Serikali itoe tamko kuwa mwanafunzi akikutwa na simu anafukuzwa shule

Serikali itoe tamko kuwa mwanafunzi akikutwa na simu anafukuzwa shule

Sio kweli mwalimu wa banking au proffessional subject yeyoye hategemei internet au Google hata ukifanya reseach huwezi quote au cite Wikipedia utapewa sifuri

Kumbe ujaelewa ata nilichosema..nimekupa mfano somo la islamic banking ni kitu kipya katika elimu yetu tz ...unafikiri mwanafunzi atapata wapi maarifa zaidi kama sio internet
 
Inabidi umtake radhi na utengue kauli.Hivi mwanafunzi anayemiliki smart phone anaitumia kuangalia porn ,kuchart insta ,fb na watsup na kubet anafaulu vipi mitihani?

Mbona wengine tulikuwa na ' Utundu ' na ' Uhuni ' kuliko huu ulioutaja hapa lakini Kidato cha Nne na Sita tumepata Divisions II ( Two ) na I ( One ) na bado hadi Chuo Kikuu ndiyo tukaendeleza Usela zaidi na bado tukatoka na Second Class nzuri tu? Siamini katika Uhusiano wa Akili za Darasani na kuwa na Vitu hivyo ulivyotaja hapa ila ukiwa na Akili nzito kama za Matofali ya STRABAG aliyonayo Mleta Uzi ni lazima tu Utafeli Ndugu. Halafu usisahau pia kuwa Uwezo wa Akili wa Mtu pia hutokana na Kizazi chake kuanzia Mababu na Mabibi pamoja na Mazingira aliyokulia na anayoyaishi.

Cc: YEHODAYA
 
Naona umerithi Upuuzi kutoka kwa huyo Mpuuzi Mwenzio Ndugu. Ni kweli Mimi ni Kubwa Jinga ila Wewe ni Pumbavu Mwandamizi kabisa.

Cc: YEHODAYA
Ndo unachoweza mkuu keep it up ila kumbuka wewe ni moja kati ya watu wanaosababisha JF ionekane imepoteza mvuto kwa upuuzi wenu kwa ushauri tu jaribu kucontrol Depression zako.
 
Ndo unachoweza mkuu keep it up ila kumbuka wewe ni moja kati ya watu wanaosababisha JF ionekane imepoteza mvuto kwa upuuzi wenu kwa ushauri tu jaribu kucontrol Depression zako.

Kulikoni sasa hivi umeandika kwa Adabu / Nidhamu tofauto na ile ' post ' yako ya awali Kwangu halafu na huyo Mpuuzi Mwenzio hajakupa ' Like ' kama alivyokupa ile ya mwanzo? Hivi kati ya Mimi na Wewe pamoja na huyo Mwenzio nani ana Manic Depression / Bipolar Disorder ya hali ya Juu? Mnapoanzisha Vita muwe mnajua pia na namna ya Kukabiliana navyo vinginevyo mtaishia ' Kuraruriwa ' tu na Wababe wa Kivita ( Warlords ) wenye Kujiamini.

Cc: YEHODAYA
 
Labda ungesema simu inamfelisha vip mwanafunzi!
Sisi tukiwa A level tulikuwa tunaruhusiwa mpaka kuchaji simu library na wote tulifaulu, hiyo hoja yako sijui umeifanyia utafiti wapi!
 
Labda ungesema simu inamfelisha vip mwanafunzi!
Sisi tukiwa A level tulikuwa tunaruhusiwa mpaka kuchaji simu library na wote tulifaulu, hiyo hoja yako sijui umeifanyia utafiti wapi!
Shule Gani hiyo Haina jina
 
Kumbe ujaelewa ata nilichosema..nimekupa mfano somo la islamic banking ni kitu kipya katika elimu yetu tz ...unafikiri mwanafunzi atapata wapi maarifa zaidi kama sio internet
Sio jipya kwenye waislamu hilo somo wanasoma madrasa kila mwislamu analijua sema ni geni kwa wakristo
 
Simu kwa mwanafunzi wa secondari Ina faida nyingi kuliko hasara.
Wanafunzi wa Primary hasa wa bweni waruhusiwe kuwa na simu za tochi zisizo na mtandao ili waweze kuwasiliana kwa urahisi na wazazi wao katika muda muafaka.
Wanafunzi wa secondari hasa wa vijijini waruhusiwe tu kuwa na simu za smart kwani Zina msaada mkubwa katika upatikanaji wa notisi za masomo yao.
Kinachotakiwa ni kuwaelekeza namna nzuri na muda sahihi wa kuzitumia.
Dunia ya Leo ni lazima vijana waende na Kasi ya teknolojia ili waweze kuendana na hali halisi ya dunia.
Mimi wanangu wanatumia Simu na wako vizuri tu. Walioko bweni nimemwomba jirani aitunze simu ya mwanangu, siku za mapumziko Kama Jumapili na Jumamosi anaitumia kuwasiliana na Mimi kunieleza hali halisi ya maendeleo yake ya masomo na pia kujifunza yaliyo kwenye mtandao.
Cha msingi ni kuanza Kuijenga tabia ya mtoto akiwa bado mdogo hivyo kufikia kutambua kuwa huyu mtoto anaweza kuitumia simu ipasavyo au la.
Kambale mkunje angali mchanga.
 
Mbona wengine tulikuwa na ' Utundu ' na ' Uhuni ' kuliko huu ulioutaja hapa lakini Kidato cha Nne na Sita tumepata Divisions II ( Two ) na I ( One ) na bado hadi Chuo Kikuu ndiyo tukaendeleza Usela zaidi na bado tukatoka na Second Class nzuri tu? Siamini katika Uhusiano wa Akili za Darasani na kuwa na Vitu hivyo ulivyotaja hapa ila ukiwa na Akili nzito kama za Matofali ya STRABAG aliyonayo Mleta Uzi ni lazima tu Utafeli Ndugu. Halafu usisahau pia kuwa Uwezo wa Akili wa Mtu pia hutokana na Kizazi chake kuanzia Mababu na Mabibi pamoja na Mazingira aliyokulia na anayoyaishi.

Cc: YEHODAYA
Nyie mlijitambua,watoto wengi wa leo hawajitambui na hawajui wajibu wao.
 
Sio jipya kwenye waislamu hilo somo wanasoma madrasa kila mwislamu analijua sema ni geni kwa wakristo

Madrasa ganj inafundisha islamic banking au ujui ata kinacho ongelewa ..umenifurahisha[emoji3]
 
Tunataka kulazimisha kuishi zama za mawe karne ya teknolojia, ni hatari sana..

Tutilie mkazo namna bora ya matumizi ya teknolojia na sio kuikimbia teknolojia, Hata watu wazima wengi mitaani wanamiliki Iphone, Samsung very latest lakini bado nao hawajui matumizi sahihi ya teknolojia wanaishia kwenye facebook, whatsapp, instagram..

Jamii ifundishwe namna bora ya matumizi ya teknolojia hili sio tatizo la watoto tu Tanzania hapa hata wazee wazima wako na shida hii na mwisho wa siku inahamia kwa watoto, Ujinga wetu usipelekee tukawanyima watoto ujuzi kwenye teknolojia kwa sisi wazee kushindwa kufikiri..
 
Tukio la wanafunzi kutandikwa viboko na mkuu wa mkoa ni funzo kwa shule zote, ni funzo kwa wanafunzi wote kwamba kiburi dawa yako ni bakora za hadharani.

Simu itumie nyumbani kwa Baba na Mama yako kadri unavyojisikia, ukishaingia ndani ya eneo la shule wewe upo chini ya mamlaka ya waalimu wako. Huu upuuzi wa wanafunzi kutaka kuwatawala waalimu na ufikie mwisho.
 
Vijana wapewe simu watumie. Msilete ujima hapa!
Matumizi ya simu ndani ya eneo la shule yanapangwa na waalimu sio wanafunzi. Ukilemazwa na iphone yako ni vigumu kuondoka na tabia hiyo, na kumbuka wanafunzi wanalipiwa ada na wazazi ili wasome na sio kushinda kutwa nzima instagram na facebook.
 
Madrasa ganj inafundisha islamic banking au ujui ata kinacho ongelewa ..umenifurahisha[emoji3]
Wanafundishwa nenda Zanzibar Islamic banking Ina miaka .Waislamu wanafunzwa kuwa riba haramu nk .Somo haliitwi Islamic banking Ni sehemu ya mafunzo ya kurani.
 
Wanafundishwa nenda Zanzibar Islamic banking Ina miaka .Waislamu wanafunzwa kuwa riba haramu nk .Somo haliitwi Islamic banking Ni sehemu ya mafunzo ya kurani.

Hakuna neno ' Kuran ' kama ulivyoandika bali kuna neno sahihi linaloandikwa ' Quran ' hivi sawa? Kuandika tu vyema maneno kama hivi unashindwa hivi tutakuamini vipi katika Ujengaji wako wa Hoja? Mijitu mingine bhana!
 
Wanafundishwa nenda Zanzibar Islamic banking Ina miaka .Waislamu wanafunzwa kuwa riba haramu nk .Somo haliitwi Islamic banking Ni sehemu ya mafunzo ya kurani.

Kumbe una admit sio islamic bank ila ni mafunzo ya Quran okay hapo tumeelewana
 
Shule nyingi za serikali zimekuwa zikifanya vibaya matokeo ya mitihani ya secondary.Moja ya sababu ni kiwango cha chini mno cha kupitiliza cha nidhamu ya wanafunzi shuleni na nje ya shule na tatizo la umiliki wa simu,radio na TV mabwenini.

Mashule mengi serious ya private yanayofaulisha sana simu ni marufuku mwanafunzi kuwa nazo akikutwa nayo anafukuzwa shule.

Ukaguzi wa kushtukiza kwa wanafunzi ni kitu muhimu sana nakumbuka nilishawahi Fanya zoezi la kushtukiza shule Moja kwenye mabegi ya wanafunzi wa day kwenye mabegi yao tulikuta vitu vya ajabu kuanzia kondomu,simu,bangi ,sigara,viberiti,viroba vya pombe ,nguo za kubadilisha za nyumbani kwa watoto wa kike kama.vimini ,visuruali nk .

Shule zote Wawe wakifanya ukaguzi wa ghafla mfano kuwa search,kuwavamia mabwenini na kumwita mmoja mmoja aingie ndani afungue sanduku lake ufanywe upekuzi na kuwasimamisha uwanjani na kuwataka waweke mabegi yote chini watoke wakae mbali na kuanzia kumwita mmoja mmoja na begi lake afungue afanyiwe upekuzi.
Dunia ya saba shida kweli kweli,Kwa hiyo mwanafunzi wa kitanzania anatakiwa kukutana na simu au computer akifika chuo kikuu si ndiyo?
 
Back
Top Bottom