Serikali iruhusu matumizi ya ardhi kwa ajiri ya makazi na ufugaji mijini.

Serikali iruhusu matumizi ya ardhi kwa ajiri ya makazi na ufugaji mijini.

Bra-joe

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,124
Habari?

Ningependa kuishauri Serikali kuja na Sheria ya ardhi inayoruhusu matumizi ya ardhi kwa ajiri ya makazi na ufugaji.

Kama ilivyo matumizi ya ardhi ya makazi, makazi na biashara. Basi ingependeza kama wangeongeza na Makazi na ufugaji.

Katika makazi na ufugaji viandaliwe viwanja vikubwa kama viwanja vya maghala vinavyoandaliwa.
Ufugaji lazima uwe wa zero grazing, (Kila mfugaji afungie mifugo yake ndani)

Hili likifanikiwa tutakuwa na wafugaji wengi wa kisasa nchi nzima, ajira zitaongezeka na kutakuwa na ongezeko la chakula pia.

Nawakilisha.
 
Duh. Umewaza mbali sana Kiongozi. Haiingii akilini kuwa na mawazo mgando ya makazi na biashara tu. Ufugaji muhimu sana. Kwa mji kama wa Dodoma hilo linatekelezeka kabisa. Ila utashangaa wanagawa viqanja vya sqm 600 au 400 wakati maeneo yako wazi
 
wewe wa wapi? malisho yatapatikana wapi? Jiji la dodoma litenge sehemu ya ufugaji! Inabidi ubadilike kifikra ufugaji unahitaji sehemu kubwa na si sawa kuwa ndani ya jiji au mji!
 
Habari?

Ningependa kuishauri Serikali kuja na Sheria ya ardhi inayoruhusu matumizi ya ardhi kwa ajiri ya makazi na ufugaji.

Kama ilivyo matumizi ya ardhi ya makazi, makazi na biashara. Basi ingependeza kama wangeongeza na Makazi na ufugaji.

Katika makazi na ufugaji viandaliwe viwanja vikubwa kama viwanja vya maghala vinavyoandaliwa.
Ufugaji lazima uwe wa zero grazing, (Kila mfugaji afungie mifugo yake ndani)

Hili likifanikiwa tutakuwa na wafugaji wengi wa kisasa nchi nzima, ajira zitaongezeka na kutakuwa na ongezeko la chakula pia.

Nawakilisha.
Ni nzuri sana lakini baada ya miaka 5 mifugo mingi itakuwa na animal diabetes
 
Habari?

Ningependa kuishauri Serikali kuja na Sheria ya ardhi inayoruhusu matumizi ya ardhi kwa ajiri ya makazi na ufugaji.

Kama ilivyo matumizi ya ardhi ya makazi, makazi na biashara. Basi ingependeza kama wangeongeza na Makazi na ufugaji.

Katika makazi na ufugaji viandaliwe viwanja vikubwa kama viwanja vya maghala vinavyoandaliwa.
Ufugaji lazima uwe wa zero grazing, (Kila mfugaji afungie mifugo yake ndani)

Hili likifanikiwa tutakuwa na wafugaji wengi wa kisasa nchi nzima, ajira zitaongezeka na kutakuwa na ongezeko la chakula pia.

Nawakilisha.
Lazima utakuwa umetoka kijijini majuzi.
Mi nakushauri uende kufugia New York, Marekani,
 
Lazima utakuwa umetoka kijijini majuzi.
Mi nakushauri uende kufugia New York, Marekani,
Ujue hata huko New York Kuna viwanja maalumu kwa ajiri ya Deports ambavyo huchukua karibu hekari Tano au zaidi zikiwa mjini. Kama deports zinawezekana mijini kwa Nini ufugaji usiwezekane mjini?
 
wewe wa wapi? malisho yatapatikana wapi? Jiji la dodoma litenge sehemu ya ufugaji! Inabidi ubadilike kifikra ufugaji unahitaji sehemu kubwa na si sawa kuwa ndani ya jiji au mji!
Nimezungumzia ZERO GRAZING Ndugu yangu.
 
Nimezungumzia ZERO GRAZING Ndugu yangu.
si sawa ndo maana unaona mifugo barabarani wenye mifugo wanapaswa kuishi kwenye outskirt za mji na kuendelea kwenye maeneo ya ekari 3 na kuendelea! Hata zero grazing inahitaji mifugo kutolewa nje ya mabanda na kuota jua!
 
Ni nzuri sana lakini baada ya miaka 5 mifugo mingi itakuwa na animal diabetes
Nazungumzia mifugo ya kuvuna baada ya muda mfupi. Mfano: kuku wa mayai/nyama au Nguruwe.
 
si sawa ndo maana unaona mifugo barabarani wenye mifugo wanapaswa kuishi kwenye outskirt za mji na kuendelea kwenye maeneo ya ekari 3 na kuendelea! Hata zero grazing inahitaji mifugo kutolewa nje ya mabanda na kuota jua!
Ekari tatu inaweza kuwekewa fence ya wire au tofari, mfugaji akawa na kuku wake 1000 wa mayai/nyama au ng’ombe 10 wa maziwa ambao chakula wanapelekewa bandani au nguruwe 70.
 
Ujue hata huko New York Kuna viwanja maalumu kwa ajiri ya Deports ambavyo huchukua karibu hekari Tano au zaidi zikiwa mjini. Kama deports zinawezekana mijini kwa Nini ufugaji usiwezekane mjini?
Sasa kama unajua hilo na hukutoka Bariadi, unaomba kibali cha nini?
 
Nazungumzia mifugo ya kuvuna baada ya muda mfupi. Mfano: kuku wa mayai/nyama au Nguruwe.
Mkuu huku elekeza kufuga kuku na nguruwe tu. Ulicho ongelea ni upomji wa viwanja vya makazi na ufugaji ( zero grazing)nchi nzima.
Nikirudi kwenye maelezo yako hapo juu kama nchi nzima wata fuga nguruwe kwa minajili hiyo si NCHI NZIMA ITAKUWA UNANUKA HARUFU YA KINYESI CHA NGURUWE!!
 
Mkuu huku elekeza kufuga kuku na nguruwe tu. Ulicho ongelea ni upomji wa viwanja vya makazi na ufugaji ( zero grazing)nchi nzima.
Nikirudi kwenye maelezo yako hapo juu kama nchi nzima wata fuga nguruwe kwa minajili hiyo si NCHI NZIMA ITAKUWA UNANUKA HARUFU YA KINYESI CHA NGURUWE!!
Kuku na Nguruwe nilitolea mfano tu, ungejaribu kushughulisha akili Yako kutafuta mifugo mingine ya kuvuna kwa muda mfupi au hata ungefikiria habari ya green house.
 
Wanakataza kufuga? Naona watu wengi wamefuga kuku majumbani.
 
Kuku na Nguruwe nilitolea mfano tu, ungejaribu kushughulisha akili Yako kutafuta mifugo mingine ya kuvuna kwa muda mfupi au hata ungefikiria habari ya green house.
Huwa sina tabia ya kubadili au kukana andiko langu au kauli yangu. Ukivukwa kaa chini anza upya
 
Back
Top Bottom