kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
- Thread starter
- #21
Aliye kuja ni dada aliye niandikisha ila hakujua ninapo ishi sasa walivyo gonga geti akatoka kijana wangu akaja kuniita ndani wakati natoka ndiyo namuona yule dada, alipo niona akanisalimia akawambia alio kuja nao huyu mzee alisha kuja na mke wake, maana alikunikumbuka wakati ananiandikisha nika weka utani kidogo naona alinikalili.ulifuatwa na watu wa vyama vya siasa au maafisa yandikishaji au matapeli?
ulivyokwenda kituoni kujiandikisha, wale maafisa ulowakuta, walikua ni wale waliokufuata nyumbani kwako au siyo?![]()
