OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
toa mfano relevantSijasema pesa nimekupea mfano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toa mfano relevantSijasema pesa nimekupea mfano
Anayo mawili waandike lipi sasa?Au mjina wake haupendezei kwenye hela ndio maana serikali imeamua kuacha kama lilivo
Kama mnavyojua aliekuwa Waziri wa Fedha kipindi hicho ni Dkt. Mpango na kwa sasa ni Makamu wa Rais hivyo noti za fedha zilikuwa na saini yake akiwa kama Waziri, kwa sasa Waziri Ni mwingine je! Kwanini saini ya Waziri husika isiwekwe kwenye noti?
Mpaka sasa akija mgeni asiyejua au mtoto anaenza kujua hela /noti akasoma yale maelezo pale kwa haraka haraka wanaona Waziri bado ni Mpango wakati Waziri kwa sasa mtu mwingine. Je, hili limekaaje?
Anayo mawili waandike lipi sasa?
Wakiandika original alifeli la saba.. Wakiandika la sasa ni kutafuta kashfa kubwa kuwahi kutokea... Yatafukuliwa makaburi yote
Wapi wanafanya huo ujinga?Halafu mimi napendekeza huu mfumo wa pesa kusainiwa na waziri wa fedha tuache nao. Badala yake tuweke saini ya baba wa taifa (The first president of Tanganyika)
Tafuta cha maana cha kuhoji unatujazia server tu
😁😁😁 Halafu asije akawa amekuja kivinge ili kupima kina cha maji. Maana jamaa ni Dully Sykes aka Mr. Misifa.Yani hilo Jambo madelu analiota kutwa kucha... Yaani nakwambia siku hiyo noti zetu zikisoma jina na saini yake nadhani atafanya sherehe kubwa sana.[emoji23]
Watz bana,mambo ya msingi ya kusemea yapo kibao huyu analeta jambo lisilo na madhara yeyote
Madhara yapo makubwa semeni watanzania ni watu waliochoka kufikiri na kutekeleza lililo sahihiWatz bana,mambo ya msingi ya kusemea yapo kibao huyu analeta jambo lisilo na madhara yeyote
madhara ambayo umeshindwa kuyatajaMadhara yapo makubwa semeni watanzania ni watu waliochoka kufikiri na kutekeleza lililo sahihi
Sijui hata umewaza nini na huyo babaako wa taifa.. Nadhani saini ibaki moja tuu ya gavana wa benkiHalafu mimi napendekeza huu mfumo wa pesa kusainiwa na waziri wa fedha tuache nao. Badala yake tuweke saini ya baba wa taifa (The first president of Tanganyika)
Ni Manzese sio manjese kabla ya kumuelimisha mwanao jielimishe wewe kwanza namna ya uandishiEndelea kula mizoga manjese.
Hivi mwanao akakuuliza waziri wa fedha ni nani na ukmjibu aliyepo kwa sasa alafu akachukua noti akakuambia na huyu ni nani utahibuje,au akapewa mtihani shule akajibu ni mpango akija nyumbani mtihani ukaona kapewa kosa utamlaumu nani