bize signal
Member
- Mar 22, 2021
- 29
- 50
Kwanza kabisa niwasalimu kwa salamu ya kitaifa, KATIBA MPYA WANA JF.
Kimsingi nimekuwa nikijalibu kupata taarifa mbalimbali za huduma za magereza duniani.
Unapozilinganisha na za magereza zetu unaona ni kwa jinsi gani hali ilivyo mbaya kwa magerza zetu. Na kwa kuwa lengo la kuwa na magereza sio kuwapa watu huduma mbovu kiasi cha watu wengine kuugua na hasa kutokana na msongamano.
Mimi ninalo wazo jipya au ushauli kwa serekali Muda umefika serekali ifanye mabadiliko makubwa.
Iluhusu wawekezaji wa kibiashara katika magereza za kisasa ili wafungwa wenye kuweza kughalimia walipie na kutumikia vifungo vyao huko. hii itaweza saidia serekari kupunguza bajeti za huduma na kuboresha huduma kwa waliobaki katika gereza za serekali.
Hii haina tofauti na shule za private
Hii haina tofauti na bank binafsi
Hii haina tofauti na hospital private
Zingatia jambo la msingi kwa mfungwa ni kunyimwa uhuru wa kufanya mambo yake kwa taratibu zake.
Serekali ibaki na jukumu la kuwaweka askali wa magereza kuakikisha mfungwa yupo salama anatumikia kifungo(adhabu) aliopewa kwa mujibu wa sheria. swala la huduma linabaki kutolewa na muwekezaji (maradhi, chakula nk)
serekali inaweza tengeneza au kubolesha mazingira mengineyo. wewe msomaji weka hoja yako ili mfumo uweje.JAMBO JIPYA SIO LAZIMA LIANZIE ULAYA.
Nawakilisha.
Kimsingi nimekuwa nikijalibu kupata taarifa mbalimbali za huduma za magereza duniani.
Unapozilinganisha na za magereza zetu unaona ni kwa jinsi gani hali ilivyo mbaya kwa magerza zetu. Na kwa kuwa lengo la kuwa na magereza sio kuwapa watu huduma mbovu kiasi cha watu wengine kuugua na hasa kutokana na msongamano.
Mimi ninalo wazo jipya au ushauli kwa serekali Muda umefika serekali ifanye mabadiliko makubwa.
Iluhusu wawekezaji wa kibiashara katika magereza za kisasa ili wafungwa wenye kuweza kughalimia walipie na kutumikia vifungo vyao huko. hii itaweza saidia serekari kupunguza bajeti za huduma na kuboresha huduma kwa waliobaki katika gereza za serekali.
Hii haina tofauti na shule za private
Hii haina tofauti na bank binafsi
Hii haina tofauti na hospital private
Zingatia jambo la msingi kwa mfungwa ni kunyimwa uhuru wa kufanya mambo yake kwa taratibu zake.
Serekali ibaki na jukumu la kuwaweka askali wa magereza kuakikisha mfungwa yupo salama anatumikia kifungo(adhabu) aliopewa kwa mujibu wa sheria. swala la huduma linabaki kutolewa na muwekezaji (maradhi, chakula nk)
serekali inaweza tengeneza au kubolesha mazingira mengineyo. wewe msomaji weka hoja yako ili mfumo uweje.JAMBO JIPYA SIO LAZIMA LIANZIE ULAYA.
Nawakilisha.