Serikali iruhusu kuanzishwa mifuko binafsi ya Pension kwa ajili ya watu wasio na kipato cha kila mwezi

Swala siyo expossure ni msingi wa pension fund waliona wafanyakazi hawana altitude ya kujiwekea akiba kasome na kwa taarifa yako hili swala tawala zimekopi toka kwenye biblia kipindi cha waziri mkuu Yusufu Misri, swala
Hatuzungumzi bima na akiba ni vitu tofauti akiba tunaweka kwa maatumizi ya baaadaye,bima tunaweka kwa matumizi ya muda wowote
 
Nakuunga mkono 100% dada mmoja kastaafu alikuwa nesi toka mwaka juzi hadi leo hajalipwa hela yeyote naomba itungwe sheria kuweka hela ya NSSF iwe hiari maana wanajifanya wanamtunzia mtu uzeeeni afaidi kwani mimi fala kwanini nisiwekeze mwenyewe ni ujannga kiwango cha lami utasikia tumenunua ndege na kujenga ma filyover kwa pesa zetu wenyewe subutu ukweli ni hela za wastaafu zinachukuliwa
 
Kwa maana nyingine ni kuambiwa wewehuwezi kujiwekea akiba, sisi tunajua ila wanakwenda kutumia kwenye miradi mingine angalia miradi yanccf je mingapi imefeli, fedha za kuwalipa wastaafu zitatoka wapi? ndiyo maana wanacheleweshewa malipo miradi yao mingi imekufa
 
Fund manager private ni tofauti na hao wa serikali sababu yeye hulipwa kwa asilimia ya faida anayozalisha .Hivyo hawezi cheza na pesa sababu ndio uhai wake akipiga faida ndio apata commision kwenye faida

Na wazoefu sana kwenye uwekezaji

Pia pesa chukulia mwanamichezo mkimbiaji kapata ushindi kazawadiwa milioni 20 hizoi kuzipata zingine tena sio leo au kesho hivyo aweza tenga kama milioni 10 kuweka kwenye private pension fund ambayo wataizungusha hiyo pesa kwenye sehemu zisizozalisha hasara zenye faida kubwa ili nao wapate commission kubwa.waweza zungusha mfano miaka mitatu huyo mchezaji uwezo wake wa michezo ukawa umeisha.Hivyo aweza lipwa mafao yake akitaka aweza wataka waendelee kuizungusha awe anapata kipato cha kiwango watakachokubaliana kila mwezi kwenye hiyo pesa yake ya pension akisema nataka yote wanampa akisema nataka nusu zingine endeleeni kuzungusha wanakubali

Pension hizi zawafaa pia kama kama wasanii,wachezaji wa michezo,wenye ajira na vipato vya part time,wenye biashara za msimu kama za misimu ya korosho nk nk
 
Ndugu yangu Yehodaya hakuna mahali utaweka fedha wasubiri ukifika muda fulani upewe, kumbuka hata Kistro Yesu alitolea mfanobyu tajiri aliyewekeza kwa watumwa wake watatu. Wawili walizalisha mmoja hakuzalisha, hii mifuko huwa inawekeza fedha kwenye miradi isiyo na faida mwisho siku wanachama wanasota kupata fedha zao , watu wa sekta binafsi wafundishwe kuwekeza kwenye miradi yenye faida pamoja na kufundishwa elimu ya kujiwekea akiba. Nikuulizze ulishawahi kupata elimu ya kujiwekea akiba kwenye mapato yako?
 
Ili wakishachangia wakizeeka wazungushwe mpaka wakome
 
Ukitaka kuchukua pesa zako mpaka ufikishe miaka 50?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…