jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua.
Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.
Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.
Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini hivyo kwa miaka takribani mitano.
Hawa ngwini ndio wamekuwa wanaendesha Serikali kwa muda huu. Sasa ni wakati wa kuwaonesha kuwa uwezo feki waliojipandikiza ni upuuzi.
Tuwapinge na kuwapuuza vilaza hawa kwa kauli kali sana dhidi yao.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!