Serikali isiishie kwa Kiboko ya Wachawi, kuna matapeli wengi sana kwenye uwanja wa dini Tanzania

Serikali isiishie kwa Kiboko ya Wachawi, kuna matapeli wengi sana kwenye uwanja wa dini Tanzania

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Zipo ishara nyingi za kumjua mtumishi tapeli.
Leo nitaitoa ishara moja tu.
1.Kupenda pesa kuliko Mungu anayemhubiri.
Mtumishi tapeli ni mtu anayepanda sana pesa kuliko kitu chochote. Utajuaje kuwa mtumishi huyu anapenda sana pesa?
Jibu: Accounts zote za benki zinasoma jina lake, accounts za tigopesa, mpesa, Airtel money n.k either zote zitasoma jina lake au la mke au meme wake.
Mtumishi tapeli atahakikisha mfumo wa pesa ndani ya kanisa unakuwa mikononi mwake. Kwa kufanya hivyo anakuwa ameliweka kanisa lote mifukoni mwake. Huwezi kumtimua au kumtenga hata akiwapa mimba wanakwaya 5 kwa mpigo.
Kila atakalolifanya litahesabika ni jema tu mbele ya viongozi walio chini yake kwasababu ili ule lazima umsujudie.
Kanuni iko hivi; anayetawala pesa lazima awe na power kutawala wengine.
Nitakuja kutoa codes zingine.
Hawa matapeli wanaharibu akili na nguvu kazi ya jamii.
 
Zipo ishara nyingi za kumjua mtumishi wa Mungu tapeli.
Leo nitaitoa ishara moja tu.
1.Kupenda pesa
Mtumishi wa Mungu tapeli ni mtu anayepanda sana pesa . Utajuaje kuwa mtumishi huyu anapenda sana pesa?
Jibu: Accounts zote za benki zinasoma jina lake, accounts za tigopesa, mpesa, Airtel money n.k either zote zitasoma jina lake au la mke au meme wake.
Mtumishi tapeli atahakikisha mfumo wa pesa ndani ya kanisa unakuwa mikononi mwake. Kwa kufanya hivyo anakuwa ameliweka kanisa lote mifukoni mwake. Huwezi kumtimua au kumtenga hata akiwapa mimba wanakwaya.
Kila atakalolifanya litahesabika ni jema tu mbele ya viongozi walio chini yake kwasababu ili ule lazima umsujudie.
Kanuni iko hivi; anayetawala pesa lazima awe na power kutawala wengine.
Nitakuja kutoa codes zingine.
Hawa matapeli wanaharibu akili na nguvu kazi ya jamii.
Hakuna kitu kama mtumishi wa Mungu.

Kwamaana hakuna Mungu.

Ukikaa vibaya utaibiwa taratibu taratibu tu na hao watumishi unaowaamini kwa kukupatia maneno ya kufariji.
 
Huyo Mkongo anayejiita kiboko ya wachawi aliyefukuzwa anaongea upuuzi kinoma kuhusu wabongo huko mitandaoni, yaani anatuona mazuzu na manyumbu....
Hii serikali imemuachia sana
Huyo mtu mwenyewe kabla kafanya sana biashara ya vipodozi vilivyo kuwa vimepigwa
Maarufuku,alikoswakoswa na soo
Mara kaingia kwenye unabii mtume 😄

Ova
 
Back
Top Bottom