Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za
Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
/
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi , ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na itilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali , Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Airways ikiwa ni pamoja na kufanya Age analysis. usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wanavigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuziba ziba pancha kama waziba daladala za buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
" mimi na mzungu tulikuwa tumechill,"...😁😁😁
 
Maneno yako tu ndio tuyaamini? Subiri uchunguzi taarifa itatolewa uzuri wa ajali za ndege uchunguzi ni comprehensive na hujumuisha taasisi kibao akiwamo na manufacturer l.
Mzee wewe unaamini sana katika huo uchunguzi wa serikali kuliko uhalisia wenyewe? Na kama wasipotoa au wakitoa baada ya miaka mi3?
 
Huwezi kufungia shirika kwa sababu ya ajali. Inawezekana tatizo ni aina ya ndege, na kama ni hivyo, basi hizo ndege zichunguzwe au zifungiwe kwa uchinguzi kama walivyofanya pala ndege model fulani za Boeing zilifungiwa kwa uchunguzi. Ajali za ndege hutokea popote duniani kwa mashirika makubwa na madogo.

Precision Air hadi sasa record yake siyo mbaya. Huo mvutano wa Ziwa Victoria ndiyo hatari, hasa ikikumbukwa ndege zinazopita huko ni zile ndogo ambazo hali ya hewa ikichafuka haziwezi kuhimili. Labda marubani waambiwe wakikuta hali kama hiyo wageuze mara moja kwenda kwenye usalama.
Kumbe Kuna shirika na ndege? Ni vitu tofauti sanae
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za
Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
/
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi , ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na itilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali , Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Airways ikiwa ni pamoja na kufanya Age analysis. usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wanavigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuziba ziba pancha kama waziba daladala za buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Umeongea vizuri sana mkuu,niliwaza kama unavyowaza wewe,hii ndege ilikuwa na hitilafu,swala la hali ya hewa sidhani kama linahusika hapo...
 
Taili za ndege zikishindwa toka Zinatolewa manually,tatizo mifumo ya hydraulic ikishindwa kazi.Maana ndege inaweza tua hata ingini zikizima Kwa kutumia generator ya upepo kuiendesha mifumo ya hydraulic
Manually ndo zinatokaje mzee wakati ndege iko hewani
 
Mzee wewe unaamini sana katika huo uchunguzi wa serikali kuliko uhalisia wenyewe? Na kama wasipotoa au wakitoa baada ya miaka mi3?
Aviation industry haiko namna hiyo mzee...huna la kuficha, kila kitu kitakuwa wazi
 
Nimewahi kupanda Precision ile kutoka Dar tu baada ya dkk 15 engine moja ikazimika na tulikuwa tunaelekea Kilimanjaro,tulisafiri na engine moja hali ya abiria ilikuwa mbaya sana tukiangalia propeller moja haifanyi kazi hadi tunatua KIA tulikuta Vikosi vya Fire vinatusubiria airport ,ukweli iliniathiri sana kupanda hizo ndege kwa karibu miaka 3, Mimi napendekeza zichunguzwe pia ,

Mimi niliacha kuzipanda kabisa. Sitaki kusikia hiyo kitu
 
Nafikiri kwenye ndege, business model ya cost minimization for profit maximization inaweza ikafanyika mostly at the expense of safety hasa kwa shirika kama precision. Nimekuwa nasikia mashirika makubwa ya ndege yanaweza kutengeneza hasara mfululizo hadi miaka 10, ndo nikagundua kwamba yatakuwa yanatumia gharama kubwa sana kuhakikisha usalama wa ndege na abiria hivyo wapo very strict kwenye maswala ya periodic maintenance and inspection na wanatumia mainjinia ambao ni vichwa with track records and experience. Nafikiri ni biashara inayohitaji mtaji mkubwa sana kwa ajili ya expansion na kuhakikisha ubora wa ndege na good management.​

Ni kweli lakini kwa hawa Jamaa, nashauri serikali ipitie records zote za maintenance na hizo inspection. Pamoja na kuangalia team unayofanya hivyo vigezo vyao
 
Precision airways ndo kitu gani?

Unakunywa kangala huko unakuja kuleta mataapishi hapa.

Watu mnajifanya wajuaaaaaaaaaji utumbo mtupu
Jikite kwenye mjadala. Wacha kuchukua vimakosa vidogo vidogo. Alafu inaonekana akili yako ni fupi mtu ameweka facts zake ww unamuita eti anajifanya mjuaji!!!
Kumbaf
 
Ile ya juzi , ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na itilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.
Mbona black box bado haijafunguliwa au uliichukua
 
Back
Top Bottom