YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Serikali iruhusu kuanzishwa mifuko binafsi ya Pension kwa ajili ya watu wasio na kipato cha kila mwezi kama Contractors, consultants, wakulima, wachimbaji wa madini ,freelancer jounalists nk wenye vipato vya msimu.
Serikali iruhusu uanzishaji wa private pension funds wataoshughulikia na pension za watu hao.
Serikali iruhusu uanzishaji wa private pension funds wataoshughulikia na pension za watu hao.