Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Kuna uwezekano hizo ndege zake zinaruka tu Kila siku

Wakati zilipaswa kuwa grounded permanently due to safety reason.

Nikizionags naona kama mikangafu Fulani hivi
 
Assumption zimekuwa nyingi , labda tusubir black box... Kama aliwatangazia abiria kuwa wanachumpa Mwanza , ni kipi kilimfanya akatumbukiza ndege kwenye maji ?

Je aliignore uamzi wa kurud mwanza akaamua atest zari? Maofisa wa control tower walimuuza kumwambia atue ziwani? Mafuta yalikuwa low kurudi mwanza?

Hali ya hewa ilizingua ( poor visibility) akashindwa kuona anga ya kugeuza ndege kurudi mwanza? 😟
Huyu jamaa ana haraka mno. Yeye anajua ujazo wa mafuta ya ndege? Hari ya hewa ikiwa mbaya ina determined akirudi kule atatumia masàa mangapi kuresque. Tushukru Mungu tu huyu rubani alijitahidi ndege sio mbovu. Kwa nini serikali isilaumiwe kwa kutokenga uwanja wa kajunguti kwenye usalama zaidi. Sisi hili ziwa tunalifahamu. Likichafuka haswaa unaweza ukadhani gharika sasa linakuja. Yaani panatisha vibaya tena basi kukiwa na radi.
 
Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Hivi mleta mada, tatizo kwenye ile ajali hadi watu 19 wanakufa ni hali ya ndege au ukosefu wa huduma ya haraka ya uokoaji??

Vipi wananchi wenye akili nao wakidai PM na RC wajiuzulu kwa kushindwa kuweka mazingira sahihi ya udhibiti wa majanga na uokoaji??

Hivi unajua kuwa majanga, ajali na dharura kama hizo ulizotaja zipogo tu?

Kama tunakubaliana zipo je, serikali ilifanya kila kitu sahihi ili sasa lawama zibaki kuwa za Precision Air?

NB: Nakushauri usome Sendai Framework for Disaster Risk Reductions ujue majukumu ya serikali na wadau wengine.
Japo umeandika mengi lakini wewe ni mweupe sana.
Na msifikiri kuwa ATCL itaperform vizuri kwenye local market endapo mtaondoa competitions kwa kuifungia Precision Air.
 
Bongo hakuna uchunguzi unaoaminika.

Wote wanaujua kuhusika hadi sasa tayari watakuwa washaandaa mabahasha na kuyaweka sawa

Kama Watanzania mnasubiri Black Box ambayo ni Jambo la kwanza ilipaswa kutangazwa first thing kuwa Black Box imeonekana

Hilo halijasemwa Na kwa uzembe wa TZ hilo litapita Hivyo
 
Pilot/Rubani anawajibika moja kwa moja kwa ajali hiyo!
 
Hivi mleta mada, tatizo kwenye ile ajali hadi watu 19 wanakufa ni hali ya ndege au ukosefu wa huduma ya haraka ya uokoaji??

Vipi wananchi wenye akili nao wakidai PM na RC wajiuzulu kwa kushindwa kuweka mazingira sahihi ya udhibiti wa majanga na uokoaji??

Hivi unajua kuwa majanga, ajali na dharura kama hizo ulizotaja zipogo tu?

Kama tunakubaliana zipo je, serikali ilifanya kila kitu sahihi ili sasa lawama zibaki kuwa za Precision Air?

NB: Nakushauri usome Sendai Framework for Disaster Risk Reductions ujue majukumu ya serikali na wadau wengine.
Japo umeandika mengi lakini wewe ni mweupe sana.
Na msifikiri kuwa ATCL itaperform vizuri kwenye local market endapo mtaondoa competitions kwa kuifungia Precision Air.

Hiyo ukosefu wa HUDUMA ni mada nyingine kaka
 
Hivi mleta mada, tatizo kwenye ile ajali hadi watu 19 wanakufa ni hali ya ndege au ukosefu wa huduma ya haraka ya uokoaji??

Vipi wananchi wenye akili nao wakidai PM na RC wajiuzulu kwa kushindwa kuweka mazingira sahihi ya udhibiti wa majanga na uokoaji??

Hivi unajua kuwa majanga, ajali na dharura kama hizo ulizotaja zipogo tu?

Kama tunakubaliana zipo je, serikali ilifanya kila kitu sahihi ili sasa lawama zibaki kuwa za Precision Air?

NB: Nakushauri usome Sendai Framework for Disaster Risk Reductions ujue majukumu ya serikali na wadau wengine.
Japo umeandika mengi lakini wewe ni mweupe sana.
Na msifikiri kuwa ATCL itaperform vizuri kwenye local market endapo mtaondoa competitions kwa kuifungia Precision Air.

Upo so defensive, sipo Hapa kuharibu reputation yenu . Umekosa mental maturity

Hakuna mahal nime mention ATCL
 
Kama Watanzania mnasubiri Black Box ambayo ni Jambo la kwanza ilipaswa kutangazwa first thing kuwa Black Box imeonekana

Hilo halijasemwa Na kwa uzembe wa TZ hilo litapita Hivyo
Kwani ndege ilisambaratika. Si ipo intact sasa unauliza kitu kilicho obvious...weee jamaa you are nothing but a clout chaser...a true faker
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za
Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
/
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi , ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na itilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali , Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Airways ikiwa ni pamoja na kufanya Age analysis. usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wanavigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuziba ziba pancha kama waziba daladala za buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Wivu tuu unakusumbua

Mbona mabasi kibao yanapataga ajali hayafungiwi.

Mbona boti kule VISIWA vya UKARA ilipata ajali mbona mkufungia.

Watanzania wengi hatufanikiwi kwa sababu ya wivu na umaskinii.

Unaona wenye presicion Air wanafaidi sana

Tafuta hela acha ulozi.


Ajali inatokea popote na hakuna anayejua kesho.

Wape wenzako polee

Roho mbaya tuu inalusumbua kama ile Shule ya Chalize iliyotaka kumuharibia mtoto maisha yake
 
Nimewahi kupanda Precision ile kutoka Dar tu baada ya dkk 15 engine moja ikazimika na tulikuwa tunaelekea Kilimanjaro,tulisafiri na engine moja hali ya abiria ilikuwa mbaya sana tukiangalia propeller moja haifanyi kazi hadi tunatua KIA tulikuta Vikosi vya Fire vinatusubiria airport ,ukweli iliniathiri sana kupanda hizo ndege kwa karibu miaka 3, Mimi napendekeza zichunguzwe pia ,
 
Nafikiri kwenye ndege, business model ya cost minimization for profit maximization inaweza ikafanyika mostly at the expense of safety hasa kwa shirika kama precision. Nimekuwa nasikia mashirika makubwa ya ndege yanaweza kutengeneza hasara mfululizo hadi miaka 10, ndo nikagundua kwamba yatakuwa yanatumia gharama kubwa sana kuhakikisha usalama wa ndege na abiria hivyo wapo very strict kwenye maswala ya periodic maintenance and inspection na wanatumia mainjinia ambao ni vichwa with track records and experience. Nafikiri ni biashara inayohitaji mtaji mkubwa sana kwa ajili ya expansion na kuhakikisha ubora wa ndege na good management.​
 


Shida ni kwamba watu wengi awataki kukubali kuna protocol procedures za airline kwenye evacuation; ambazo azikifuatwa.

Na wala sio jambo la kushangaza civilians boats kufika wa kwanza in most cases if not all ndege zinazoanguka baharini.

Kuna watu wengi wa kulaumu ila mshitakiwa wa kwanza kama kuna kesi ya negligence mahakamani ni precision air.

Kuna video nyingi you tube za mashirika ya ndege wakitoa training kwa cabin crews on evacuation procedures. Na kuna video za ndege nyingi zilizotua majini kwa dharura kuona how that training was executed.

Precision Air is blameworthy

Yaa, nafikiri hili na lenyewe lilikuwa tatizo, ilikuwaje cabin crew hawakufanya jitihada za ku evacuate abiria, badala yake nimesikia wao waliruka kujiokoa. Otherwise, they were taken at a surprise........hawakuwa na idea ni kitu gani kilikuwa kinaendelea.
 
Back
Top Bottom