Serikali itoe tamko kuhusu kugharamia Fedha za Elimu Bure shuleni

Serikali itoe tamko kuhusu kugharamia Fedha za Elimu Bure shuleni

Unajua nyie wakuu wa shule mnashida sana huku kwa akili zako unaona sehemu sahihi ya kulalamika kwa kukosa posho yako?
Unaweza pata msaada pia ila vyema tatizo hili ukalifikisha kwa watu husika. Huu ni uwoga na uwoga haujawahi leta mabadiliko au mapinduzi ya kiutendaji popote. Wafikie walengwa eleza namna gani linaathiri hilo swala kwako na kwa utendaji wako.
Naamini umeelewa mkuu wa shule xxxxxxx.
Sifa kuu ya hicho cheo ni kuwa muoga na mengine tuyaache tu
 
Tangu 01/11/2022 hadi sasa (28/12/2022) takribani miezi miwili serikali imeshindwa kupeleka fedha mashuleni kwa ajili ya ruzuku, na hakuna tamko lolote kutoka katika mamlaka husika.

Kushindwa kupeleka fedha hizo kwa wakati mashuleni kuna sababisha walimu kushindwa kupatiwa vifaa vya maandalizi ya kufundishia na kujifunzia shuleni.

Aidha adha hii pia inasababisha shule nyingi kuwa na mrundikano wa madeni kwa wazabuni kwani baadhi ya shule hukopa vifaa na kushindwa kulipa kwa wakati kutokana na kutoingizwa fedha hizo kwa wakati!

Rai yangu ninaishauri serikali itoe tamko ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwa sasa kwani kukaa kimya kunazua tafsiri hasi hususani kwa wadau was Elimu.
Utaambiwa "Tunatekeleza kwa kishindo"
 
Unajua nyie wakuu wa shule mnashida sana huku kwa akili zako unaona sehemu sahihi ya kulalamika kwa kukosa posho yako?
Unaweza pata msaada pia ila vyema tatizo hili ukalifikisha kwa watu husika. Huu ni uwoga na uwoga haujawahi leta mabadiliko au mapinduzi ya kiutendaji popote. Wafikie walengwa eleza namna gani linaathiri hilo swala kwako na kwa utendaji wako.
Naamini umeelewa mkuu wa shule xxxxxxx.
Halafu lingekuwa suala jingine ungesikia makada wa chama chetu wanasema habari hii imetokea ufipa, haya sasa hawa wanaolalamika ni wenzetu pure sijui tunasemaje hapa
 
Tangu 01/11/2022 hadi sasa (28/12/2022) takribani miezi miwili serikali imeshindwa kupeleka fedha mashuleni kwa ajili ya ruzuku, na hakuna tamko lolote kutoka katika mamlaka husika.

Kushindwa kupeleka fedha hizo kwa wakati mashuleni kuna sababisha walimu kushindwa kupatiwa vifaa vya maandalizi ya kufundishia na kujifunzia shuleni.

Aidha adha hii pia inasababisha shule nyingi kuwa na mrundikano wa madeni kwa wazabuni kwani baadhi ya shule hukopa vifaa na kushindwa kulipa kwa wakati kutokana na kutoingizwa fedha hizo kwa wakati!

Rai yangu ninaishauri serikali itoe tamko ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwa sasa kwani kukaa kimya kunazua tafsiri hasi hususani kwa wadau was Elimu.
Nashauri wafanyakazi wa UMMAH anzisheni vibiashara vya kuendesha maisha vinginevyo ni hatari kumtegemea Mwajiri kuendesha maisha yako.

Wanafunzi wako likizo toka 08.12.2022 hadi 09.01.2023.... sasa hivi vifaa vya KUFUNDISHIA MNAENDA KUMFUNDISHA NANI WAKATI WANAFUNZI WAPO LIKIZO? ....... nawaza tu ndugu WALIMU msinipige mawe.

SERIKALI IFANYIE KAZI HOJA ZA WADAU NA KUPELEKA STAHIKI ZA WATUMISHI KAMA ILIVYOWEKA UTARATIBU NA IKITOKEA CHANGAMOTO IWAPE TAARIFA WAHUSIKA wajue badala ya kuja kutafuta majibu HAPA....

Critical thinkers wanatakiwa kujadili critical issues.
 
Tangu 01/11/2022 hadi sasa (28/12/2022) takribani miezi miwili serikali imeshindwa kupeleka fedha mashuleni kwa ajili ya ruzuku, na hakuna tamko lolote kutoka katika mamlaka husika.

Kushindwa kupeleka fedha hizo kwa wakati mashuleni kuna sababisha walimu kushindwa kupatiwa vifaa vya maandalizi ya kufundishia na kujifunzia shuleni.

Aidha adha hii pia inasababisha shule nyingi kuwa na mrundikano wa madeni kwa wazabuni kwani baadhi ya shule hukopa vifaa na kushindwa kulipa kwa wakati kutokana na kutoingizwa fedha hizo kwa wakati!

Rai yangu ninaishauri serikali itoe tamko ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwa sasa kwani kukaa kimya kunazua tafsiri hasi hususani kwa wadau was Elimu.
Wewe ni kada wa chama mwenye uthubutu wa kukikemea chama kwa staha lingekuwa suala jingine ungesikia wenzetu wakibeza na kwamba tunachafuliwa na washindani wetu
 
Wanafunzi wako likizo toka 08.12.2022 hadi 09.01.2023.... sasa hivi vifaa vya KUFUNDISHIA MNAENDA KUMFUNDISHA NANI WAKATI WANAFUNZI WAPO LIKIZO? ....... nawaza tu ndugu WALIMU msinipige mawe......
😂🤣🤚👋😷

Ndiyo ujue uongo wa kuambukizwa ulivyo
 
Unajua nyie wakuu wa shule mnashida sana huku kwa akili zako unaona sehemu sahihi ya kulalamika kwa kukosa posho yako?
Unaweza pata msaada pia ila vyema tatizo hili ukalifikisha kwa watu husika. Huu ni uwoga na uwoga haujawahi leta mabadiliko au mapinduzi ya kiutendaji popote. Wafikie walengwa eleza namna gani linaathiri hilo swala kwako na kwa utendaji wako.
Naamini umeelewa mkuu wa shule xxxxxxx.
Wewe ndo unashida mkuu, hii platform ina mchango mkubwa sana katika kuibua mambo mbali mbali na hta kupelekea mamlaka husika kuwajibika/kutolea ufafanuzi.

Kama huna ufaham wa kutosha juu ya platform hii, ni busara kukaa kimya kuliko kushambulia mleta uzi, anayejua anachokisema.
 
Wewe ndo unashida mkuu, hii platform ina mchango mkubwa sana katika kuibua mambo mbali mbali na hta kupelekea mamlaka husika kuwajibika/kutolea ufafanuzi.

Kama huna ufaham wa kutosha juu ya platform hii, ni busara kukaa kimya kuliko kushambulia mleta uzi, anayejua anachokisema.
Ahsante kwa kumpa jibu sahihi, watu hawaheshimu kabisa platform, mada zinakuja badala kudadavua kwa umakini wana kejeli, inakera sana.
 
Mkuu

Soma
"Ondoa elimu bure kwani inaleta irresponsible minds. Badili mfumo wa elimu uendane na Hali ya Sasa ilivyo hasa MITAALA iendane na mahitaji ya Sasa"

Ukisoma kwenye uzi wa Tumia akili "operation Imesitishwa the state wamesema apewe Muda"

LABDA LABDA LABDA LABDA
Huu ndio mwanzo wa utekelezaji wake wa hayo maagizo!
"Mawazo HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania"
 
Wewe ndo unashida mkuu, hii platform ina mchango mkubwa sana katika kuibua mambo mbali mbali na hta kupelekea mamlaka husika kuwajibika/kutolea ufafanuzi.

Kama huna ufaham wa kutosha juu ya platform hii, ni busara kukaa kimya kuliko kushambulia mleta uzi, anayejua anachokisema.
Mambo ya kiutumishi ndo ayalete huku JF?
 
Wanafunzi wako likizo toka 08.12.2022 hadi 09.01.2023.... sasa hivi vifaa vya KUFUNDISHIA MNAENDA KUMFUNDISHA NANI WAKATI WANAFUNZI WAPO LIKIZO? ....... nawaza tu ndugu WALIMU msinipige mawe......


SERIKALI IFANYIE KAZI HOJA ZA WADAU NA KUPELEKA STAHIKI ZA WATUMISHI KAMA ILIVYOWEKA UTARATIBU NA IKITOKEA CHANGAMOTO IWAPE TAARIFA WAHUSIKA wajue badala ya kuja kutafuta majibu HAPA....

Critical thinkers wanatakiwa kujadili critical issues
Wanafunzi kuwapo likizo kipindi hiki haiondoi uhalali wa shule kama taasisi kulipa madeni kwa watoa huduma na wazabuni.

Ameeleza vema kabisa mahitaji ya hizo pesa, pamoja na mambo mengine, zinahitajika kulipa madeni.
 
😂🤣🤚👋😷

Ndiyo ujue uongo wa kuambukizwa ulivyo
Nasikitika sana kuona uchangiaji wa namna hii, nikuulize tu, wanafunzi wakiwa likizo, hayo majengo na hizo samani zilizomo hazipaswi kulindwa, gharama ya ulinzi zinasimamishwa sio? Vipi kuhusu madeni kutokana na huduma/bidhaa kwa miezi iliyopita, alipe kwa mshahara wake sio?
 
Nasikitika sana kuona uchangiaji wa namna hii, nikuulize tu, wanafunzi wakiwa likizo, hayo majengo na hizo samani zilizomo hazipaswi kulindwa, gharama ya ulinzi zinasimamishwa sio? Vipi kuhusu madeni kutokana na huduma/bidhaa kwa miezi iliyopita, alipe kwa mshahara wake sio?
Sikiliza mwalimu mkuu... pesa mtapata february... madeni mawili yalimature kwa pamoja so pesa zote zimeelekezwa huko.
 
walinzi wengi wa shule wanalia njaa sana . Unakuta analalamika mtaani na ofisi ya Mkurugenzi hajalipwa miezi mitatu. Tuyaavhe tu lakini kiufupi hazitumiki zote ipasavyo
Nasikitika sana kuona uchangiaji wa namna hii, nikuulize tu, wanafunzi wakiwa likizo, hayo majengo na hizo samani zilizomo hazipaswi kulindwa, gharama ya ulinzi zinasimamishwa sio? Vipi kuhusu madeni kutokana na huduma/bidhaa kwa miezi iliyopita, alipe kwa mshahara wake sio?
 
Back
Top Bottom