Sasa unataka nikwambiaje, zaidi ya kukuacha...Ila tu kama upo public office na una stake nakushauri uachie maana wewe ndiyo mkwamo wenyewe wa welfare ya watanzania...Unakula usichopanda...Utakuwa mzigo badala ya kuwa msaada kwa mawazo kama yako haya...Hilo nalo ni utopia- inamtengenezea nani? wakikataa kuajiri hao waliotengezewa inakuwa je? Jamani kwa nini tunapata tabu kuishi kwa uhalisia
Sasa na elewa kwanini tupo hapa tulipo kama taifa...Naomba niishie hapa, nakuombea uwe hai tutakapofanikiwa kuwa critical mass wenye training na mawazo kama yangu nitaifukua hii post nakukushuhudia jinsi ulivyo changia wewe na wenye mawazo kama yako kupotosha uelekeo wa maendeleo ya taifa letu...Kwa sasa Yesu alisema ya nini kutupa lulu kwa nguruwe? Si watazikanyaga tu?Tanzania tuna majitu majinga ajabu!. Unayaelimisha kuwa job creation ni jukumu private sector kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa private sector to flourish, inakutukana ni mbabaishaji!.
Mfano ile 2015, JPM anaingia, ameikuta kampuni ya PPR ina tender 5 za taasisi za umma, imeajiri watu 20, inaliipa kodi mishahara ya ma DC 5, ma RC 3 na wakurugenzi 2!. Pango la ofisi ulikuwa ni jengo zima la NHC mjini kati kwa kodi ya pango mshahara wa DC!. Jamaa alipoingia Tender zote zilisitishwa, nikapunguza wafanyakazi 15 wakabaki 5, na ofisi nikahamia kwenye kajichumba Posta house!.
Kinachotakiwa ni mimi kurudishiwa zile tender, niajri watu 100, nilipe mishahara ma RC wote 26!.
P
Na hili ndio tatizo la middle class wetu, uwezo wao wa kufikiri ni wa ajabu mno na wengi wameshazoeshwa ile spoon feeding, why shopprite ilifunga biashara yake hapa nchini?its simple mazingira yasiyo rafiki, Zambia 🇿🇲 shopprite zinaongezeka na hata pick n pay nayo ipo (mazingira rafiki na ajira nyingi kwa wazawa na hasa zile indirectly one kama wazalishaji wanaopeleka products zao kwenye supermarket hizi),game imefungwa watanzania wenzetu wamerudi uswahilini na serikali ipo kimya,maana haikujisumbua kutafuta mwekezaji mwingine ili ajira zile ziokoleweTanzania tuna majitu majinga ajabu!. Unayaelimisha kuwa job creation ni jukumu private sector kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa private sector to flourish, inakutukana ni mbabaishaji!.
Mfano ile 2015, JPM anaingia, ameikuta kampuni ya PPR ina tender 5 za taasisi za umma, imeajiri watu 20, inaliipa kodi mishahara ya ma DC 5, ma RC 3 na wakurugenzi 2!. Pango la ofisi ulikuwa ni jengo zima la NHC mjini kati kwa kodi ya pango mshahara wa DC!. Jamaa alipoingia Tender zote zilisitishwa, nikapunguza wafanyakazi 15 wakabaki 5, na ofisi nikahamia kwenye kajichumba Posta house!.
Kinachotakiwa ni mimi kurudishiwa zile tender, niajri watu 100, nilipe mishahara ma RC wote 26!.
P
Paskali tunakizazi cha hovyo sanaTanzania tuna majitu majinga ajabu!. Unayaelimisha kuwa job creation ni jukumu private sector kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa private sector to flourish, inakutukana ni mbabaishaji!.
Mfano ile 2015, JPM anaingia, ameikuta kampuni ya PPR ina tender 5 za taasisi za umma, imeajiri watu 20, inaliipa kodi mishahara ya ma DC 5, ma RC 3 na wakurugenzi 2!. Pango la ofisi ulikuwa ni jengo zima la NHC mjini kati kwa kodi ya pango mshahara wa DC!. Jamaa alipoingia Tender zote zilisitishwa, nikapunguza wafanyakazi 15 wakabaki 5, na ofisi nikahamia kwenye kajichumba Posta house!.
Kinachotakiwa ni mimi kurudishiwa zile tender, niajri watu 100, nilipe mishahara ma RC wote 26!.
P
Nauunga mkono hoja ; na ndiyo maana Mama Samia anatutoa huko kuwa si kazi ya serikali kutengeneza ajira ila kazi ya zerikali ni kuweka mazingira ya kutengeneza ajira- WATU HAWATAKI KUELEWA.Inaumiza kuona watu ambao hawana uelewa wala namna waking'ang'ania mawazo yao ndiyo yawe reference hata baada ya kuyajaribu for more than 7 decades bila kuleta matokeo chanya...
Mkuu ingawa mshahara ni mtamu kuliko dhambi zote uzijuazo- sijawahi kuajiriwa serikalini. Naamini kila mtu anaweza kujiajiri mwenyewe. In the first place kilio tu cha ajira ni manifestation ya individual failureSasa unataka nikwambiaje, zaidi ya kukuacha...Ila tu kama upo public office na una stake nakushauri uachie maana wewe ndiyo mkwamo wenyewe wa welfare ya watanzania...Unakula usichopanda...Utakuwa mzigo badala ya kuwa msaada kwa mawazo kama yako haya...
Basi usikariri kwamba ajira serikalini ndiyo ajira tu...Una mis conceptions nyingi katika hizi concepts na kwakua zimekuwa mis interpreted for so long ime zama kichwani kama ukweli kumbe ni distortion ya ajabu, na kwasababu hii tunasababisha efforts nyingi kutokuwa realized kwa maendeleo ya taifa...Hakuna kitu kibaya kama juhudi isiyokuwa na maarifa ndani yake....Ni kama kusukuma mkokoteni huku kazi hiyo ingeweza kufanywa kirahisi na mnyama kazi na ikaleta tija kuliko binadamu...But ili mnyama afanye hiyo kazi lazima binadamu atumie akili yake kum train...You see the difference?Mkuu ingawa mshahara ni mtamu kuliko dhambi zote uzijuazo- sijawahi kuajiriwa serikalini. Naamini kila mtu anaweza kujiajiri mwenyewe. In the first place kilio tu cha ajira ni manifestation ya individual failure
Na hakuna kokote nimesema wala kujaribu kpendekeza hivyo- miye mtu yeyote anafanyakazi serikalini ninamuona ni muoga wa maisha na anayetaka kuchuma bila kufanya kazi. Na tunaona uhalisia- watu wameajiriwa kama walimu wanalipwa na hawafanyi kazi ya kufundisha watoto kiasi mtoto anamaliza la 7 au kidato cha 4 hajui kusoma and those make 50% ya workforce ya serikaliBasi usikariri kwamba ajira serikalini ndiyo ajira tu...
Ni kazi ya serikali kutengeneza ajira si lazima mwajiri awe serikali...Kwanza tuelewane hapo...Maana wengi hawaelewi hata wanachokiongea na ndicho kilichosababisha ajira kutotengenezekaNauunga mkono hoja ; na ndiyo maana Mama Samia anatutoa huko kuwa si kazi ya serikali kutengeneza ajira ila kazi ya zerikali ni kuweka mazingira ya kutengeneza ajira- WATU HAWATAKI KUELEWA.
Kwa heshima zote mkuu,Hapo ukirudishiwa hizo tender zote, na ukaajili kama unavyosema,serikali itakuwa imewezesha ajila au imetengeneza ajila?Tanzania tuna majitu majinga ajabu!. Unayaelimisha kuwa job creation ni jukumu private sector kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa private sector to flourish, inakutukana ni mbabaishaji!.
Mfano ile 2015, JPM anaingia, ameikuta kampuni ya PPR ina tender 5 za taasisi za umma, imeajiri watu 20, inaliipa kodi mishahara ya ma DC 5, ma RC 3 na wakurugenzi 2!. Pango la ofisi ulikuwa ni jengo zima la NHC mjini kati kwa kodi ya pango mshahara wa DC!. Jamaa alipoingia Tender zote zilisitishwa, nikapunguza wafanyakazi 15 wakabaki 5, na ofisi nikahamia kwenye kajichumba Posta house!.
Kinachotakiwa ni mimi kurudishiwa zile tender, niajri watu 100, nilipe mishahara ma RC wote 26!.
P
Umenisaidia sana kwa maswali yako ya haja!Kwa heshima zote mkuu,Hapo ukirudishiwa hizo tender zote, na ukaajili kama unavyosema,serikali itakuwa imewezesha ajila au imetengeneza ajila?
Kuwezesha ajila ni kufanya nini? Na kutengeneza ajila ni kufanya nini?
Hata miaka yote tunasikia kampeni za kuwania uongozi za Nchi mbalimbali Duniani,neno maarufu kwenye ilani zao huwa ni "Tutatengeneza ajila kadhaa"..Umenisaidia sana kwa maswali yako ya haja!
Mkuu siyo kazi ya serikali kutengeneza ajira;kazi ya serikali ni kuweka mazingira ya kutengeneza ajira; dhana ya serikali kuwa inapaswa kutengeneza ajira ni mawazo ya kianaharakati na mbinu za wavivu kuibaka serikali ili itekeleze matakwa hayo. Na ndiyo maana serikali nazo zinatoa majibu ya rejareja ambayo hayatekelezeki.Ni kazi ya serikali kutengeneza ajira si lazima mwajiri awe serikali...Kwanza tuelewane hapo...Maana wengi hawaelewi hata wanachokiongea na ndicho kilichosababisha ajira kutotengenezeka
Aise! Acha nichutame nisikimbIe hadharani uchiMkuu siyo kazi ya serikali kutengeneza ajira;kazi ya serikali ni kuweka mazingira ya kutengeneza ajira; dhana ya serikali kuwa inapaswa kutengeneza ajira ni mawazo ya kianaharakati na mbinu za wavivu kuibaka serikali ili itekeleze matakwa hayo. Na ndiyo maana serikali nazo zinatoa majibu ya rejareja ambayo hayatekelezeki.
PhD nyingiiii, na wanasema tujiajiri ila wao wameajiriwa na serikali.Masuala ya ajira huwa ni ajenda kuu kwenye chaguzi kote ulimwenguni. Mgombea anatarajiwa kuweka mikakati yake na projections zake wazi kuwa atazalisha ajira ngapi katika kipindi gani.
Ajira si jambo la kufanyia mzaha.
Ajira za watu kupotea katika kipindi cha serikali moja, ni moja ya vigezo vikuu vya kuifurusha serikali hiyo kutoka madarakani kupitia sanduku la kura.
Kukua kwa ukosefu wa kazi kunatosha kuipumzisha serikali moja ili ikaje na mipango inayoeleweka kama ingependa tena kuja kushika hatamu za uongozi.
View attachment 2481663
Serikali inayokuja na mkakati wa wazi wa kujivua jukumu hili inalijua kweli inalolisema?
Serikali ya namna hii inatoa matumaini yapi kwa vijana mashuleni na vyuoni au wahitimu walioko mitaani bila ajira?
Ikumbukwe kama ilivyo kwa ajira kila vinavyoelea vimeundwa.
Kwani kama Hashim Rungwe au awaye yote ana suluhisho bora zaidi la tatizo hili, kulikoni kutompa yeye dhamana?
2025 haiko mbali kwamba mlioshiba hamtujui wenye njaa?
Tukutane kwenye sanduku la kura 2024/25.
Kuwezesha ajira ni serikali kufanya uwezeshaji, kwa kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi iweze kutengeneza kwa kuzalisha ajiraKwa heshima zote mkuu,Hapo ukirudishiwa hizo tender zote, na ukaajili kama unavyosema,serikali itakuwa imewezesha ajila au imetengeneza ajila?
Kuwezesha ajila ni kufanya nini? Na kutengeneza ajila ni kufanya nini?
Kujiajiri ni kuvuruga common understanding katika kuleta maendeleo ya pamoja...Ndicho kilichotokea kwenye kilimo kwakua kila mtu ana preferences zake...Ni kuongeza unnecessary competitions kama inavyotokea kwa machinga na masoko ya ndani....ni kushindwa kudevelop clusters ambazo zingesaidia katika processes, ni kutumia resources inefficiently na kupoteza nguvu kazi kwakua hizo efforts na resources hazipo managed wala programmed for specified objectives ambazo tayari zipo forecasted....Ni ujima na kukosa coordination!Jibu sahihi la hoja hii ni #9,tunapoifanya serikali kuwa ndiye mwajiri mkuu (kama Tanzania)tunaipa mtaji serikali kuku control nchi kwa kutumia silaha ya ajira, idara ina nafasi 4 za uajiri ,watarajiwa 10k wanaomba ajira hii!!,middle class wa kitanzania mrudi kwenye basic, kuweni grounded na mass huku chini ili muelewe hali halisi iliyopo, na ikifanyika push 🔙 wahusika wanapata ujumbe moja kwa moja, SIO wajibu wa serikali kutoa ajira, wajibu wao ni kuandaa mazingira wezeshi ili watu wajiajiri na kwa private sector iajiri.