Serikali itabadilisha lini saini ya Waziri wa Fedha kwenye noti?

Serikali itabadilisha lini saini ya Waziri wa Fedha kwenye noti?

Kama mnavyojua aliekuwa Waziri wa Fedha kipindi hicho ni Dkt. Mpango na kwa sasa ni Makamu wa Rais hivyo noti za fedha zilikuwa na saini yake akiwa kama Waziri, kwa sasa Waziri Ni mwingine je! Kwanini saini ya Waziri husika isiwekwe kwenye noti?

Mpaka sasa akija mgeni asiyejua au mtoto anaenza kujua hela /noti akasoma yale maelezo pale kwa haraka haraka wanaona Waziri bado ni Mpango wakati Waziri kwa sasa mtu mwingine. Je, hili limekaaje?

Kuna note nyingi tu zina signature ya mwigulu
 
Halafu mimi napendekeza huu mfumo wa pesa kusainiwa na waziri wa fedha tuache nao. Badala yake tuweke saini ya baba wa taifa (The first president of Tanganyika)
Wapi wanafanya huo ujinga?
 
Tafuta cha maana cha kuhoji unatujazia server tu

Endelea kula mizoga manjese.
Hivi mwanao akakuuliza waziri wa fedha ni nani na ukmjibu aliyepo kwa sasa alafu akachukua noti akakuambia na huyu ni nani utahibuje,au akapewa mtihani shule akajibu ni mpango akija nyumbani mtihani ukaona kapewa kosa utamlaumu nani
 
Halafu mimi napendekeza huu mfumo wa pesa kusainiwa na waziri wa fedha tuache nao. Badala yake tuweke saini ya baba wa taifa (The first president of Tanganyika)
Sijui hata umewaza nini na huyo babaako wa taifa.. Nadhani saini ibaki moja tuu ya gavana wa benki
 
Endelea kula mizoga manjese.
Hivi mwanao akakuuliza waziri wa fedha ni nani na ukmjibu aliyepo kwa sasa alafu akachukua noti akakuambia na huyu ni nani utahibuje,au akapewa mtihani shule akajibu ni mpango akija nyumbani mtihani ukaona kapewa kosa utamlaumu nani
Ni Manzese sio manjese kabla ya kumuelimisha mwanao jielimishe wewe kwanza namna ya uandishi
 
Back
Top Bottom