Jiajiri salary yenyewe unayosubili mwezi mzima hata 1 million haifiki Bado ukatweKuna wakati unajuta kupata ajira maana si kwa mateso haya tunayopitia. yaani ni shida mtu unakaa hata hujui lini utapata mshahara Wala pesa ya kujikimu Ni mwezi Sasa watu tunakomaa lakini hakuna hata dalili za kupata pesa.
Kazi ya ualimu ni kazi ya kijinga Sana sijawahi ona
Punguza hasira mkuu ksma ningekuwa nataka kujiajiri nisingelisoma sana ningeishia form fourJiajiri salary yenyewe unayosubili mwezi mzima hata 1 million haifiki Bado ukatwe
Kodi,
Nssf,
Heslb,
chama wa walimu,
Bima,
Mataka taka mengi Sasa utabaki na nn? Jiongezeni achaneni naikazi ya kijinga hii mtu unafanya kazi miaka 5 hata Nyumba huna, gari huna ,mke huna, kiwanja huna, watoto huna, mashamba huna,
Sasa sijui mpaka uzeeke ndiyo ununuwe gari
Kwahiyo wewe ulisoma uli uajiriwe? πππ Hawa ndiyo walimu Sasa sijui watoto wataelewa nnPunguza hasira mkuu ksma ningekuwa nataka kujiajiri nisingelisoma sana ningeishia form four
Wewe endeleaKwa
Kwahiyo wewe ulisoma uli uajiriwe? πππ Hawa ndiyo walimu Sasa sijui watoto wataelewa nn
Wenzio wanakula uroda plus posho, we unawaonea gere.Tumekusanya tirion 2badi tulipe waaalimu pesa za kujikimu nawaonea huruma mabinti waalimu kwani papuchi zao zinamalizwa huku
Pesa za kujikimu ni full danadanaSerikali itoe pesa za kujikimu kwa walimu kwani mlolongo umekuwa mrefu sana haijulikani ni lini pesa hiyo itatolewa. Nakumbuka siku katibu mkuu tamisemi anatangaza halmashauri zitakazowapokea walimu ziwe zimejiandaaa katika mapokezi ya wafanyakazi hao wapya.
Lakini cha ajabu karibia hslmashauri nyingi hazijawapa pesa za kujikimu waaalimu. Mfano mtwara mjini na mbinga mji ni baadhi ya maeneo waalimu hawajapata pesa ya kujikimu.
Maeneo ni mengi hatujui tatizo nini watuambie ukweli basi turudi nyumbani mpaka hapo watakapo jipanga kulala kwenye godauni za korosho na store za mahindi ni aibu kwa serikali pia ni aibu kwa mtumidhi wa umma.
Serikali itoepesa pesa ya kujikimu tukapange basi kama imeshindwa iwaingize kwenye mfumo wa malipo (payroll).