Serikali isiyo na wajibu wa kutengeneza ajira ni ya nini?

Serikali isiyo na wajibu wa kutengeneza ajira ni ya nini?

Kuwezesha ajira ni serikali kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi iweze kuzalisha ajira
P
Ukishaona una round words ujue kuna gap sehemu....Andika makala kuelezea baada ya kutafuta wataalamu jinsi ambavyo Mh. Rais amepotoshwa, hii itakuwa toba tosha na kwa niaba ya wapotoshaji wote wa tangu 1990s tulivyoingizqa chaka na ma bepari ya America THROUGH Structural Ajustiment Programm, kumbe wenzetu walijua mtu akishakuwa na ujira si rahisi kumyumbisha na kukubali matakwa yako...Kisha akisha kuwa ahazalishi vya kwake anageuka kuwa soko lako kwa bidhaa zako
 
Na hili ndio tatizo la middle class wetu, uwezo wao wa kufikiri ni wa ajabu mno na wengi wameshazoeshwa ile spoon feeding, why shopprite ilifunga biashara yake hapa nchini?its simple mazingira yasiyo rafiki, Zambia 🇿🇲 shopprite zinaongezeka na hata pick n pay nayo ipo (mazingira rafiki na ajira nyingi kwa wazawa na hasa zile indirectly one kama wazalishaji wanaopeleka products zao kwenye supermarket hizi),game imefungwa watanzania wenzetu wamerudi uswahilini na serikali ipo kimya,maana haikujisumbua kutafuta mwekezaji mwingine ili ajira zile ziokolewe
Kwakua miongoni mwao wanaamini si kazi yao (serikali na watendaji wake) kutengeneza ajira mpya na kulinda ajira zilizopo zisipotee
 
Shida wananchi awashirikishwi kwenye level za maamuzi si kwamba watz milioni 60 wamekosa prototype au mawazo au models jinsi ya kumaliza matatizo yetu. Shida walio kwenye level za maamuzi sio wahanga wa matatizo.

Tatizo la ajira ni dogo Sana na linatatulika.
Kama wakoloni walimudu wao wameshindwa nini?
Pesa zipo, raslimali zipo , masoko yapo, nguvu Kazi imejaa, wao wanashindwa nini.
 
Shida wananchi awashirikishwi kwenye level za maamuzi si kwamba watz milioni 60 wamekosa prototype au mawazo au models jinsi ya kumaliza matatizo yetu. Shida walio kwenye level za maamuzi sio wahanga wa matatizo.

Tatizo la ajira ni dogo Sana na linatatulika.
Kama wakoloni walimudu wao wameshindwa nini?
Pesa zipo, raslimali zipo , masoko yapo, nguvu Kazi imejaa, wao wanashindwa nini.
Hawakuwahi hata kuanzisha kibanda cha kuuza sokoni, wameletwa tu hapo na by virtual of their positions wakajikuta wapo kwenye hivyo viti vya utendaji na maamuzi, from school to ajira ya public sector....Kisha hao hao ndiyo vinara wakusema watu wajiajiri bila kujali implications zake kwenye welfare na maendeleo ya watanzania
 
Kuwezesha ajira ni serikali kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi iweze kuzalisha ajira
P
Asante kwa jibu zuri...nimepata mengine kutokana na jibu lako,

1:-Je,Maneno wanayotumia kwenye ilani zao za uchaguzi kuwa watatengeneza ajila,siyo maneno sahihi?

2:-Wewe wa sector binafsi ulie ajili watu,tukuite Mwajili au mtengeneza ajila au vyote kwa pamoja?

3:-Rais anapovunja Bunge,mara nyingi huwa wanatoa takwimu za ajila walizotengeneza,za serikalini na binafsi, je waanze kutumia neno ajila walizowezesha?

NB 1...Nakupongeza kwa ajila ulizotengeneza/ ulizowezesha kwa kipindi hicho na hata sasa bila shaka

NB 2...Inawezekana neno kuwezesha na kutengeneza yakawa na maana moja kwa muktadha huu tunao jadili, hadi hapo tutakapojua vitendo afanyavyo mwezeshaji wa ajila na mtengeneza ajila

Asante sana
 
Tatizo la ajira linatokana na upofu wa watunga sera wameshindwa kuoanisha utitiri wa raslimali tele zilizojaa na idadi ya nguvu kazi.
Wameshindwa kuchochea uzalishaji kwa kuzigeuza raslimali zilizopo ziwe mapato.
Mfano soko la duniani la malighafi ni unlimited yaani ni kubwa hata KILA mmoja nchi azalishe Katu hawezi lijaza.
Mfano tu soko la parachichi tu la China,au UK hata KILA mtza alime still hatuwezi achilia matunda na mazao mengine.
 
Ipo haja ya watunga sera serikali iwe na platform ya watz kutoa solution ya matatizo mbalimbali watu huku chini Wana idea nyingi tu zinazoweza leta positive changes.
 
Tanzania tuna majitu majinga ajabu!. Unayaelimisha kuwa job creation ni jukumu private sector kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa private sector to flourish, inakutukana ni mbabaishaji!.

Mfano ile 2015, JPM anaingia, ameikuta kampuni ya PPR ina tender 5 za taasisi za umma, imeajiri watu 20, inaliipa kodi mishahara ya ma DC 5, ma RC 3 na wakurugenzi 2!. Pango la ofisi ulikuwa ni jengo zima la NHC mjini kati kwa kodi ya pango mshahara wa DC!. Jamaa alipoingia Tender zote zilisitishwa, nikapunguza wafanyakazi 15 wakabaki 5, na ofisi nikahamia kwenye kajichumba Posta house!.

Kinachotakiwa ni mimi kurudishiwa zile tender, niajri watu 100, nilipe mishahara ma RC wote 26!.
P
Hapa umetumia vizuri nafasi uliyopata kujipigia debe na kampuni yako urudishiwe ulaji, which is not bad at all...

Tatizo liko hapa, viongozi wako wanatuambia watatoa ajira mpya elfu 40 na milioni 8 [comment # 13], huku wewe unasema hiyo sio kazi ya serikali, huoni kijana unaenda kinyume na maoni ya wakubwa zako?

Mbaya zaidi, unawaita viongozi wako wajinga kwa kuajiri watanzania kadhaa ikiwa kwako hiyo sio kazi yao, huoni kama kwa kosa lako hili unastahili kuitwa ofisi ndogo pale Lumumba ukajieleze?
 
Asante kwa jibu zuri...nimepata mengine kutokana na jibu lako,

1:-Je,Maneno wanayotumia kwenye ilani zao za uchaguzi kuwa watatengeneza ajila,siyo maneno sahihi?

2:-Wewe wa sector binafsi ulie ajili watu,tukuite Mwajili au mtengeneza ajila au vyote kwa pamoja?

3:-Rais anapovunja Bunge,mara nyingi huwa wanatoa takwimu za ajila walizotengeneza,za serikalini na binafsi, je waanze kutumia neno ajila walizowezesha?

NB 1...Nakupongeza kwa ajila ulizotengeneza/ ulizowezesha kwa kipindi hicho na hata sasa bila shaka

NB 2...Inawezekana neno kuwezesha na kutengeneza yakawa na maana moja kwa muktadha huu tunao jadili, hadi hapo tutakapojua vitendo afanyavyo mwezeshaji wa ajila na mtengeneza ajila

Asante sana
Umeuliza maswali mazuri, tusubiri majibu.
 
Serikali inatakiwa isifanye biashara bali iwe ni msimamizi tuu, biashara ni jukumu la sekta binafsi, ila serikali inaweza kuendelea kuhodhi strategic sector za huduma muhimu kama utilities, communications, public information, na public transportation.

Not necessarily

Ndio jukumu la serikali kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi to flourish na kufanya jobs creation.

Its not true ndio maana TAESA wapo .
P

Kwani kuna hata haja ya kumung'unya maneno?

"Ni wajibu wa serikali kuweka mazingira ya kuwepo ajira kwa wananchi wake iwe directly (kwenye investment zake) au indirectly kupitia private sector."

Haya ni kwa kupitia sera, Sheria, mikakati, nk. Kumbuka hawa waliopo wazi wazi wamesema hawahusiki na kutengeneza ajira. Tulipo sasa suala ni hili:

Serikali isiyo na wajibu wa kutengeneza ajira ni ya nini?​


Ingependeza kuwa na majibu ya wazi kuliko haya ya kisiasa yenye mlengo wa kimaslahi binafsi zaidi.
 
Tanzania tuna majitu majinga ajabu!. Unayaelimisha kuwa job creation ni jukumu private sector kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa private sector to flourish, inakutukana ni mbabaishaji!.

Mfano ile 2015, JPM anaingia, ameikuta kampuni ya PPR ina tender 5 za taasisi za umma, imeajiri watu 20, inaliipa kodi mishahara ya ma DC 5, ma RC 3 na wakurugenzi 2!. Pango la ofisi ulikuwa ni jengo zima la NHC mjini kati kwa kodi ya pango mshahara wa DC!. Jamaa alipoingia Tender zote zilisitishwa, nikapunguza wafanyakazi 15 wakabaki 5, na ofisi nikahamia kwenye kajichumba Posta house!.

Kinachotakiwa ni mimi kurudishiwa zile tender, niajri watu 100, nilipe mishahara ma RC wote 26!.
P
Kumbuka wenyewe wamesema hawahusiki kwenye kuzalisha ajira. Hii ni kote sekta binafsi na serikalini.

Kwani wewe unadhani kwanini tunaongelea hapa?

Waliopo hawaoni umuhimu wa ajira kufa au kuzalishwa. Ajabu sasa kumbe yabadilike je haya bila kuyapigia kelele?
 
Ipo haja ya watunga sera serikali iwe na platform ya watz kutoa solution ya matatizo mbalimbali watu huku chini Wana idea nyingi tu zinazoweza leta positive changes.

Mkuu platform yetu ni kwenye kusimika viongozi wenye sera tunazozihitaji sisi.

Kumbuka hawa wanatutawala na msingi wao kuhusu ajira ni kuwa huko wao hawahusiki.

Hapo mwenye kuchagua kunyoa au kusuka ni sisi wala si wao tena.
 
Kwani kuna hata haja ya kumung'unya maneno?

"Ni wajibu wa serikali kuweka mazingira ya kuwepo ajira kwa wananchi wake iwe directly (kwenye investment zake) au indirectly kupitia private sector."

Haya ni kwa kupitia sera, Sheria, mikakati, nk. Kumbuka hawa waliopo wazi wazi wamesema hawahusiki na kutengeneza ajira. Tulipo sasa suala ni hili:

Serikali isiyo na wajibu wa kutengeneza ajira ni ya nini?​


Ingependeza kuwa na majibu ya wazi kuliko haya ya kisiasa yenye mlengo wa kimaslahi binafsi zaidi.
Nazidi ku confirm assertion yangu, tuna watu ambao hawaelewi wanatakiwa kuwafanyia nini watanzania na bado hawajui kama hawajui...Hakuna kitu kibaya ukawa ignorant kisha ukawa confident katika ignorance yako...God have mercy on my beloved country maana wanajuhudi zisizo na maarifa ndani yake, kisha kwakua watu wengi wana ego na kwakua wameshaizoea statusquo wanaishi ignorance huku wakionyesha arrogance ya hali ya juu...

Hivi kama je wewe ni kiongozi na umeshajiambia hivyo kwamba ajira siyo kazi yako kutengeneza kwenye akili yako, nani anaweza kukubadili? Si utaishia ku dictate watu wote waishi katika hii limitation yako ya understanding?
 
Ipo haja ya watunga sera serikali iwe na platform ya watz kutoa solution ya matatizo mbalimbali watu huku chini Wana idea nyingi tu zinazoweza leta positive changes.
Mwl Nyerere alituwekea structure nzuri kabisa ya kila raia wa Tanzania kushiriki katika kutunga sera kuanzia ngazi ya ten cells enzi za chama kushika hatamu, ambayo imekuwa adopted na TAMISEMI japo sielewi huwa inatumiwaje effectively maana tunaongozwa na utashi wa watu binafsi zaidi, kuliko hizi taasisi ambazo zipo kikatiba kabisa....

Tatizo hakuweka succession plan nzuri (baada ya kukubali kupachika vyama vingi) na kwa sasa kuna watu wanafanya top down approach kwa matamko yao bila kujali active engagement ya raia kuanzia grass roots ambapo ndipo level ya kwanza ya utunzi wa sera na ambapo mahitaji ya jamii yanatafsiriwa...Tukaingiza chawa ambao wamevuruga taasisi zote na kubakisha matamko ya kila leo yasiyokuwa consistent wala effective...tumebakia kukimbiza kura tu kila baada ya miaka 5 ili kupata political positions ambazo zimefungamanishwa na access to pulic coffers....

Tumekuwa nchi ya struggle of power to consolidate wealth and power to few individuals through policies that are justified though illegitimate, with legislators...Ni Mungu tu atusaidie kwenye huu mkwamo....Thanks to God hakuna kitu permanent, ipo siku hii evil fellowship ya hawa individuals itavunjika....Ninachoomba ni isije kutuvuruga tukawa kama Congo
 
Back
Top Bottom