Serikali iruhusu tu mabasi kusafiri usiku na mchana sasa hivi hakuna abiria anasafiri na mamilioni cash kwenye basi kama zamani, ziko kwenye akaunti

Serikali iruhusu tu mabasi kusafiri usiku na mchana sasa hivi hakuna abiria anasafiri na mamilioni cash kwenye basi kama zamani, ziko kwenye akaunti

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Zamani kabla mifumo ya fedha kuimarika watu wakikuwa wakisafiri na mamilioni ya pesa wakija Dar kununua chochote au kuuza chochote

Sasa hivi watu husafiri tu na hela ya kula njiani tu pesa zote huwa kwenye akaunti

Hivyo tishio la kuwa abiria watavamiwa na kuporwa dogo mno. Hata mporaji hawezi ambulia cha maana labda simu ambazo hata akienda uza walionunua waweza kudakwa kirahisi tu wakaisaidia polisi kuwapata waliowauzia

Labda kwa kuanzia mabasi yaanze kusindikizwa tu na Askari mfano wawili tu wenye silaha kwenye maeneo korofi tu na Askari walipwe posho zao na mwenye basi napendekeza kila Askari alipwe posho ya elfu 20 hivyo kwa Askari wawili elfu 40

Ianze kwa majaribio kwanza
 
Kwani ni lini mabasi yamezuiwa kusafiri usiku Mkuu. Mimi naona karbia kila wiki nasafiri usiku kucha. Pale Dodoma saa 4 au 5 usiku unakamata basi la kutoka Geita, Bukoba, Kahama unaenda Dar unafika saa 12 Alfajiri unaoga unaingia mzigoni fresh.

Nenda pale Magufuli jioni saa 10 au 12 jioni kamata Sai Baba au Rungwe Express unaelekea Mbeya unasafiri usiku kucha.

Mind U hata ruti za Tabora Mpanda, Tabora Kigoma nk ambako kuna misitu mizito na mabasi yalikuwa yakizuiwa kwa sasa mabasi yanapiga ruti mpaka usiku mnene
 
Wameanza kwa kuyaruhusu yasafiri saa tisa usiku. Pole pole wataruhusu hata saa moja usiku mabasi yasafiri.
 
Wameanza kwa kuyaruhusu yasafiri saa tisa usiku. Pole pole wataruhusu hata saa moja usiku mabasi yasafiri.
Kwa mtazamo wangu mkuu mm naonaa fresh tu he Kwa upandee wakoo ww ,....
 
Kwani ni lini mabasi yamezuiwa kusafiri usiku Mkuu. Mimi naona karbia kila wiki nasafiri usiku kucha. Pale Dodoma saa 4 au 5 usiku unakamata basi la kutoka Geita, Bukoba, Kahama unaenda Dar unafika saa 12 Alfajiri unaoga unaingia mzigoni fresh.
Nenda pale Magufuli jioni saa 10 au 12 jioni kamata Sai Baba au Rungwe Express unaelekea Mbeya unasafiri usiku kucha.
Mind U hata ruti za Tabora Mpanda, Tabora Kigoma nk ambako kuna misitu mizito na mabasi yalikuwa yakizuiwa kwa sasa mabasi yanapiga ruti mpaka usiku mnene
Shida iko.mabasi ya Dar kagera kupitia kahama sio kagera kuja Dar
 
  • Thanks
Reactions: p27
Zamani kabla.mifumo ya fedha kuimarika watu wakikuwa wakisafiri na mamilioni ya pesa wakija Dar kununua chochote au kuuza chochote

Sasa hivi watu husafiri tu na hrla ya kula njiani tu pesa zote huwa kwenye akaunti

Hivyo tishio la kuwa abiria watavamiwa na kuporwa dogo mno.Hata mporaji hawezi.ambulia cha maans labda simu ambazo hata akienda uza walionunua waweza kudakwa kirahisi tu wakaisaidia polisi kuwapata waliowauzia

Labda kwa kuanzia mabasi yaanze kusindikizwa tu na Askari mfano wawili tu wenye silaha kwenye maenro korofi tu na Askari walipwe.posho zao na mwenye basi napendekeza kila Askari alipwe posho ya elfu 20 hivyo kwa Askari wawili elfu 40

Ianze kwa majaribio kwanza
Zingatia alama za uandishi.
Wewe ni mtu mzima. Kuandika makosa makosa si kitu kizuri.
 
Zamani kabla.mifumo ya fedha kuimarika watu wakikuwa wakisafiri na mamilioni ya pesa wakija Dar kununua chochote au kuuza chochote

Sasa hivi watu husafiri tu na hrla ya kula njiani tu pesa zote huwa kwenye akaunti

Hivyo tishio la kuwa abiria watavamiwa na kuporwa dogo mno.Hata mporaji hawezi.ambulia cha maans labda simu ambazo hata akienda uza walionunua waweza kudakwa kirahisi tu wakaisaidia polisi kuwapata waliowauzia

Labda kwa kuanzia mabasi yaanze kusindikizwa tu na Askari mfano wawili tu wenye silaha kwenye maenro korofi tu na Askari walipwe.posho zao na mwenye basi napendekeza kila Askari alipwe posho ya elfu 20 hivyo kwa Askari wawili elfu 40

Ianze kwa majaribio kwanza
Barabara ya Dar-Mwanza, Dar Arusha utatekwa sehemu gani kuna pori wapi? watu watembee usiku na mchana
 
Hili tumeshalipigia sana kelele humu, na hata Waziri wa zamani Kangi Lugora alishalitolea tamko kwamba yaanze , sijui utekelezaji unakwama wapi?

Mbili, ni aibu kubwa eti jeshi la POLISI kutoa hiyo sababu ya USALAMA, hii ni sawa na POLISI kukiri udhaifu

Kama kuna uhaba wa nguvu kazi ya POLISI basi tuanze na njia chache mfano;
I.Dar - Arusha
2.Dar - Dom
3.Dar- Mbeya
4.Dar- Tanga
5.Dar- Kahama
 
Zamani kabla.mifumo ya fedha kuimarika watu wakikuwa wakisafiri na mamilioni ya pesa wakija Dar kununua chochote au kuuza chochote

Sasa hivi watu husafiri tu na hrla ya kula njiani tu pesa zote huwa kwenye akaunti

Hivyo tishio la kuwa abiria watavamiwa na kuporwa dogo mno.Hata mporaji hawezi.ambulia cha maans labda simu ambazo hata akienda uza walionunua waweza kudakwa kirahisi tu wakaisaidia polisi kuwapata waliowauzia

Labda kwa kuanzia mabasi yaanze kusindikizwa tu na Askari mfano wawili tu wenye silaha kwenye maenro korofi tu na Askari walipwe.posho zao na mwenye basi napendekeza kila Askari alipwe posho ya elfu 20 hivyo kwa Askari wawili elfu 40

Ianze kwa majaribio kwanza
Unajua sababu ya magari kuzuiwa kusafiri usiku? Ilikuwa ni sababu ya ajali mbaya zilizokuwa zinatokea usiku hasa zikihusisha malori ya mizigo na mabasi.
 
Unajua sababu ya magari kuzuiwa kusafiri usiku? Ilikuwa ni sababu ya ajali mbaya zilizokuwa zinatokea usiku hasa zikihusisha malori ya mizigo na mabasi.
Sasa hivi mbona mabasi nyia nyingi yanasafiri usiku na malori pia tatizo lilikuwa barabara mbaya na nyembamba sasa hivi barabara nyingi zimeboreshwa

Mabasi yaruhusiwe tu kuanza safari muda wowote masaa 24 na kumaliza safari muda wowote masaa 24
 
Zamani kabla.mifumo ya fedha kuimarika watu wakikuwa wakisafiri na mamilioni ya pesa wakija Dar kununua chochote au kuuza chochote

Sasa hivi watu husafiri tu na hrla ya kula njiani tu pesa zote huwa kwenye akaunti

Hivyo tishio la kuwa abiria watavamiwa na kuporwa dogo mno.Hata mporaji hawezi.ambulia cha maans labda simu ambazo hata akienda uza walionunua waweza kudakwa kirahisi tu wakaisaidia polisi kuwapata waliowauzia

Labda kwa kuanzia mabasi yaanze kusindikizwa tu na Askari mfano wawili tu wenye silaha kwenye maenro korofi tu na Askari walipwe.posho zao na mwenye basi napendekeza kila Askari alipwe posho ya elfu 20 hivyo kwa Askari wawili elfu 40

Ianze kwa majaribio kwanza
Naunga mkono hoja, hakuna tena utekaji wa mabasi, na mabarabara mazuri ya two lanes, ajali zimepubgua.

P
 
Hili tumeshalipigia sana kelele humu, na hata Waziri wa zamani Kangi Lugora alishalitolea tamko kwamba yaanze , sijui utekelezaji unakwama wapi?

Mbili, ni aibu kubwa eti jeshi la POLISI kutoa hiyo sababu ya USALAMA, hii ni sawa na POLISI kukiri udhaifu

Kama kuna uhaba wa nguvu kazi ya POLISI basi tuanze na njia chache mfano;
I.Dar - Arusha
2.Dar - Dom
3.Dar- Mbeya
4.Dar- Tanga
5.Dar- Kahama
Polisi wanajihofia usalama wao... Kwa sasa miongoni mwao kuna wanyang'anyi ambo wanalete kero na usumbufu kwa madereva!
 
Mwezi uliopita tulitekwa tukiwa kwenye basi la classic around 02:20 linalotoka Zimbabwe maeneo ya Kijiji Cha ilonga mbeya jirani na mlima nyoka
Pole sana!
Tatizo lenu na nyie mnahutubia na kusimulia sana mipango mikubwa mkiwa ndani ya bus! Kwa tabia hiyo ni rahisi kuwashawishi wenye nia ovu!
 
Hayo mengine ni Sawa ila kuhusu kusafiri na kiasi kikubwa cha pesa nafikiri kuna sheria au vifungu flani nimeweka katazo la kusafiri na pesa zaidi ya shillings fulani na kama hakipo kiwekwe/iweke sheria inayoweza kukataza kusafiri na pesa nyingi zaidi
 
Ni sawa kwa sasa, ile mijambazi ya zamani nafkiri ishakufwa.
Kuna siku tulipigwa tanchi itigi ni kwamba unateremka unavua kila kitu unaenda kulala pale uchi.
Badae yakaondoka na kila kitu.
Tukapanda bus letu tuko uchi wote😅.
Africa nakupenda sana
 
Na mabasi usiku yasindikizwe na askari traffic mmoja mwenye bunduki na basi husika limlipe posho tuache kulala nchi zilizoendelea watu hawajali kijinga
 
Back
Top Bottom