Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mbona huku Kimara Mwisho ndanindani kana unaenda Bonyokwa mbuzi kila Jumapili ipo tele!Vijiwe vingi kuanzia kimara mbezi mpk goba hiyo namna inapatikana kwa tabu karibu na hamna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huku Kimara Mwisho ndanindani kana unaenda Bonyokwa mbuzi kila Jumapili ipo tele!Vijiwe vingi kuanzia kimara mbezi mpk goba hiyo namna inapatikana kwa tabu karibu na hamna
Umeshaandika ndani ndaniMbona huku Kimara Mwisho ndanindani kana unaenda Bonyokwa mbuzi kila Jumapili ipo tele!
Yeah, naye asiseme Dar aseme kule aliko!Umeshaandika ndani ndani
Nikadhani nyama ya mdudu wa taifa kumbe Mbuzi !.Imagine leo nimezunguka hadi Shuu Butchers zote hakuna nyama ya mbuzi. Nimezunguka kwenye Bucha zote za MBASHA Meat Supply kote hakuna nyama ya mbuzi. Hadi MBASHA Butcher Meat Suppy ya pale VINGUNGUTI Machinjioni hakuna nyama ya mbuzi.
Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jiji zima la Dar es salaam kukosa nyama ya mbuzi.
Yani leo imenibidi niwe fala kama wanaume walio oa. Nimenunua mbuzi mzima ( 150k) wakati Mimi shida yangu ilikuwa ni kilo 4 tu.
Kilo 2 za kupika na pilau kesho nyumbani kwa ajili ya sherehe ya Yanga na kilo 2 kwa ajili ya kutumia na wine yangu ili niende uwanjani nikiwa nimewaka. Nakunywa Pinot Noir mwenzenu original brand kutoka South Africa. Natakiwa niwe nimeshiba vizuri kabla ya kunywa.
Serikali fanyieni kazi suala hili
Anapenda vya mterere huyo, hataki kufuga anataka ale nyama ya mbuzi kila siku!!Serikali inahusikaje sasa? Hiyo si biashara kama biashara nyingine? Unless sababu ya kodi au kunyimwa vibali, serikali haihusiki na kupotea kwa mbusi huko sokoni
mh, wasijekuwa mbuzi wa iringa, yaani machinchioni hamna mbuzi kiga iwepo kweli?Poleni sana.. butcher za Kigamboni nyama ya mbuzi imejaa tele
kwa usawa huu wa mama, kero hamna tena, situpeleke hata kero za nyama ya mbuziDar!? Mbona mnaipa serikali kazi ngumu!? Acheni utoto
Et ma supply wanakosa mzgo njoo uku Arusha hata ukitaji kla sku tan ya nyama ya mbuz n ww tu na pesa yakoImagine leo nimezunguka hadi Shuu Butchers zote hakuna nyama ya mbuzi. Nimezunguka kwenye Bucha zote za MBASHA Meat Supply kote hakuna nyama ya mbuzi. Hadi MBASHA Butcher Meat Suppy ya pale VINGUNGUTI Machinjioni hakuna nyama ya mbuzi.
Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jiji zima la Dar es salaam kukosa nyama ya mbuzi.
Yani leo imenibidi niwe fala kama wanaume walio oa. Nimenunua mbuzi mzima ( 150k) wakati Mimi shida yangu ilikuwa ni kilo 4 tu.
Kilo 2 za kupika na pilau kesho nyumbani kwa ajili ya sherehe ya Yanga na kilo 2 kwa ajili ya kutumia na wine yangu ili niende uwanjani nikiwa nimewaka. Nakunywa Pinot Noir mwenzenu original brand kutoka South Africa. Natakiwa niwe nimeshiba vizuri kabla ya kunywa.
Serikali fanyieni kazi suala hili
Ipo. Kilo nimeambiwa ni 8000 tumh, wasijekuwa mbuzi wa iringa, yaani machinchioni hamna mbuzi kiga iwepo kweli?
Vipi kuhusu Dodoma wine, tuvipende vya kwetu. Kuhusu nyama ya mbuzi labda kuna mtu kanunua mbuzi wote na kupeleka uarabuni. Waarabu wanapenda sana nyama ya mbuzi.Imagine leo nimezunguka hadi Shuu Butchers zote hakuna nyama ya mbuzi. Nimezunguka kwenye Bucha zote za MBASHA Meat Supply kote hakuna nyama ya mbuzi. Hadi MBASHA Butcher Meat Suppy ya pale VINGUNGUTI Machinjioni hakuna nyama ya mbuzi.
Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jiji zima la Dar es salaam kukosa nyama ya mbuzi.
Yani leo imenibidi niwe fala kama wanaume walio oa. Nimenunua mbuzi mzima ( 150k) wakati Mimi shida yangu ilikuwa ni kilo 4 tu.
Kilo 2 za kupika na pilau kesho nyumbani kwa ajili ya sherehe ya Yanga na kilo 2 kwa ajili ya kutumia na wine yangu ili niende uwanjani nikiwa nimewaka. Nakunywa Pinot Noir mwenzenu original brand kutoka South Africa. Natakiwa niwe nimeshiba vizuri kabla ya kunywa.
Serikali fanyieni kazi suala hili
😂nlichogundua huna lolote zaid ya misifa tuu