanzania wa kawaida anayeweza kununua tu eneo kwa 600m?
Hii sio sawa, bei ni 30,000 kwa sqm 1
Kama serikali ina nia ya dhati ya kuzalisha ajira wapunguze bei ya viwanja vya kujengea kiwanda kuwa 1000 kwa sqm au 500 kwa sqm. Vijana wanunue kwa bei ndogo wawe bize kuzalisha bidhaa na kuchakata bidhaa za kilimo, uvuvi, ufugaji, Madini n.k