Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Washajengewa nyumba na shule huko Tanga. Kwann hawataki kwenda?
Mkuu una uhakika kuwa wameshajengewa nyumba na shule huko Tanga? Unauhakika kuwa wameshalipwa fidia? Jiridhishe na hayo kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washajengewa nyumba na shule huko Tanga. Kwann hawataki kwenda?
nakumbuka wakati wa yule Msukuma wako polisi waliua watu waliokuwa waliogoma kutoka kwenye hifadhi kule ujiji na Zitto alipojitokeza kuwatetea akapewa kesi?Mwarabu amewapa mzigo wa kutosha
Hoja yao kuu siyo fidia. Wao wanassema hawaondoki eti Hilo eneo wamepewa na mwenyezi Mungu. Ebo!Mkuu una uhakika kuwa wameshajengewa nyumba na shule huko Tanga? Unauhakika kuwa wameshalipwa fidia? Jiridhishe na hayo kwanza.
Bora kusubilia huyo huyo Mungu ila wanatakiwa watoke iwe ni kontena la manoti au whatever
mtatafunwa na laana vizazi na vizazi, haya Mambo tuna yasema kikawaida Sana ila
Msukuma wangu yupi? Sasa Kama alifanya hivyo ndo umekua uridhi Sasa ,Unakumbuka wakati wa yule Msukuma wako polisi waliua watu waliokuwa waliogoma kutoka kwenye hifadhi kule ujiji na Zitto alipojitokeza kuwatetea akapewa kesi?
Hakuna mtu alikuwa mla rushwa kama jiwe, rushwa ya nchi hii inaanzia juu kushuka chininakumbuka wakati wa yule Msukuma wako polisi waliua watu waliokuwa waliogoma kutoka kwenye hifadhi kule ujiji na Zitto alipojitokeza kuwatetea akapewa kesi?
Kwahiyo jiwe alipewa mzigo?
Sawa tuu ila lazima watoke kwa maslahi ya Umma,uzushi mwingine kamsimulie Mkeo.Msukuma wangu yupi? Sasa Kama alifanya hivyo ndo umekua uridhi Sasa ,
Hapa shida ni mwarabu shindwa kubaliana na wananchi MOJA KWa MOJA katika meza ya mazungumzo matokeo yake anapitia KWa madalali walio influenced serikalin thats yanatokea haya
Zipo njia za mazungumzo Kati ya mwekezaji na wananchi bila serikali tumia mabavu pasipo kuwa na sababu KWa maslahi ya wachache,
Sasa uyo msukuma sijui ni yupi Kama alifanya ulivyoeleza Basi kwamwangalie maisha yake ,je anafaidika vipi au alifaidika vipi
Haya msubilini na maovu yenu badala ya kutubu ,muone atakavyo wafyekelea mbali,Bora kusubilia huyo huyo Mungu ila wanatakiwa watoke iwe ni kontena la manoti au whatever
Jibu hojq mkuu usilete viojaKamuulize mumeo anajua
Huwa najibu kulingana na muuliza swali, ukija kistaarabu najibu kistaarabu vinginevyo utakuna nachoJibu hojq mkuu usilete vioja
Huwa najibu kulingana na muuliza swali, ukija kistaarabu najibu kistaarabu vinginevyo utakuna nacho
Toa upumbavu wako hapa.Haya msubilini na maovu yenu badala ya kutubu ,muone atakavyo wafyekelea mbali,
Katuleta Duniani tukiwa wasafi, hata nguo,viatu ,kitanda, mali hatuna, leo mnakengeuka na kuwatendeeni vibaya binadam wenzenu, mtakipata tu na imekua
Usukuma gang unakusumbua. Hivyo unajifariji kwa kupinga kila kitu ki achofanywa na Samia. Pole Sana.Kumbukeni mleta mada nanihii yake ilushatanuka! View attachment 2256241
Ukiendelea na kejeli hapa utapata unachokistahili pitia hapa live jf bila chenga , nakitaka na kuonya ACHA mala MOJA sio ombi ni lazima ,Toa upumbavu wako hapa.
Nakuheshimu sn mama anguZingatia hoja wewe. Ustaarabu na hoja wapi na wapi? Kwan unatafuta mchumba humu. Shubamiti!
Nenda Facebook huko. Uniheshimu mm wakati mamako mzazi humpi heshima!Nakuheshimu sn mama angu
Rubbish 🚮🚮🚮🚮Ukiendelea na kejeli hapa utapata unachokistahili pitia hapa live jf bila chenga , nakitaka na kuonya ACHA mala MOJA sio ombi ni lazima ,
Mama ni mama hata wewe nakuheshimu kama mama mzaziNenda Facebook huko. Uniheshimu mm wakati mamako mzazi humpi heshima!