Serikali isiogope na wala isiendeshwe na posts za mitandao ya kijamii!!

Serikali isiogope na wala isiendeshwe na posts za mitandao ya kijamii!!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni.

Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa

Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu.

Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Leo Kazi ipo.. 😂😂😂 ni bandika bandua mpaka kuchele
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni.

Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa

Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu.

Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Kwahiyo polisi wategemee posts zako ndizo ziliendeshe jeshi la polisi, mpuuzi sana wewe huna logic
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni.

Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa

Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu.

Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Huku mitandaoni ndiko ukweli unakosemwa, kwahiyo sio kuwa serekali inaendeshwa na post za mitandaoni, bali inapambana na kuzima ukweli. Mitandao ndio mambo ya kisasa, zile habari za kudhibiti vyombo rasmi vya habari ili viisifie serekali, sio huku mitandaoni boss.
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Cha ajabu na wewe bado umo humohumo.Kwa nini usiagize gazeti la mzalendo ujisomee na uachane na mitandao?
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sawa Janjalao.
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mama yako anashinda mitandaoni kiasi Cha kusoma post za mtu asiye na umaarufu wowote Yona.
Hide your imbecility.
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mwandiko ni wa Jingalao lakini hoja ni kama za Lucas Hebel Mwashambwa, the headless chicken!
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hii post yako ya mtandaoni inaiendesha serikali pia.

Unasemaje hapo ndugu kimbwenelei
 
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.

Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.

Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.

Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Na wao wanakesha mitandaoni
 
Back
Top Bottom