Serikali itoe tamko rasmi kuhusu kuadimika kwa nyama ya mbuzi jijini Dar es Salaam

Serikali itoe tamko rasmi kuhusu kuadimika kwa nyama ya mbuzi jijini Dar es Salaam

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Imagine leo nimezunguka hadi Shuu Butchers zote hakuna nyama ya mbuzi. Nimezunguka kwenye Bucha zote za MBASHA Meat Supply kote hakuna nyama ya mbuzi. Hadi MBASHA Butcher Meat Suppy ya pale VINGUNGUTI Machinjioni hakuna nyama ya mbuzi.

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jiji zima la Dar es salaam kukosa nyama ya mbuzi.

Yani leo imenibidi niwe fala kama wanaume walio oa. Nimenunua mbuzi mzima ( 150k) wakati Mimi shida yangu ilikuwa ni kilo 4 tu.

Kilo 2 za kupika na pilau kesho nyumbani kwa ajili ya sherehe ya Yanga na kilo 2 kwa ajili ya kutumia na wine yangu ili niende uwanjani nikiwa nimewaka. Nakunywa Pinot Noir mwenzenu original brand kutoka South Africa. Natakiwa niwe nimeshiba vizuri kabla ya kunywa.

Serikali fanyieni kazi suala hili
 
Imagine leo nimezunguka hadi Shuu Butchers zote hakuna nyama ya mbuzi. Nimezunguka kwenye Bucha zote za MBASHA Meat Supply kote hakuna nyama ya mbuzi. Hadi MBASHA Butcher Meat Suppy ya pale VINGUNGUTI Machinjioni hakuna nyama ya mbuzi.

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jiji zima la Dar es salaam kukosa nyama ya mbuzi.

Yani leo imenibidi niwe fala kama wanaume walio oa. Nimenunua mbuzi mzima ( 150k) wakati Mimi shida yangu ilikuwa ni kilo 4 tu.

Kilo 2 za kupika na pilau kesho nyumbani kwa ajili ya sherehe ya Yanga na kilo 2 kwa ajili ya kutumia na wine yangu ili niende uwanjani nikiwa nimewaka. Nakunywa Pinot Noir mwenzenu original brand kutoka South Africa. Natakiwa niwe nimeshiba vizuri kabla ya kunywa.

Serikali fanyieni kazi suala hili
nlichogundua huna lolote zaid ya misifa tuu
 
Poleni sana.. butcher za Kigamboni nyama ya mbuzi imejaa tele

Sh ngapi kilo moja kaka? Next week nitakuja huko nina appointment na kidemu changu kipya, kimezaliwa 2006 kinasoma VETA. Nakuja Kula Tunda kimasihara. Najua nikiwa huko nitapata na connection ya maziwa ya ngombe kutoka Kibada kule maziwa yao ni original na very healthier.
 
Imagine leo nimezunguka hadi Shuu Butchers zote hakuna nyama ya mbuzi. Nimezunguka kwenye Bucha zote za MBASHA Meat Supply kote hakuna nyama ya mbuzi. Hadi MBASHA Butcher Meat Suppy ya pale VINGUNGUTI Machinjioni hakuna nyama ya mbuzi.

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jiji zima la Dar es salaam kukosa nyama ya mbuzi.

Yani leo imenibidi niwe fala kama wanaume walio oa. Nimenunua mbuzi mzima ( 150k) wakati Mimi shida yangu ilikuwa ni kilo 4 tu.

Kilo 2 za kupika na pilau kesho nyumbani kwa ajili ya sherehe ya Yanga na kilo 2 kwa ajili ya kutumia na wine yangu ili niende uwanjani nikiwa nimewaka. Nakunywa Pinot Noir mwenzenu original brand kutoka South Africa. Natakiwa niwe nimeshiba vizuri kabla ya kunywa.

Serikali fanyieni kazi suala hili
Kwani Mbasha mwenyewe anasemaje?
 
Back
Top Bottom