Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kila kinachofanywa na serikali yetu pendwa ni utekelezaji yakinifu wa ilani ya chama kilichopo madarakani.
Wananchi ndiyo wanaoiweka serikali madarakani kwa kuchagua chama kitakachoiendesha. Lakini haki hiyo imepokwa kikatiba kwa sababu Katiba ya sasa inaelezea uwezo na utaratibu wa wananchi kuiweka madarakani serikali kupitia ngazi mbalimbali za uchaguzi. Lakini eneo la kuwajibisha iwapo serikali haitotimiza wajibu wake kikamilifu halijaguswa na Katiba.
Tuna issues
Umeme wa uhakika
Maji safi na salama
Miundombinu
Kilimo
Afya
Bima ya Afya
Ufisadi
Elimu
Maliasili
Ardhi
Na Kadhalika
Hayo yote ni mfupa mgumu ulioshindikana na serikali ya CCM.
Tunaeezaje kuiwajibisha ama kuichukulia hatua serikali inayowatia hasara na simanzi wananchi wake? Chukulia kwamba dola inashirikiana na chama kukwapua ushindi wa chaguzi kuu mbalimbali
Tunafanyaje?
Wananchi ndiyo wanaoiweka serikali madarakani kwa kuchagua chama kitakachoiendesha. Lakini haki hiyo imepokwa kikatiba kwa sababu Katiba ya sasa inaelezea uwezo na utaratibu wa wananchi kuiweka madarakani serikali kupitia ngazi mbalimbali za uchaguzi. Lakini eneo la kuwajibisha iwapo serikali haitotimiza wajibu wake kikamilifu halijaguswa na Katiba.
Tuna issues
Umeme wa uhakika
Maji safi na salama
Miundombinu
Kilimo
Afya
Bima ya Afya
Ufisadi
Elimu
Maliasili
Ardhi
Na Kadhalika
Hayo yote ni mfupa mgumu ulioshindikana na serikali ya CCM.
Tunaeezaje kuiwajibisha ama kuichukulia hatua serikali inayowatia hasara na simanzi wananchi wake? Chukulia kwamba dola inashirikiana na chama kukwapua ushindi wa chaguzi kuu mbalimbali
Tunafanyaje?