#COVID19 Serikali itangaze mikutano ya Waziri Mwigulu sio hatarishi na COVID-19

Nakubaliana na ww!! Kamwingiza mama chaka kisha yy ameanza kampeni tayri ya 2025. Kwa kujifanya anataka kupunguza ghalama za mihamala ya simu.
Ni mtu katili sana kwa wanaomfahamu
 
Napata picha kuwa mwigulu ana uhusiano wa "kipekee" na bibi kizee na huenda ndiye anayeongoza nchi, na yuko nyuma ya kesi ya mbowe. Huyu jamaa ni aina ya kina Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…